< Zakarias 3 >

1 Derpaa lod han mig se Ypperstepræsten Josua, og han stod foran HERRENS Engel, medens Satan stod ved hans højre Side for at føre Klage imod ham.
Kisha akanionyesha Yoshua, kuhani mkuu, akiwa amesimama mbele ya malaika wa Bwana, naye Shetani amesimama upande wake wa kuume ili amshtaki.
2 Men HERREN sagde til Satan: »HERREN true dig, Satan, HERREN true dig, han, som udvalgte Jerusalem. Er denne ikke en Brand, som er reddet ud af Ilden?«
Bwana akamwambia Shetani, “Bwana akukemee Shetani! Bwana, ambaye ameichagua Yerusalemu, akukemee! Je, mtu huyu siyo kijinga kinachowaka kilichonyakuliwa kwenye moto?”
3 Josua havde snavsede Klæder paa og stod foran Engelen;
Wakati huu, Yoshua alikuwa amevaa nguo chafu alipokuwa amesimama mbele ya malaika.
4 men denne tog til Orde og sagde til dem, som stod ham til Tjeneste: »Tag de snavsede Klæder af ham!« Og til ham sagde han: »Se, jeg har taget din Skyld fra dig, og du skal have Højtidsklæder paa.«
Malaika akawaambia wale waliokuwa wamesimama mbele yake, “Mvueni hizo nguo zake chafu.” Kisha akamwambia Yoshua, “Tazama, nimeiondoa dhambi yako, nami nitakuvika mavazi ya kitajiri.”
5 Og han sagde: »Sæt et rent Hovedbind paa hans Hoved!« Og de satte et rent Hovedbind paa hans Hoved og gav ham rene Klæder paa. Saa traadte HERRENS Engel frem,
Kisha nikasema, “Mvike kilemba kilicho safi kichwani mwake.” Kwa hiyo wakamvika kilemba safi kichwani na kumvika yale mavazi mengine, wakati malaika wa Bwana akiwa amesimama karibu.
6 og HERRENS Engel vidnede for Josua og sagde:
Malaika wa Bwana akamwamuru Yoshua:
7 Saa siger Hærskarers HERRE: Hvis du vandrer paa mine Veje og holder mine Forskrifter, skal du baade Raade i mit Hus og vogte mine Forgaarde, og jeg giver dig Gang og Sæde blandt dem, som staar her.
“Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Ikiwa utakwenda katika njia zangu na kushika masharti yangu, basi utaitawala nyumba yangu na kuwa na amri juu ya nyua zangu, nami nitakupa nafasi miongoni mwa hawa wasimamao hapa.
8 Hør, du Ypperstepræst Josua, du og dine Embedsbrødre, som sidder for dit Ansigt: de er Varselmænd! Thi se, jeg lader min Tjener Zemak komme.
“‘Sikiliza, ee Yoshua kuhani mkuu, pamoja na wenzako walioketi mbele yako, ambao ni watu walio ishara ya mambo yatakayokuja: Ninakwenda kumleta mtumishi wangu, Tawi.
9 Thi se, den Sten, jeg lægger hen for Josua — paa den ene Sten er syv Øjne — se, jeg rister selv dens Indskrift, lyder det fra Hærskarers HERRE, og paa een Dag udsletter jeg dette Lands Skyld.
Tazama, jiwe nililoliweka mbele ya Yoshua! Kuna macho saba juu ya jiwe lile moja, nami nitachora maandishi juu yake,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, ‘nami nitaiondoa dhambi ya nchi hii kwa siku moja.
10 Paa hin Dag, lyder det fra Hærskarers HERRE, skal I byde hverandre til Gæst under Vinstok og Figentræ.
“‘Katika siku hiyo kila mmoja wenu atamwalika jirani yake akae chini ya mzabibu wake na mtini wake,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.”

< Zakarias 3 >