< Salme 44 >
1 Til Sangmesteren. Af Koras Sønner. En Maskil.
Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
2 Gud, vi har hørt det med egne Ører, vore Fædre har fortalt os derom; du øved en Daad i deres Dage, i Fortids Dage med din Haand;
Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
3 Folk drev du bort, men plantede hine, Folkeslag knuste du, men dem lod du brede sig;
Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
4 thi de fik ej Landet i Eje med Sværdet, det var ej deres Arm, der gav dem Sejr, men det var din højre, din Arm og dit Ansigts Lys, thi du havde dem kær.
Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
5 Du, du er min Konge, min Gud, som sender Jakob Sejr.
Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
6 Ved dig nedstøder vi Fjenden, Modstanderne træder vi ned i dit Navn;
Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
7 thi ej paa min Bue stoler jeg, mit Sværd kan ikke give mig Sejr;
Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
8 men du gav os Sejr over Fjenden, du lod vore Avindsmænd blive til Skamme.
Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
9 Vi roser os altid af Gud, dit Navn vil vi love for evigt. (Sela)
Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
10 Dog har du forstødt os, gjort os til Spot, du drager ej med vore Hære;
Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
11 du lader os vige for Fjenden, vore Avindsmænd tager sig Bytte;
Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
12 du har givet os hen som Slagtekvæg, og strøet os ud mellem Folkene,
Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
13 dit Folk har du solgt til Spotpris, vandt ikke Rigdom ved Salget.
Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
14 Til Haan for Naboer gør du os, til Spot og Spe for Grander,
Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
15 du gør os til Mundheld blandt Folkene, lader Folkeslagene ryste paa Hovedet ad os.
Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
16 Min Skændsel er mig altid i Tanke, og Skam bedækker mit Aasyn
kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
17 for spottende, haanende Tale, for Fjendens og den hævngerriges Blikke.
Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
18 Alt det kom over os, skønt vi glemte dig ikke, sveg ikke heller din Pagt!
Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
19 Vort Hjerte veg ikke fra dig, vore Skridt forlod ej din Vej.
Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
20 Dog knuste du os, hvor Sjakalerne bor, og indhylled os i Mørke.
Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
21 Havde vi glemt vor Guds Navn, bredt Hænderne ud mod en fremmed Gud,
Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
22 vilde Gud ej opspore det? Han kender jo Hjerternes Løndom —
Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
23 nej, for din Skyld dræbes vi Dagen lang og regnes som Slagtekvæg!
Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
24 Vaagn op, hvi sover du, Herre? Bliv vaagen, forstød ej for stedse!
Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
25 Hvorfor vil du skjule dit Aasyn, glemme vor Nød og Trængsel?
Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
26 Thi vor Sjæl ligger bøjet i Støvet, vort Legeme klæber ved Jorden. Staa op og kom os til Hjælp, forløs os for din Miskundheds Skyld!
Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.