< Salme 63 >
1 En Salme af David, da han var i Judas Ørken.
Mungu, wewe ni Mungu wangu! Ninakutafuta wewe kwa bidii, moyo wangu unakiu yako, mwili wangu unakutamani sana wewe, katika ukame na nchi iliyochoka mahali ambapo hakuna maji.
2 Gud, du er min Gud, dig søger jeg, efter dig tørster min Sjæl, efter dig længes mit Kød i et tørt, vansmægtende, vandløst Land
Hivyo nimekutafuta wewe katika watu watakatifu kuona nguvu zako na utukufu wako.
3 (saaledes var det, jeg saa dig i Helligdommen) for at skue din Vælde og Ære;
Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakusifu wewe.
4 thi din Naade er bedre end Liv, mine Læber skal synge din Pris.
Hivyo nitakutukuza wewe niwapo hai; kwa jina lako nitainua mikono yangu juu.
5 Da vil jeg love dig hele mit Liv, opløfte Hænderne i dit Navn,
Itakuwa kana kwamba nilikula mlo wa mafuta na wenye kunona, kwa midomo ya furaha kinywa changu kitakusifu wewe,
6 Som med fede Retter mættes min Sjæl, med jublende Læber priser min Mund dig,
nikufikiripo kitandani mwangu na kukutafakari wewe wakati wa saa za usiku.
7 naar jeg kommer dig i Hu paa mit Leje, i Nattevagterne tænker paa dig;
Kwa maana umekuwa msaada wangu, na katika uvuli wa mbawa zako ninafurahia.
8 thi du er blevet min Hjælp, og jeg jubler i dine Vingers Skygge.
Ninashikamana nawe; mkono wako wa kuume unanisaidia.
9 Dig klynger min Sjæl sig til, din højre holder mig fast.
Lakini wale watafutao kuuharibu uhai wangu wataenda chini kwenye sehemu ya chini kabisa ya nchi;
10 Forgæves staar de mig efter Livet, i Jordens Dyb skal de synke,
watakabidhiwa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
11 gives i Sværdets Vold og vorde Sjakalers Bytte. Men Kongen glædes i Gud; enhver, der sværger ved ham, skal juble, thi Løgnernes Mund skal lukkes.
Bali mfalme atashangilia katika Mungu; yeyote anaye apa kupitia yeye atajivunia yeye, lakini vinywa ya wale wasemao uongo watanyamazishwa.