< Ordsprogene 10 >

1 Salomos Ordsprog. Viis Søn glæder sin Fader, taabelig Søn er sin Moders Sorg.
Mithali za Sulemani. Mwana mwenye hekima humfurahisha baba yake lakini mwana mpumbavu huleta majonzi kwa mama yake.
2 Gudløsheds Skatte gavner intet, men Retfærd redder fra Død.
Hazina zilizolimbikizwa kwa uovu hakosa thamani, bali kwa kutenda haki hujilinda mbali na kifo.
3 HERREN lader ej en retfærdig sulte, men gudløses Attraa støder han fra sig.
Yehova hawaachi wale watendao haki wapate njaa, bali hamu ya waovu huizuia.
4 Doven Haand skaber Fattigdom, flittiges Haand gør rig.
Mkono mlegevu humfanya mtu awe masikini, bali mkono wa mtu mwenye bidii hupata utajiri.
5 En klog Søn samler om Somren, en daarlig sover om Høsten.
Mwana mwenye busara hukusanya mazao wakati wa kiangazi, bali ni aibu kwake alalaye wakati wa mavuno.
6 Velsignelse er for retfærdiges Hoved, paa Uret gemmer gudløses Mund.
Zawadi kutoka kwa Mungu zipo juu ya kichwa cha wale watendao haki; bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
7 Den retfærdiges Minde velsignes, gudløses Navn smuldrer hen.
Mtu atendaye haki anatufurahisha tunapomkumbuka, bali jina la mwovu litaoza.
8 Den vise tager mod Paabud, den brovtende Daare styrtes.
Wale wenye akili hukubali maagiza, bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataangamia.
9 Hvo lydefrit vandrer, vandrer trygt; men hvo der gaar Krogveje, ham gaar det ilde.
Yeye anayetembea katika uadilifu hutembea katika usalama, bali yule anayepotosha njia zake, ataonekana.
10 Blinker man med Øjet, volder man ondt, den brovtende Daare styrtes.
Yeye ambaye hukonyeza kwa jicho lake huleta majonzi, bali mpumbavu mwenye maneno mengi atatupwa chini.
11 Den retfærdiges Mund er en Livsens Kilde, paa Uret gemmer gudløses Mund.
Kinywa cha mwenye kutenda haki ni kama chemchemi ya maji ya uzima, bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
12 Had vækker Splid, Kærlighed skjuler alle Synder.
Chuki huchochea mafarakano, bali upendo hufunika juu ya makwazo yote.
13 Paa den kloges Læber finder man Visdom, Stok er til Ryg paa Mand uden Vid.
Hekima inapatikana kwenye kinywa cha mtu mwenye ufahamu, bali fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa yule asiye na akili.
14 De vise gemmer den indsigt, de har, Daarens Mund er truende Vaade.
Watu wenye hekima hutunza maarifa, bali kinywa cha mpumbavu huleta uharibifu karibu.
15 Den riges Gods er hans faste Stad, Armod de ringes Vaade.
Mali ya mtu tajiri ni mji wake mwenye ngome; ufukara wa masikini ni uharibifu wao.
16 Den retfærdiges Vinding tjener til Liv, den gudløses Indtægt til Synd.
Mshahara wa watenda haki huelekea kwenye uzima; manufaa ya waovu huelekea dhambini.
17 At vogte paa Tugt er Vej til Livet, vild farer den, som viser Revselse fra sig.
Kuna njia kwenda kwenye uzima kwa yule anayefuata maongozo, bali anayekataa maonyo hupotea.
18 Retfærdige Læber tier om Had, en Taabe er den, der udspreder Rygter.
Yeye afichaye chuki anamidomo ya uongo, na yeye anayesambaza kashfa ni mpumbavu.
19 Ved megen Tale undgaas ej Brøde, klog er den, der vogter sin Mund.
Katika maneno mengi, hapakosi uhalifu, bali aliyemwangalifu katika usemi wake ni mwenye busara.
20 Den retfærdiges Tunge er udsøgt Sølv, gudløses Hjerte er intet værd.
Ulimi wa yule atendaye haki ni fedha safi; kuna thamani ndogo katika moyo wa mbaya.
21 Den retfærdiges Læber nærer mange, Daarerne dør af Mangel paa Vid.
Midomo ya yule atendaye haki huwastawisha wengi, bali wapumbavu hufa kwa sababu ya kukosa akili.
22 HERRENS Velsignelse, den gør rig, Slid og Slæb lægger intet til.
Zawadi njema za Yehova huleta utajiri na haweki maumivu ndani yake.
23 For Taaben er Skændselsgerning en Leg, Visdom er Leg for Mand med Indsigt.
Uovu ni mchezo achezao mpumbavu, bali hekima ni furaha kwa mtu mwenye ufahamu.
24 Hvad en gudløs frygter, kommer over hans Hoved, hvad retfærdige ønsker, bliver dem givet.
Hofu ya mwenye uovu humkumba ghafla, bali shauku ya mwenye haki itatimizwa.
25 Naar Storm farer frem, er den gudløse borte, den retfærdige staar paa evig Grund.
Waovu ni kama dhoruba inayopita, na hawapo tena, bali mwenye haki ni msingi unaodumu milele.
26 Som Eddike for Tænder og Røg for Øjne saa er den lade for dem, der sender ham.
Kama siki kwenye meno na moshi kwenye macho, ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.
27 HERRENS Frygt lægger Dage til, gudløses Aar kortes af.
Hofu ya Yehova huongeza maisha, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
28 Retfærdige har Glæde i Vente, gudløses Haab vil briste.
Matumaini ya wale watendao haki ndiyo furaha yao, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
29 For lydefri Vandel er HERREN et Værn, men en Rædsel for Udaadsmænd.
Njia ya Yehova huwalinda wale wenye uadilifu, bali kwa waovu ni uhalibifu.
30 Den retfærdige rokkes aldrig, ikke skal gudløse bo i Landet.
Wale watendao haki hawataondolewa, bali waovu hawatabaki katika nchi.
31 Den retfærdiges Mund bærer Visdoms Frugt, den falske Tunge udryddes.
Katika kinywa cha wale watendao haki hutoka tunda la hekima, bali ulimi wa kupotosha utakatwa.
32 Den retfærdiges Læber søger Yndest, gudløses Mund bærer Falskheds Frugt.
Midomo ya wale watendao mema huyajua yanayokubalika, bali kinywa cha waovu, huyajua yanayopotosha.

< Ordsprogene 10 >