< Johannes 2 >

1 Og paa den tredje Dag var der et Bryllup i Kana i Galilæa; og Jesu Moder var der.
Baada ya siku tatu, kulikuwa na arusi huko Kana ya Galilaya na mama yake Yesu alikuwa huko.
2 Men ogsaa Jesus og hans Disciple bleve budne til Brylluppet.
Yesu na wanafunzi wake walikuwa wamealikwa katika arusi.
3 Og da Vinen slap op, siger Jesu Moder til ham: „De have ikke Vin.”
Wakati walipoishiwa na divai, mama yake Yesu akamwambia, “Hawana divai.”
4 Jesus siger til hende: „Kvinde! hvad vil du mig? min Time er endnu ikke kommen.”
Yesu akajibu, “Mwanamke hiyo inanihusu nini mimi? Muda wangu mimi bado haujatimia.”
5 Hans Moder siger til Tjenerne: „Hvad som han siger eder, det skulle I gøre.”
Mama yake akawambia watumishi, “Chochote atakachowambia fanyeni.”
6 Men der var der efter Jødernes Renselsesskik fremsat seks Vandkar af Sten, som rummede hvert to eller tre Spande.
Basi kulikuwa na mitungi sita ya mawe pale iliyowekwa kwa ajili ya kunawa katika sikukuu za Wayahudi, kila moja lilikuwa na ujazo wa nzio mbili tatu.
7 Jesus siger til dem: „Fylder Vandkarrene med Vand;” og de fyldte dem indtil det øverste.
Yesu akawambia, “Ijazeni maji mitungi ya mawe.” Wakajaza hadi juu.
8 Og han siger til dem: „Øser nu og bærer til Køgemesteren;” og de bare det til ham.
Kisha akawambia wale watumishi, “Chukueni kiasi sasa na mpeleke kwa muhudumu mkuu wa meza.” Wakafanya kama walivyoagizwa.
9 Men da Køgemesteren smagte Vandet, som var blevet Vin, og ikke vidste, hvorfra det kom (men Tjenerne, som havde øst Vandet, vidste det), kalder Køgemesteren paa Brudgommen og siger til ham:
Mhudumu mkuu aliyaonja yale maji yaliyokuwa yamebadilika na kuwa divai, ila hakujua yalikotoka (lakini watumishi waliochota maji walijua yalikotoka). Kisha akamwita bwana harusi na
10 „Hvert Menneske sætter først den gode Vin frem, og naar de ere blevne drukne, da den ringere; du har gemt den gode Vin indtil nu.”
kumwambia, “Kila mmoja huanza kuwahudumia watu divai nzuri na wakiishalewa huwapa divai isiyo nzuri. Lakini wewe umeitunza divai nzuri hadi sasa”
11 Denne Begyndelse paa sine Tegn gjorde Jesus i Kana i Galilæa, og han aabenbarede sin Herlighed; og hans Disciple troede paa ham.
Muujiza huu wa Kana ya Galilaya, ulikuwa ndio mwanzo wa ishara za miujiza aliyoifanya Yesu, akifunua utukufu wake, hivyo wanafunzi wake wakamwamini.
12 Derefter drog han ned til Kapernaum, han og hans Moder og hans Brødre og hans Disciple, og de bleve der ikke mange Dage.
Baada ya hii, Yesu, mama yake, ndugu zake na wanafunzi wake walienda katika mji wa Kapernaum na wakaa huko kwa siku chache.
13 Og Jødernes Paaske var nær, og Jesus drog op til Jerusalem.
Basi Pasaka ya Wayahudi ilikuwa imekaribia, hivyo Yesu akaenda Yerusalemu.
14 Og han fandt siddende i Helligdommen dem, som solgte Okser og Faar og Duer, og Vekselererne.
Akawakuta wauzaji wa ng'ombe, kondoo, na njiwa ndani ya Hekalu. Pia na wabadilisha fedha walikuwa wameketi ndani ya Hekalu.
15 Og han gjorde en Svøbe af Reb og drev dem alle ud af Helligdommen, baade Faarene og Okserne, og han spredte Vekselerernes Smaapenge og væltede Bordene.
Yesu akatengeneza mjeledi wenye vifundo, akawatoa wote walikuwemo katika hekalu, ikijumuisha ng'ombe na kondoo. Akamwaga fedha za wabadili fedha na kuzipindua meza zao.
16 Og han sagde til dem, som solgte Duer: „Tager dette bort herfra; gører ikke min Faders Hus til en Købmandsbod!”
Kwa wauzaji wa njiwa akawambia, “Toeni vitu hivi mbali na mahali hapa, acheni kuifanya nyumba ya Baba yangu kuwa mahali pa soko.”
17 Hans Disciple kom i Hu, at der er skrevet: „Nidkærheden for dit Hus vil fortære mig.”
Wanafunzi wake wakakumbuka kuwa ilikuwa imeandikwa, “Wivu wa nyumba yako utanila.”
18 Da svarede Jøderne og sagde til ham: „Hvad viser du os for et Tegn, efterdi du gør dette?”
Wakuu wa Kiyahudi wakajibu, wakamwambia, Ni ishara ipi utakayoionyesha kwa sababu unayafanya mambo haya?”
19 Jesus svarede og sagde til dem: „Nedbryder dette Tempel, og i tre Dage vil jeg oprejse det.”
Yesu akawajibu, libomoeni Hekalu hili nami nitalijenga baada ya siku tatu.”
20 Da sagde Jøderne: „I seks og fyrretyve Aar er der bygget paa dette Tempel, og du vil oprejse det i tre Dage?”
Kisha wakuu wa Wayahudi wakasema, “Iligharimu miaka arobaini na sita kujenga hekalu hili nawe unasema utalijenga kwa siku tatu?”
21 Men han talte om sit Legemes Tempel.
Ingawa, yeye aliongea hekalu akimaanisha mwili wake.
22 Da han saa var oprejst fra de døde, kom hans Disciple i Hu, at han havde sagt dette; og de troede Skriften og det Ord, som Jesus havde sagt.
Hivyo baadaye baada ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu, wanafunzi wake wakakumbuka kuwa alisema hivyo, wakaamini maandiko na kauli hii ambayo Yesu alikuwa amekwisha kuisema.
23 Men da han var i Jerusalem i Paasken paa Højtiden, troede mange paa hans Navn, da de saa hans Tegn, som han gjorde.
Basi alipokuwa Yerusalemu wakati wa Pasaka, wakati wa sikukuu watu wengi waliamini jina lake, walipoona ishara ya miujiza aliyoifanya.
24 Men Jesus selv betroede sig ikke til dem, fordi han kendte alle,
Lakini Yesu hakuwa na imani nao kwa sababu aliwajua wanadamu wote.
25 og fordi han ikke havde nødig, at nogen skulde vidne om Mennesket; thi han vidste selv, hvad der var i Mennesket.
Hakuhitaji mtu yeyote kumwambia kuhusu walivyo wanadamu kwa sababu alijua kilichokuwamo ndani yao.

< Johannes 2 >