< Salme 76 >

1 Til Sangmesteren. Med Strengespil. En Salme af Asaf. En Sang.
Mungu amefanya mwenyewe kujulikana katika Yuda; jina lake ni kuu katika Israeli.
2 Gud er kendt i Juda, hans Navn er stort i Israel,
Hema yake iko salemu; makao yake yako yako Sayuni.
3 i Salem er hans Hytte, hans Bolig er paa Zion.
Huko ndiko alivunja mishale ya upinde, ngao, upanga, na silaha zingine za vita. (Selah)
4 Der brød han Buens Lyn, Skjold og Sværd og Krigsværn. (Sela)
Wewe unang'aa sana na huufunua utukufu wako, ushukapo kutoka milimani, ambako uliwauwa mateka.
5 Frygtelig var du, herlig paa de evige Bjerge.
Wenye moyo shujaa walitekwa nyara; walilala mauti. Mashujaa wote walikuwa wanyonge.
6 De tapre gjordes til Bytte, i Dvale sank de, og Kraften svigted alle de stærke Kæmper.
Kwa kukemea kwako, ewe Mungu wa Yakobo, wote gari na farasi walilala mauti.
7 Jakobs Gud, da du trued, faldt Vogn og Hest i den dybe Søvn.
Wewe, ndiyo wewe, ni wa kuogopwa; ni nani awezaye kusimama mbele yako wakati ukiwa na hasira?
8 Frygtelig er du! Hvo holder Stand mod dig i din Vredes Vælde?
Kutoka mbinguni wewe uliifanya hukumu yako isikike; nchi iliogopa na ikaa kimya
9 Fra Himlen fældte du Dom, Jorden grued og tav,
wakati wewe, Mungu, ulipoinuka kutekeleza hukumu na kuwaokoa wote wa nchi walio onewa. (Selah)
10 da Gud stod op til Dom for at frelse hver ydmyg paa Jord. (Sela)
Hakika hukumu ya hasira yako dhidi ya binadamu itakuletea wewe sifa; wewe hujifunga mwenyewe hasira yako iliyo baki.
11 Thi Folkestammer skal takke dig, de sidste af Stammerne fejre dig.
Wekeni nadhiri kwa Yahwe Mungu wenu na kuzihifadhi. Nao wote wamzungukao yeye mleteeni zawadi yeye ambaye ni wa kuogopwa.
12 Aflæg Løfter og indfri dem for HERREN eders Gud, alle omkring ham skal bringe den Frygtindgydende Gaver. Han kuer Fyrsternes Mod, indgyder Jordens Konger Frygt.
Yeye huzikata roho za wakuu; huogopwa na wafalme wa nchi.

< Salme 76 >