< Salme 34 >

1 Af David, da han lod afsindig for Abimelek, og denne jog ham fra sig, og han drog bort.
Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
2 Jeg vil love HERREN til hver en Tid, hans Pris skal stadig fylde min Mund;
Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
3 min Sjæl skal rose sig af HERREN, de ydmyge skal høre det og glæde sig.
Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
4 Hylder HERREN i Fællig med mig, lad os sammen ophøje hans Navn!
Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
5 Jeg søgte HERREN, og han svarede mig og friede mig fra alle mine Rædsler.
Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
6 Se hen til ham og straal af Glæde, eders Aasyn skal ikke beskæmmes.
Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
7 Her er en arm, der raabte, og HERREN hørte, af al hans Trængsel frelste han ham.
Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
8 HERRENS Engel slaar Lejr om dem, der frygter ham, og frier dem.
Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
9 Smag og se, at HERREN er god, salig den Mand, der lider paa ham!
Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
10 Frygter HERREN, I hans hellige, thi de, der frygter ham, mangler intet.
Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
11 Unge Løver lider Nød og sulter, men de, der søger HERREN, dem fattes intet godt.
Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
12 Kom hid, Børnlille, og hør paa mig, jeg vil lære jer HERRENS Frygt.
Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
13 Om nogen attraar Liv og ønsker sig Dage for at skue Lykke,
Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
14 saa var din Tunge for ondt, dine Læber fra at tale Svig;
Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
15 hold dig fra ondt og øv godt, søg Fred og jag derefter.
Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
16 paa retfærdige hviler hans Øjne, hans Ører hører deres Raab;
Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
17 Mod dem, der gør ondt, er HERRENS Aasyn for at slette deres Minde af Jorden;
Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
18 naar de skriger, hører HERREN og frier dem af al deres Trængsel.
Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
19 HERREN er nær hos dem, hvis Hjerte er knust, han frelser dem, hvis Aand er brudt.
Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
20 Den retfærdiges Lidelser er mange, men HERREN frier ham af dem alle;
Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
21 han vogter alle hans Ledemod, ikke et eneste brydes.
Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
22 Ulykke bringer de gudløse Død, og bøde skal de, der hader retfærdige. HERREN forløser sine Tjeneres Sjæl, og ingen, der lider paa ham, skal bøde.
Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.

< Salme 34 >