< Salme 64 >

1 Til Sangmesteren. En Salme af David.
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu, uyahifadhi maisha yangu kutokana na vitisho vya adui.
2 Hør, o Gud, min Røst, naar jeg klager, skærm mit Liv mod den rædsomme Fjende;
Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu, kutokana na zile kelele za kundi la watenda mabaya.
3 skjul mig for Ugerningsmændenes Raad, for Udaadsmændenes travle Hob,
Wananoa ndimi zao kama panga na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.
4 der hvæsser Tungen som Sværd, lægger giftige Ord paa Buen
Hurusha mishale kutoka kwenye mavizio kwa mtu asiye na hatia, humrushia ghafula bila woga.
5 for i Løn at ramme den skyldfri, ramme ham brat og uset.
Kila mmoja humtia moyo mwenzake katika mipango mibaya; huzungumza juu ya kuficha mitego yao, nao husema, “Ni nani ataiona?”
6 Ihærdigt lægger de onde Raad, skryder af, at de lægger Snarer, siger: »Hvem skulde se os?«
Hufanya shauri baya la dhuluma na kusema, “Tumebuni mpango mkamilifu!” Hakika nia na moyo wa mwanadamu vina hila.
7 De udtænker onde Gerninger, fuldfører en gennemtænkt Tanke — og Menneskets Indre og Hjerte er dybt.
Bali Mungu atawapiga kwa mishale, nao ghafula wataangushwa.
8 Da rammer Gud dem med en Pil, af Slaget rammes de brat;
Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao na kuwaleta kwenye maangamizi; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao kwa dharau.
9 han styrter dem for deres Tunges Skyld. Enhver, som ser dem, ryster paa Hovedet;
Wanadamu wote wataogopa, watatangaza kazi za Mungu na kutafakari yale aliyoyatenda.
10 alle Mennesker frygter, forkynder, hvad Gud har gjort, og fatter hans Hænders Gerning; de retfærdige glædes i HERREN og lider paa ham, de oprigtige af Hjertet jubler til Hobe!
Wenye haki na wafurahi katika Bwana, na wakimbilie kwake; wanyofu wote wa moyo na wamsifu yeye!

< Salme 64 >