< Anden Krønikebog 28 >

1 Akaza var tyve År gammel da han blev Konge, og han herskede seksten År i Jerusalem. Han gjorde ikke, hvad der var ret i HERRENs Øjne, som hans Fader David,
Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, na akatawala miaka kumi na sita katika Yerusalemu. Hakufanya yaliyoadili katika macho ya Yahwe, kama Daudi babu yake alivyokuwa amefanya.
2 men vandrede i Israels Kongers Spor Ja, han lod lave støbte Billeder til Ba'alerne;
Badala yake, alitembea katika njia za wafalme wa Israeli; pia alitengeneza sanamu za kusubu kwa ajila ya Mabaali.
3 han tændte selv Offerild i Hinnoms Søns Dal og lod sine Sønner gå igennem Ilden efter de Folks vederstyggelige Skik, som HERREN havde drevet bort foran Israeliterne.
Zaidi ya hayo, akafukiza uvumba katika bonde la Beni Hinomu na akawaweka watoto wake ndani ya moto, kwa mjibu wa desturi za uzinzi za watu ambao Yahwe aliwafukuza nje ya nchi zao mbele za watu wa Israeli.
4 Han ofrede og tændte Offerild på Offerhøjene og de høje Steder og under alle grønne Træer.
Akatoa sadaka na kufukiza uvumba katika sehemu za juu na juu ya vilima na chini ya kila mti wenye majani mabichi.
5 Derfor gav HERREN hans Gud ham i Arams Konges Hånd, og de slog ham og tog mange af hans Folk til Fange og førte dem til Darmaskus. Ligeledes blev han givet i Israels Konges Hånd, og denne tilføjede ham et stort Nederlag.
Kwa hiyo Yahwe Mungu wa Ahazi, akamweka katika mikono ya mfalme wa Shamu. Waaramu wakamshinda na kuchukua kutoka kwake kundi kubwa la mateka, wakawapeleka Damesiki. Ahazi pia aliwekwa katika mikono ya mfalme wa Israeli ambaye alimshinda kwa mauji makuu.
6 Peka, Remaljas Søn, dræbte i Juda 120.000 Mennesker på een Dag, lutter dygtige Krigsfolk, fordi de havde forladt HERREN, deres Fædres Gud.
Kwa maana Peka mwana wa Remalia, aliwaua katika Yuda wanajeshi 120, 00 kwa siku moja, wote walikuwa wanaume hodari, kwa maana walikuwa wamemsahau Yahwe, Mungu wa babu zao.
7 Den efraimitiske Helt Zikri dræbte Kongesønnen Ma'aseja, Paladsøversten Azrikam og Elkana, den ypperste næst Kongen.
Zikri, mtu mwenye nguvu kutoka Efraimu, akawaua Maaseya mwana wa mfalme, Azrikamu, mwangalizi mkuu wa ikulu, na Elkana, ambaye alikuwa karibu na mfalme.
8 Israeliterne bortførte fra deres Brødre 200.000 Hustruer, Sønner og Døtre som Fanger og fratog dem et stort Bytte, som de førte til Samaria.
Jeshsi la Israeli likachukua mateka kutoka kwa ndugu zao 200, 000 wake, wana, na mabinti. Pia wakachukua nyara nyingi, ambazo walipeleka Samaria.
9 Her boede en HERRENs Profet ved Navn Oded; han gik Hæren i Møde, da den kom til Samaria, og sagde til dem: "Fordi HERREN, eders Fædres Gud, var vred på Juda, gav han dem i eders Hånd; men I har anrettet et Blodbad iblandt dem med et Raseri, der når til Himmelen!
Lakini nabii wa Yahwe alikuwapo huko, jina lake aliitwa Odedi. Alikwenda nje kukutana na jeshi likiingia Samaria. Akawaambia, “Kwa sababu Yahwe, Mungu wa babu zenu, alikuwa na hasiri na Yuda, akawatia katika mikono yenu. Lakini mmewaua katika hasira inayofika juu mbinguni.
10 Og nu tænker I på at få Magten over Folkene fra Juda og Jerusalem og gøre dem til eders Trælle og Trælkvinder! Har l da ikke også selv nok på Samvittigheden over for HERREN eders Gud!
Sasa ninyi badala ya kuwahifadhi wanaume na wanawake wa Yuda na Yerusalemu kama watumwa wenu. Lakini je hamko na hatia ya dhambi zenu zidi ya Yahwe Mungu wenu?
11 Lyd derfor mig og send de Fanger tilbage, som I har gjort blandt eders Brødre, thi HERRENs glødende Vrede er over eder!"
Sasa basi, nisikilizeni: warudisheni wafubgwa, ambao mmewachukua wa ndugu zenu, kwa maana ghadhabu ya Yahwe iko juu yenu.”
12 Da trådte nogle af Efraimiternes Overhoveder, Azarja, Johanans Søn, Berekja, Mesjillemots Søn, Hizkija, Sjallums Søn, og Amasa, Hadlajs Søn, frem for de hjemvendte Krigere
Kisha baadhi ya viongozi wa watu wa Efraimu—Azaria mwana wa Yohanani, Berekia mwana wa Meshiremothi, na Yehizikia mwana wa Shalumu, na Amasa mwana wa Hadlai, wakasimama kinyume na wale waliorudi kutoka vitani.
13 og sagde til dem: "I må ikke bringe Fangerne herhen! Thi I har i Sinde at øge vote Synder og vor Skyld ud over den Skyld, vi har over for HERREN; thi stor er vor Skyld, og glødende Vrede er over Israel!"
Wakasema kwao, “Lazimaa msiwaleta wafungwa hapa, kwa kuwa mlikusudia jambo ambalo litaleta juu yetu dhambi dhidi ya Yahwe, kuongeza dhambi juu yetu na makosa yetu, kwa maana makosa yetu ni makuu, na kuna hasira kali dhidi ya Israeli.”
14 Da gav de væbnede Slip på Fangerne og Byttet i Øversternes og hele Forsamlingens Påsyn;
Hivyo watu wenye silaha wakawaacha wafungwa na mateka mbele ya viongozi wa Israeli na kusanyiko lote
15 og de ovenfor nævnte Mænd stod op og tog sig af Fangerne, gav alle de nøgne iblandt dem Klæder af Byttet, forsynede dem med Klæder og Sko, gav dem Mad og Drikke, salvede dem, lod dem, der ikke kunde gå, ride på Æsler og bragte dem til Jeriko, Palmestaden, hen i Nærheden af deres Brødre; derpå vendte de tilbage til Samaria.
Watu ambao walipangwa kwa majina wakanyanyuka na kuwachukua wafungwa, na kuwavika wote waliokuwa uchi miongoni mwa mateka. Wakawavika na kuwapa viatu. Wakawapa chakula wale na kunywa. Wakawahudumia majeraha yao na kuwaweka waliodhaifu juu ya punda. Wakawarudisha kwenye familia zao katika Yeriko, (Ulioitwa mji wa mitende). Kisha wakarudi Samaria.
16 På den Tid sendte Kong Akaz Assyrerkongen Bud om Hjælp.
Wakati huo Mfalme Ahazi akatuma wajumbe kwa wafalme wa Ashuru kuwaomba wamsaidie.
17 Tilmed trængte Edomiterne ind og slog Judæerne og slæbte Krigsfanger bort.
Kwa maana Waedomu walikuwa wamekuja tena na kuvamia Yuda, wakachukua wafungwa.
18 Og Filisterne faldt ind i Lavlandets Byer og den judæiske Del af Sydlandet og indtog Bet-Sjemesj, Ajjalon, Gederot, Soko med Småbyer, Timna med Småbyer og Gimzo med Småbyer og bosatte sig der.
Wafilisti pia wakavamia miji ya nchi ya chini na ya Negebu ya Yuda. Waliichukua Beth-shemeshi, Ayaloni, Giderothi, SoKo pamoja na vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake. Wakaenda kuishi katika sehemu hizo.
19 Thi HERREN ydmygede Juda for Kong Akaz af Judas Skyld, fordi han havde ladet Tøjlesløshed opkomme i Juda og været troløs mod HERREN.
Kwa kuwa Yahwe aliishusha chini Yuda kwa sababu ya Ahazi, mfalme wa Israeli; kwa maana alikuwa ametenda maovu katika Yuda na alikuwa ametenda dhambi nzito sana dhidi ya Yahwe.
20 Men Assyrerkongen Tillegat-Pilneser drog imod ham og bragte ham i Nød i Stedet for at hjælpe ham;
Tiglath-pileseri, mfalme wa Ashuru, akaja kwake na akampa tabu badala ya kumpa nguvu.
21 thi Akaz plyndrede HERRENs Hus, og Kongens Palads og Øversternes Palads og gav det til Assyrerkongen, men det hjalp ham intet.
Kwa kuwa Ahazi aliteka nyara nyumba ya Yahwe na nyumba ya mfalme na viongozi, kwa ajili ya kuvitoa vitu vya thamani kwa mfalme wa Ashuru. Lakini kufanya hivyo hakukumfaidisha yeye.
22 Og selv da Assyrerkongen bragte ham i Nød, var Kong Akaz på ny troløs mod HERREN;
Mfalme Ahazi huyu huyu akatenda dhambi hata zaidi dhidi ya Yahwe katika muda wa mateso yake.
23 han ofrede til Darmaskus's Guder, som havde slået ham, idet han sagde: "Aramæerkongernes Guder har jo hjulpet dem; til dem vil jeg ofre, at de også må hjælpe mig!" Men de blev ham og hele Israel til Fald.
Kwa maana aliwatolea dhabihu mingu wa Dameski, miungu ambao walimshinda. Akasema, “Kwa sababu miungu wa mfalme wa Aramu waliwasaidia, nitawatolea sadaka ili wanisaidie.” Lakini walikuwa watesi wake na Israeli yote.
24 Også samlede Akaz Karrene i Guds Hus og slog dem i Stykker; og han lukkede HERRENs Hus's Porte og lavede sig Altre ved hvert et Hjørne i Jerusalem;
Ahazi akazikusanya pamoja samani za nyumba ya Mungu na kuzikata vipande vipande. Akaifunga milango ya nyumba ya Yahwe na kuzitengeneza madhabahu kwa ajili yake mwenyewe katika kila kona ya Yerusalemu.
25 og i hver eneste By i Juda indrettede han Offerhøje for at tænde Offerild for fremmede Guder; således krænkede han HERREN, sine Fædres Gud.
Katika kila mji wa Yuda akafanya sehemu za juu kwa ajili ya kutolea sadaka za kuteketezwa kwa miungu wengine. Akamfanya Yahwe, Mungu wa babu zake, akasirike.
26 Hvad der ellers er at fortælle om ham og hele hans Færd fra først til sidst, står jo optegnet i Bogen om Judas og Israels Konger.
Sasa matendo yake yaliyobaki, na njia zake zote, mwanzo na mwisho, ona, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
27 Så lagde Akaz sig til Hvile bos sine Fædre, og man jordede ham i Jerusalem, inde i Byen, thi man vilde ikke jorde ham i Israels Kongegrave; og hans Søn Ezekias blev Konge i hans Sted.
Ahazi akalala pamoja na babu zake, na wakamzika katika mji, katika Yerusalemu, lakini hawakumleta kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli. Hezekia, mwanaye, akawa mfamle katika nafasi yake.

< Anden Krønikebog 28 >