< Salme 57 >

1 Til Sangmesteren. Al-tasjhet. Af David. En Miktam, da han flygtede ind i Hulen for Saul.
Unihurumie, Mungu, unihurumie mimi, kwa maana ninakukimbilia wewe mpaka matatizo haya yaishe. Ninakaa chini ya mbawa za zako kwa ajili ya ulinzi mpaka huu uharibifu utakapoisha.
2 Vær mig naadig, Gud, vær mig naadig, thi hos dig har min Sjæl søgt Ly; i dine Vingers Skygge søger jeg Ly, til Ulykken er drevet over.
Nitakulilia Mungu uliye hai, kwa Mungu, afanyaye mambo yote kwa ajili yangu.
3 Gud, den Højeste, paakalder jeg, den Gud, der gør vel imod mig;
Yeye atatuma msaada kutoka mbinguni na kuniokoa, ana hasira na wale wanaonishambulia. (Selah) Mungu atanitumia upendo wake mwema na uaminifu wake.
4 han sender mig Hjælp fra Himlen og frelser min Sjæl fra dem, som vil mig til Livs. Gud sender sin Naade og Trofasthed.
Uhai wangu uko katikati ya simba; niko katikati ya wale walio tayari kunila. Niko katikati ya watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, na ambao ndimi zao ni kali kama upanga.
5 Jeg maa ligge midt iblandt Løver, bo mellem Folk, der spyr Ild, hvis Tænder er Spyd og Pile, hvis Tunge er hvas som et Sværd.
Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu, utukufu wako uwe juu ya nchi yote.
6 Løft dig, o Gud, over Himlen, din Herlighed være over al Jorden!
Wao walisambaza nje wavu kwa ajili ya miguu yangu; nilikuwa na shida sana. Walichimba shimo mbele yangu. Wao wenyewe wameangukia katikati ya shimo! (Selah)
7 Et Net har de udspændt for mine Skridt, deres egen Fod skal hildes deri; en Grav har de gravet foran mig, selv skal de falde deri. (Sela)
Moyo wangu umeponywa, Mungu, moyo wangu umeponywa, nitaimba, ndiyo, nitaimba sifa.
8 Mit Hjerte er trøstigt, Gud, mit Hjerte er trøstigt; jeg vil synge og lovprise dig,
Inuka, moyo wa thamani; inuka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
9 vaagn op, min Ære! Harpe og Citer vaagn op, jeg vil vække Morgenrøden.
Nitakushukuru wewe, Bwana, kati ya watu; Kati ya mataifa nitakuimbia sifa.
10 Jeg vil takke dig, Herre, blandt Folkeslag, prise dig blandt Folkefærd;
Maana upendo wako usiokwisha, huzifikia mbingu; na uaminifu wako mawinguni.
11 thi din Miskundhed naar til Himlen, din Sandhed til Skyerne. Løft dig, o Gud, over Himlen, din Herlighed være over al Jorden!
Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu; na utukufu wako uinuliwe juu ya nchi yote.

< Salme 57 >