< Ordsprogene 12 >

1 At elske Tugt er at elske Kundskab, at hade Revselse er dumt.
Yeyote apendaye kuadibishwa hupenda maarifa, bali yeye achukiaye kuonywa ni mpumbavu.
2 Den gode vinder Yndest hos HERREN, den rænkefulde dømmer han skyldig.
Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Bwana, bali Bwana humhukumu mwenye hila.
3 Ingen staar fast ved Gudløshed, men retfærdiges Rod skal aldrig rokkes.
Mtu hathibitiki kutokana na uovu, bali mwenye haki hataondolewa.
4 En duelig Kvinde er sin Ægtemands Krone, en daarlig er som Edder i hans Ben.
Mke mwenye tabia nzuri ni taji ya mumewe, bali aaibishaye ni kama uozo katika mifupa ya mumewe.
5 Retfærdiges Tanker er Ret, gudløses Opspind er Svig.
Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki, bali ushauri wa mwovu ni udanganyifu.
6 Gudløses Ord er paa Lur efter Blod, retsindiges Mund skal bringe dem Frelse.
Maneno ya waovu huotea kumwaga damu, bali maneno ya waadilifu huwaokoa.
7 Gudløse styrtes og er ikke mer, retfærdiges Hus staar fast.
Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.
8 For sin Klogskab prises en Mand, til Spot bliver den, hvis Vid er vrangt.
Mtu husifiwa kulingana na hekima yake, bali watu wenye akili zilizopotoka hudharauliwa.
9 Hellere overses, naar man holder Træl, end optræde stort, naar man mangler Brød.
Heri mtu wa hali ya chini mwenye mtumishi, kuliko kujifanya mtu wa hali ya juu nawe huna chakula.
10 Den retfærdige føler med sit Kvæg, gudløses Hjerte er grumt.
Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake, bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili.
11 Den mættes med Brød, som dyrker sin Jord, uden Vid er den, der jager efter Tomhed.
Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, bali yeye afuataye mambo ya upuzi hana akili.
12 De ondes Fæstning jævnes med Jorden, de retfærdiges Rod holder Stand.
Waovu hutamani mateka ya watu wabaya, bali shina la mwenye haki hustawi.
13 I Læbernes Brøde hildes den onde, den retfærdige undslipper Nøden.
Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake ya dhambi, bali mwenye haki huepuka taabu.
14 Af sin Munds Frugt mættes en Mand med godt, et Menneske faar, som hans Hænder har øvet.
Kutokana na tunda la midomo yake mtu hujazwa na mambo mema, hakika kama ilivyo kazi ya mikono yake humtunza.
15 Daarens Færd behager ham selv, den vise hører paa Raad.
Njia ya mpumbavu huonekana sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu mwenye hekima husikiliza ushauri.
16 En Daare giver straks sin Krænkelse Luft, den kloge spottes og lader som intet.
Mpumbavu huonyesha kuudhika kwake mara moja, bali mtu wa busara hupuuza matukano.
17 Den sanddru fremfører, hvad der er ret, det falske Vidne kommer med Svig.
Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa kuaminika, bali shahidi wa uongo husema uongo.
18 Mangens Snak er som Sværdhug, de vises Tunge læger.
Maneno ya kipumbavu huchoma kama upanga, bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji.
19 Sanddru Læbe bestaar for evigt, Løgnetunge et Øjeblik.
Midomo isemayo kweli hudumu milele, bali ulimi wa uongo hudumu kwa muda mfupi tu.
20 De, som smeder ondt, har Svig i Hjertet; de, der stifter Fred, har Glæde.
Upo udanganyifu katika mioyo ya wale ambao hupanga mabaya, bali kuna furaha kwa wale wanaoleta amani.
21 Den retfærdige times der intet ondt, gudløse oplever Vanheld paa Vanheld.
Hakuna dhara linalompata mwenye haki, bali waovu wana taabu nyingi.
22 Løgnelæber er HERREN en Gru, de ærlige har hans Velbehag.
Bwana anachukia sana midomo idanganyayo, bali hufurahia watu ambao ni wa kweli.
23 Den kloge dølger sin Kundskab, Taabers Hjerte udraaber Daarskab.
Mtu mwenye busara hujihifadhia maarifa yeye mwenyewe, bali moyo wa wapumbavu hububujika upumbavu.
24 De flittiges Haand skal raade, den lade tvinges til Hoveriarbejde.
Mikono yenye bidii itatawala, bali uvivu huishia katika kazi za utumwa.
25 Hjertesorg bøjer til Jorden, et venligt Ord gør glad.
Moyo wa wasiwasi humlemea mtu, bali neno la huruma humfurahisha.
26 Den retfærdige vælger sin Græsgang, gudløses Vej vildleder dem selv.
Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki, bali njia ya waovu huwapotosha.
27 Ladhed opskræmmer intet Vildt, men kosteligt Gods faar den flittige tildelt.
Mtu mvivu haoki mawindo yake, bali mtu mwenye bidii ana mali za thamani.
28 Paa Retfærds Sti er der Liv, til Døden fører den onde Vej.
Katika njia ya haki kuna uzima; katika mapito hayo kuna maisha ya milele.

< Ordsprogene 12 >