< Salme 13 >
1 Til Sangmesteren. En Salme af David.
Mpaka lini, Yahweh, utaendelea kunisahau? Ni kwa muda gani utauficha uso wako nisiuone?
2 Hvor længe vil du evigt glemme mig, Herre, hvor længe skjule dit Aasyn for mig?
Ni kwa muda gani nitalazimika kuhofu na kuhuzunika moyoni mwangu kila siku? Ni kwa muda gani adui zangu watanishida?
3 Hvor længe skal jeg huse Sorg i min Sjæl, Kvide i Hjertet Dag og Nat? Hvor længe skal Fjenden ophøje sig over mig?
Unitazame na unijibu, Yahwe Mungu wangu! Nipe mwanga machoni pangu, vinginevyo nitalala katika mauti.
4 Se til og svar mig, HERRE min Gud, klar mine Øjne, saa jeg ej sover ind i Døden
Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
5 og min Fjende skal sige: »Jeg overvandt ham!« mine Uvenner juble, fordi jeg vakler!
Lakini nimeamini katika uaminifu wa agano lako; moyo wangu wafurahia katika wokovu wako.
6 Dog stoler jeg fast paa din Miskundhed, lad mit Hjerte juble over din Frelse! Jeg vil synge for HERREN, thi han var mig god!
Nitamuimbia Yahwe kwa kuwa ameniganga kwa ukarimu kabisa.