< Salme 87 >
1 Af Koras Sønner. En Salme. En Sang. Sin Stad, grundfæstet paa hellige Bjerge, har HERREN kær,
Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo. Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
2 Zions Porte fremfor alle Jakobs Boliger.
Bwana anayapenda malango ya Sayuni kuliko makao yote ya Yakobo.
3 Der siges herlige Ting om dig, du Guds Stad. (Sela)
Mambo matukufu yanasemwa juu yako, ee mji wa Mungu:
4 Jeg nævner Rahab og Babel blandt dem, der kender HERREN, Filisterland, Tyrus og Kusj: en fødtes her, en anden der.
“Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli miongoni mwa wale wanaonikubali mimi: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi, nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’”
5 Men Zion kalder man Moder, der fødtes enhver, den Højeste holder det selv ved Magt.
Kuhusu Sayuni itasemwa hivi, “Huyu na yule walizaliwa humo, naye Aliye Juu Sana mwenyewe atamwimarisha.”
6 HERREN tæller efter i Folkeslagenes Liste, en fødtes her, en anden der. (Sela)
Bwana ataandika katika orodha ya mataifa: “Huyu alizaliwa Sayuni.”
7 Syngende og dansende siger de: »Alle mine Kilder er i dig!«
Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”