< Efeserne 4 >
1 Jeg formaner eder derfor, jeg, der fangne i Herren, til at vandre værdig den Kaldelse, med hvilken I bleve kaldede,
Kwa hiyo, kama mfungwa kwa ajili ya Bwana, nawasihi mtembee sawasawa na wito ambao Mungu aliwaita.
2 med al Ydmyghed og Sagtmodighed, med Langmodighed, så I bære over med hverandre i Kærlighed
Muishi kwa unyenyekevu mkuu na upole na uvumilivu. Mkichukuliana katika upendo.
3 og gøre eder Flid for at bevare Åndens Enhed i Fredens Bånd;
Fanyeni bidii kuutunza umoja wa Roho katika kifungo cha amani.
4 eet Legeme og een Ånd, ligesom I også bleve kaldede til eet Håb i eders Kaldelse;
Kuna mwili mmoja na Roho moja, kama ambavyo pia mlikuwa mmeitwa katika uhakika wa taraja moja la wito wenu.
5 een Herre, een Tro, een Dåb,
Na kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja,
6 een Gud og alles Fader, som er over alle og igennem alle og i alle!
na Mungu mmoja na Baba wa wote. Yeye yuko juu ya yote, na katika yote na ndani ya yote.
7 Men hver enkelt af os blev Nåden given efter Kristi Gaves Mål.
Kwa kila mmoja wetu amepewa kipawa kulingana na kipimo cha kipawa cha Kristo.
8 Derfor hedder det: "Da han opfor til det høje, bortførte han Fanger og gav Menneskene Gaver."
Ni kama maandiko yasemavyo: “Alipopaa juu sana, aliongoza mateka katika utumwa. Akatoa vipawa kwa watu.”
9 Men dette: "Han opfor," hvad er det, uden at han også nedfor til Jordens nedre Egne.
Ni nini maana ya, “Alipaa,” isipokuwa kwamba alishuka pia pande za chini za dunia?
10 Han, som nedfor, han er også den, som opfor højt over alle. Himlene, for at han skulde fylde alle Ting.
Yeye ambaye alishuka ni mtu yuleyule ambae pia alipaa mbali juu ya mbingu zote. Alifanya hivi ili uwepo wake uwe katika vitu vyote.
11 Og han gav nogle som Apostle, andre som Profeter, andre som Evangelister, andre som Hyrder og Lærere,
Kristo alitoa vipawa kama hivi: mitume, manabii, wainjilisti, wachungaji, na waalimu.
12 til de helliges fuldkomne Beredelse, til en Tjenestegerning, til Kristi Legemes Opbyggelse,
Alifanya hivi kuwawezesha waumini kwa ajili ya kazi ya huduma, kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo.
13 indtil vi alle nå til Enheden i Troen på og Erkendelsen af Guds Søn, til Mands Modenhed, til Kristi Fyldes Mål af Vækst,
Anafanya hivi hadi sisi sote tufikie umoja wa imani na maarifa ya mwana wa Mungu. Anafanya hivi hadi tuweze kukomaa kama wale waliofikia kimo kamili cha Kristo.
14 for at vi ikke; mere skulle være umyndige, der omtumles og omdrives af enhver Lærdommens Vind, ved Menneskenes Tærningspil, ved Træskhed efter Vildfarelsens Rænkespind;
Hii ni ili kwamba tusiwe tena kama watoto, tusirushwerushwe huku na huko. Ili kwamba tusichukuliwe na kila aina ya upepo wa fundisho, kwa hila za watu katika ujanja wa udanganyifu uliopotoka.
15 men for at vi, Sandheden tro i Kærlighed, skulle i alle Måder opvokse til ham, som er Hovedet, Kristus,
Badala yake, tutaongea ukweli katika upendo na kukua zaidi katika njia zote ndani yake ambaye ndiye kichwa, Kristo.
16 ud fra hvem hele Legemet, idet det sammenføjes og sammenknyttes ved ethvert hjælpende Bindeled i Forhold til hver enkelt Dels tilmålte Virkekraft, fuldbyrder Legemets Vækst til Opbyggelse af sig selv i Kærlighed.
Kristo ameunganisha, kwa pamoja, mwili wote wa waumini. Umeungamanishwa pamoja na kila kiungo ili kwamba mwili wote ukue na kujijenga wenyewe katika upendo.
17 Dette siger jeg da og vidner i Herren, at I skulle ikke mere vandre, således som Hedningerne vandre i deres Sinds Tomhed,
Kwa hiyo, nasema hili, na nawasihi katika Bwana: Msitembee tena kama watu wa mataifa wanavyotembea katika ubatili wa akili zao.
18 formørkede i deres Tanke, fremmedgjorte for Guds Liv som Følge af den Vankundighed, som er i dem på Grund af deres Hjertes Forhærdelse,
Wametiwa giza katika mawazo yao. Wamefukuzwa kutoka katika uzima wa Mungu kwa ujinga ulio ndani yao kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao.
19 de, som jo følesløse have hengivet sig til Uterligheden, til at øve al Urenhed i Havesyge.
Hawajisikii aibu. Wamejikabidhi wenyewe kwa ufisadi katika matendo machafu, katika kila aina ya uchoyo.
20 Men I have ikke således lært Kristus,
Lakini, hivi sivyo mlivyojifunza kuhusu Kristo.
21 om I da have hørt om ham og ere blevne oplærte i ham, således som Sandhed er i Jesus,
Nadhani kwamba mmesikia kuhusu yeye. Nadhani kwamba mmekuwa mkifundishwa katika yeye, kama tu ukweli ulivyo ndani ya Yesu.
22 at I, hvad eders forrige Vandel angår, skulle aflægge det gamle Menneske, som fordærves ved bedrageriske Begæringer,
Lazima mvue mambo yote yanayoendana na mwenendo wenu wa zamani, utu wa zamani. Ni utu wa zamani unaooza kwa sababu ya tamaa za udanganyifu.
23 men fornyes i eders Sinds Ånd
Vueni utu wenu wa zamani ili kwamba mfanywe upya katika roho ya akili zenu.
24 og iføre eder det nye Menneske, som blev skabt efter Gud i Sandhedens Retfærdighed og Hellighed.
Fanyeni hivi ili muweze kuvaa utu mpya, unaoendana na Mungu. Umeumbwa katika haki na utakatifu wa kweli.
25 Derfor aflægger Løgnen og taler Sandhed, hver med sin Næste, efterdi vi ere hverandres Lemmer.
Kwa hiyo, weka mbali udanganyifu. “Ongeeni ukweli, kila mmoja na jirani yake,” kwa sababu tu washirika kwa kila mmoja kwa mwenzake.
26 Blive I vrede, da synder ikke; lad ikke Solen gå ned over eders Forbitrelse;
Mwe na hasira, lakini msitende dhambi.” Jua lisizame mkiwa katika hasira zenu.
27 giver ikke heller Djævelen Rum!
Msimpe Ibilisi nafasi.
28 Den, som stjæler, stjæle ikke mere, men arbejde hellere og gøre det gode med sine egne Hænder, for at han kan have noget at meddele den, som er i Trang.
Yeyote aibaye lazima asiibe tena. Badala yake ni lazima afanye kazi. Afanye kazi yenye manufaa kwa mikono yake, ili kwamba aweze kumhudumia mtu aliye na hitaji.
29 Lad ingen rådden Tale udgå af eders Mund, men sådan Tale, som er god til fornøden Opbyggelse, for at den kan skaffe dem Nåde, som høre derpå;
Kauli mbaya isitoke kinywani mwenu. Badala yake, maneno lazima yatoke katika vinywa vyenu yafaayo kwa mahitaji, kuwapa faida wale wanaosikiliza.
30 og bedrøver ikke Guds hellige Ånd, med hvilken I bleve beseglede til Forløsningens Dag.
Na msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu. Ni kwa Yeye kwamba mmewekewa muhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi.
31 Al Bitterhed og Hidsighed og Vrede og Skrigen og Forhånelse blive langt fra eder tillige med al Ondskab!
Lazima muweke mbali uchungu wote, ghadhabu, hasira, ugomvi, na matusi, pamoja na kila aina ya uovu. Iweni wema ninyi kwa ninyi.
32 Men vorder velvillige imod hverandre, barmhjertige, tilgivende hverandre, ligesom jo Gud har tilgivet eder i Kristus.
Mwe na huruma. Msameheane ninyi kwa ninyi, kama vile Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.