< Salme 45 >
1 Til Sangmesteren. Til Liljerne. Af Koras Sønner. En Maskil. En Sang om Kærlighed.
Moyo wangu unafurika kwa neno zuri; nitasoma kwa sauti maneno niliyo yaandika kuhusu mfalme; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi mwenye ustadi.
2 Mit Hjerte svulmer af liflige Ord, jeg kvæder mit Kvad til Kongens Pris, som Hurtigskriverens Pen er min Tunge.
Wewe u mzuri sana kuliko mwanadamu yeyote; neema imemiminwa midomoni mwako; Kwa hiyo tunajua ya kuwa Mungu amekubariki milele.
3 Den skønneste er du af Menneskens Børn, Ynde er udgydt paa dine Læber, derfor velsignede Gud dig for evigt.
Weka upanga wako upande wako, wewe uliye mwenye nguvu, katika utukufu wako na enzi yako.
4 Omgjord din Lænd med Sværdet, o Helt,
Katika enzi yako enenda katika ushindi kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki; mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kutisha.
5 Lykken følge din Højhed og Hæder, far frem for Sandhedens Sag, for Ydmyghed og Retfærd, din højre lære dig frygtelige Ting!
Mishale yako ni mkali; watu huanguka chini yako; mishale yako imo ndani ya mioyo ya adui za mfalme.
6 Dine Pile er hvæssede, Folkeslag falder for din Fod, Kongens Fjender rammes i Hjertet.
Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele na milele; na fimbo ya haki ni fimbo ya utawala wako.
7 Din Trone, o Gud, staar evigt fast, en Retfærds Stav er din Kongestav.
Umeipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.
8 Du elsker Ret og hader Uret; derfor salvede Gud, din Gud, dig med Glædens Olie fremfor dine Fæller,
Mavazi yako yote hunukia manemane, udi, na mdalasini; kukoka katika majumba ya pembe vyombo vya muziki wa nyuzi vimekufurahisha.
9 af Myrra, Aloe og Kassia dufter alle dine Klæder. Du glædes ved Strengeleg fra Elfenbenshaller,
Binti za wafalme ni kati ya wake zako waheshimiwa; na mkono wako wa kuume amesimama malikia aliye vaa mavazi ya dhahabu ya Ofiri.
10 Kongedøtre staar i kostbare Klæder, Dronningen i Ofirguldets Skrud ved din højre.
Sikiliza, mwanangu, tafakari na utege sikio lako; uwasahahu watu wako na watu wa nyumba ya baba yako.
11 Hør, min Datter, opmærksomt og bøj dit Øre: Glem dit Folk og din Faders Hus,
Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
12 at Kongen maa attraa din Skønhed, thi han er din Herre.
Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
13 Tyrus's Datter skal hylde dig med Gaver, Folkets Rigmænd bejle til din Yndest.
Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
14 Idel Pragt er Kongedatteren, hendes Dragt er Perler, stukket i Guld;
Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
15 fulgt af Jomfruer føres hun frem i broget Pragt, Veninderne fører hende hen til Kongen.
Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.
16 De føres frem under Glæde og Jubel, holder deres Indtog i Kongens Palads.
Katika mahali pa baba zako watoto wako watakuwepo, ambao wewe utawafanya kuwa wakuu katika nchi yote.
17 Dine Sønner træde ind i dine Fædres Sted, sæt dem til Fyrster rundt i Landet! Jeg vil minde om dit Navn fra Slægt til Slægt; derfor skal Folkene love dig evigt og altid.
Nami nitalifanya jina lako kukumbukwa katika uzao wote; kwa hiyo watu watakushukuru milele na milele.