< 4 Mosebog 36 >
1 Overhovederne for Fædrenehusene i Gileaditernes Slægt Gilead var en Søn af Manasses Søn Makir af Josefs Sønners Slægter traadte frem og talte for Moses og Øversterne, Overhovederne for Israeliternes Fædrenehuse,
Kisha wale viongozi wa nyumba za mababa wa ukoo wa Gileadi mwana wa Machiri (ambaye alikuwa mwana wa Manase), ambao walikuwa wa ukoo wa uzao wa Yusufu, walikuja wakasema mbele za Musa na mbele za vionigozi wa familia za mababa wa watu wa Israeli.
2 og sagde: »HERREN har paalagt min Herre at udskifte Landet mellem Israeliterne ved Lodkastning, og min Herre har i HERRENS Navn paabudt at give vor Frænde Zelofhads Arvelod til hans Døtre.
Wakasema, “BWANA alikuamuru, wewe bwana wetu, kutupa mgawo wa ardhi kwa kura kwa wana wa Israeli. Uliamuriwa na BWANA kutoa mgawo wa Zerofehadi kaka yetu kwa binti zake.
3 Men hvis de nu indgaar Ægteskab med Mænd, der hører til en anden af Israels Stammer, saa unddrages deres Arvelod jo vore Fædres Arvelod, og saaledes øges den Stammes Arvelod, som de kommer til at tilhøre, medens den Arvelod, der er tilfaldet os ved Lodkastning, formindskes;
Lakini hawa binti wameolewa na wanaume toka kabila zingine za wana wa Israeli, basi mgawo wao wa ardhi utaondolewa kutoka kwenye mgawo wa mababa zao. Utaongezwa kwenye mgawo wa makabila ambayo wao wanaungana nao. Kwa sababu hiyo, Utaondolewa kwenye mgawo uliopangwa kwenye urithi wetu.
4 og naar Israeliterne faar Jubelaar, lægges deres Arvelod til den Stammes Arvelod, som de kommer til at tilhøre, og saaledes unddrages deres Arvelod vor fædrene Stammes Arvelod.«
Kwa sababu hiyo, wakati wa mwaka wa yubilee ya wana wa Israeli utakapofika, mgawo wao utaunganishwa na kabila ile waliyoungana nao. Kwa sababu hii mgawo wao utaondolewa kwenye mgawo wa mababa zetu.”
5 Da udstedte Moses efter HERRENS Ord følgende Bud til Israeliterne: »Josefs Sønners Stamme har talt ret!
Basi Musa akawapa amri wana wa Israeli, kwa neno la BWANA. Akasema, “Kile wanachosema watu wa kabila la Yusufu kiko sahihi.
6 Saaledes er HERRENS Bud angaaende Zelofhads Døtre: De maa indgaa Ægteskab med hvem de ønsker, men det maa kun være Mænd af deres Faders Stammes Slægt, de indgaar Ægteskab med.
Hiki ndicho BWANA anaagiza kuhusu mabinti wa Zelofehadi. Anasema, 'Acha waolewa na wale ambao wao wanaofikri ni vizuri zaidi, lakini lazima waolewe ndani ya kabila ya baba yao.'
7 Thi ingen Arvelod, der tilhører Israel, maa gaa over fra en Stamme til en anden, men Israeliterne skal holde fast hver ved sin fædrene Stammes Arvelod.
Hakuna mgawo wa watu utakaobadilika kutoka kabila moja kwenda jingine. Kila mtu wa Israeli ataendelea na mgawo wa kabila ya baba y ake.
8 Enhver Datter, som faar en Arvelod i en af Israeliternes Stammer, skal indgaa Ægteskab med en Mand af sin fædrene Stammes Slægt, for at Israeliterne kan beholde hver sine Fædres Arvelod som Ejendom;
Kila mwanamke wa watu wa Israeli aliye na mgao kwenye kabila lake lazima aolewe na mtu wa ukoo unaotoka kwenye kabila la baba yake. Hii itafanyika hivyo ili kila mtu wa wana wa Israeli aweze kuwa na urithi kutoka kwa mababa zake.
9 og ingen Arvelod maa gaa over fra den ene Stamme til den anden, men Israeliternes Stammer skal holde fast hver ved sin Arvelod!«
Hakuna mgawo utakaobadilika kutoka kabila nyingine kwenda kabila nyingine. Kila mtu wa kabila za watu wa Israeli atalinda urithi wake.”
10 Zelofhads Døtre gjorde da, som HERREN paalagde Moses,
Kwa hiyo wale binti wa Zelofehadi walifanya kama vile BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa. Mahila, Tiriza, Hogila, Milika, na Noha, binti za
11 idet Mala, Tirza, Hogla, Milka og Noa, Zelofhads Døtre, indgik Ægteskab med deres Farbrødres Sønner;
Zelofehadi, waliolewa na wana wa uzao wa Manase.
12 de indgik Ægteskab med Mænd, som hørte til Josefs Søn Manasses Sønners Slægter, saa at deres Arvelod vedblev at tilhøre deres fædrene Slægts Stamme.
Waliolewa katika koo za uzao wa Manase mwana wa Yusufu. Kwa sababu hii, urithi wao ulibaki kwenye kabila la ukoo ambalo baba yao alikuwa anatoka.
13 Det er de Bud og Lovbud, HERREN gav Israeliterne ved Moses paa Moabs Sletter ved Jordan over for Jeriko.
Hizi ndizo amri na maagizo ambayo BWANAaliyatoa kupitia Musa kwa wana wa Israeli katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.