< Salme 41 >
1 Til Sangmesteren. En Salme af David.
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Heri mtu yule anayemjali mnyonge, Bwana atamwokoa wakati wa shida.
2 Salig den Mand, der tager sig af de svage, ham frelser HERREN paa Ulykkens Dag;
Bwana atamlinda na kuyahifadhi maisha yake, atambariki katika nchi na hatamwacha katika tamaa ya adui zake.
3 HERREN vogter ham, holder ham i Live, det gaar ham vel i Landet, han giver ham ikke i Fjendevold.
Bwana atamtegemeza awapo mgonjwa kitandani, atamwinua kutoka kitandani mwake.
4 Paa Sottesengen staar HERREN ham bi, hans Smertensleje gør du ham let.
Nilisema, “Ee Bwana nihurumie, niponye, maana nimekutenda dhambi wewe.”
5 Saa siger jeg da: Vær mig naadig, HERRE, helbred min Sjæl, jeg har syndet mod dig!
Adui zangu wanasema kwa hila, “Lini atakufa, na jina lake litokomee kabisa.”
6 Mine Fjender ønsker mig ondt: »Hvornaar mon han dør og hans Navn udslettes?«
Kila anapokuja mtu kunitazama, huzungumza uongo, huku moyo wake hukusanya masingizio; kisha huondoka na kuyasambaza huku na huko.
7 Kommer en i Besøg, saa fører han hyklerisk Tale, hans Hjerte samler paa ondt, og saa gaar han bort og taler derom.
Adui zangu wote hunongʼonezana dhidi yangu, hao huniwazia mabaya sana, wakisema,
8 Mine Avindsmænd hvisker sammen imod mig, alle regner de med, at det gaar mig ilde:
“Ugonjwa mbaya sana umempata, kamwe hatainuka tena kitandani mwake.”
9 »En dødelig Sot har grebet ham; han ligger der — kommer aldrig op!«
Hata rafiki yangu wa karibu niliyemwamini, yule aliyekula chakula changu ameniinulia kisigino chake.
10 Endog min Ven, som jeg stolede paa, som spiste mit Brød, har løftet Hælen imod mig.
Lakini wewe, Ee Bwana, nihurumie, ukaniinue tena, ili niweze kuwalipiza kisasi.
11 Men du, o HERRE, vær mig naadig og rejs mig, saa jeg kan øve Gengæld imod dem.
Najua kwamba wapendezwa nami, kwa kuwa adui yangu hanishindi.
12 Deraf kan jeg kende, at du har mig kær, at min Fjende ikke skal juble over mig.
Katika uadilifu wangu unanitegemeza na kuniweka kwenye uwepo wako milele.
13 Du holder mig oppe i Kraft af min Uskyld, lader mig staa for dit Aasyn til evig Tid. Lovet være HERREN, Israels Gud, fra Evighed og til Evighed, Amen, Amen!
Msifuni Bwana, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele.