< Josua 12 >

1 Følgende to Konger i Landet blev overvundet af Israeliterne og deres Land taget i Besiddelse af dem, Landet østen for Jordan fra Arnonfloden til Hermonbjerget og hele Arabalavningens østre Del:
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
2 Amoriterkongen Sihon, som boede i Hesjbon og herskede fra Aroer ved Arnonflodens Bred og fra Midten af Floddalen over Halvdelen af Gilead indtil Jabbokfloden, der er Ammoniternes Grænse,
Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
3 og over Arabalavningen indtil Kinnerotsøens Østside og Arabahavets, Salthavets, Østside hen imod Bet-Jesjimot og længere Syd paa hen imod Egnen ved Foden af Pisgas Skrænter;
Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
4 og Kong Og af Basan, som hørte til dem, der var tilbage af Refaiterne, og boede i Asjtarot og Edre'i
Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
5 og herskede over Hermonbjerget, Salka og hele Basan indtil Gesjuriternes og Ma'akatiternes Landemærke og over Halvdelen af Gilead indtil Kong Sihon af Hesjbons Landemærke.
Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
6 HERRENS Tjener Moses og Israeliterne havde overvundet dem, og HERRENS Tjener Moses havde givet Rubeniterne, Gaditerne og Manasses halve Stamme Landet i Eje.
Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
7 Følgende Konger i Landet blev overvundet af Josua og Israeliterne hinsides Jordan, paa Vestsiden, fra Ba'al-Gad i Dalen ved Libanon til det nøgne Bjergdrag, som højner sig mod Se'ir, og deres Land givet Israels Stammer i Eje af Josua efter deres Afdelinger,
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
8 i Bjerglandet, i Lavlandet, i Arabalavningen, paa Skraaningerne, i Ørkenen og i Sydlandet, Hetiterne, Amoriterne, Kana'anæerne, Perizziterne, Hivviterne og Jebusiterne:
nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
9 Kongen i Jeriko een; Kongen i Aj ved Betel een;
mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
10 Kongen i Jerusalem een; Kongen i Hebron een;
mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
11 Kongen i Jarmut een; Kongen i Lakisj een;
mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
12 Kongen i Eglon een; Kongen i Gezer een;
mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
13 Kongen i Debir een; Kongen i Geder een;
mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
14 Kongen i Horma een; Kongen i Arad een;
mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
15 Kongen i Libna een; Kongen i Adullam een;
mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
16 Kongen i Makkeda een; Kongen i Betel een;
mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
17 Kongen i Tappua een; Kongen i Hefer een;
mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
18 Kongen i Afek een; Kongen i Lassjaron een;
mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
19 Kongen i Madon een; Kongen i Hazor een;
mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
20 Kongen i Sjimron-Meron een; Kongen i Aksjaf een;
mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
21 Kongen i Ta'anak een; Kongen i Megiddo een;
mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
22 Kongen i Kedesj een; Kongen i Jokneam ved Karmel een;
mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
23 Kongen i Dor ved Højdedraget Dor een; Kongen over Folkene i Galilæa een;
mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
24 Kongen i Tirza een; tilsammen en og tredive Konger.
mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.

< Josua 12 >