< Job 34 >

1 Og Elihu tog til Orde og sagde:
Zaidi ya hayo, Elihu aliendelea kusema:
2 Hør mine Ord, I vise, I forstandige Mænd, laan mig Øre!
“Sikilizeni maneno yangu, ninyi watu wenye hekima; nisikieni, ninyi mlio na maarifa.
3 Thi Øret prøver Ord, som Ganen smager paa Mad;
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama ambavyo kaakaa huonja chakula.
4 lad os udgranske, hvad der er Ret, med hinanden skønne, hvad der er godt!
Na tujichagulie sisi wenyewe yale yenye adili: na tujigundulie miongoni mwetu yale yaliyo mazuri.
5 Job sagde jo: »Jeg er retfærdig, min Ret har Gud sat til Side;
Kwa kuwa Ayubu amesema, 'mimi ni mwenye haki, lakini Mungu ameondoa haki zangu.
6 min Ret til Trods skal jeg være en Løgner? Skønt brødefri er jeg saaret til Døden!«
Pamoja na haki zangu, ninaangaliwa kama mwongo. Kidonda changu hakiponyeki, ingawa mimi sina dhambi.'
7 Er der mon Mage til Job? Han drikker Spot som Vand,
Ni mtu gani aliye kama Ayubu ambaye hunywa dharau kama maji,
8 søger Selskab med Udaadsmænd og Omgang med gudløse Folk!
ambaye huzunguka katika ushirika wa watu ambao ni waovu, na ambaye hutembea pamoja na watu waovu?
9 Thi han sagde: »Det baader ikke en Mand, at han har Venskab med Gud!«
Kwa kuwa anasema, ' Hakuna faida kwa mtu kujifurahisha kwa kufanya mambo ambayo Mungu anayataka.'
10 Derfor, I kloge, hør mig: Det være langt fra Gud af synde, fra den Almægtige at gøre ondt;
Basi nisikilizeni mimi, enyi watu wenye ufahamu: na iwe mbali na Mungu kwamba atatenda uovu;
11 nej, han gengælder Menneskets Gerning, handler med Manden efter hans Færd;
na iwe mbali na Mwenye enzi kwamba atatenda dhambi. Kwa kuwa humlipa mtu kutokana na kazi yake; na humfanya mtu apate thawabu za njia zake mwenyewe.
12 Gud forbryder sig visselig ej, den Almægtige bøjer ej Retten!
Kwa hakika, Mungu hatendi uovu, wala Mwenye nguvu hajaIpotosha haki.
13 Hvo gav ham Tilsyn med Jorden, hvo vogter, mon hele Verden?
Ni nani aliyemweka kuwa mtawala wa dunia? Ni nani aliyeiweka dunia yote chini yake?
14 Drog han sin Aand tilbage og tog sin Aande til sig igen,
Ikiwa aliweka makusudio yake juu yake mwenyewe, na kama amejikusanyia mwenyewe nafsi yake na pumzi yake,
15 da udaanded Kødet til Hobe, og atter blev Mennesket Støv!
basi miili yote itateketea pamoja; mwanadamu angerudi mavumbini tena.
16 Har du Forstand, saa hør derpaa, laan Øre til mine Ord!
Kama sasa mna ufahamu, sikilizeni haya; sikilizeni sauti ya maneno yangu.
17 Mon en, der hadede Ret, kunde styre? Dømmer du ham, den Retfærdige, Vældige?
Je yeye anayeichukia haki aweza kutawala? Je mtamhukumu Mungu kuwa ni mwenye makosa, ambaye ni mwenye haki na mwenye nguvu?
18 Han, som kan sige til Kongen: »Din Usling!« og »Nidding, som du er!« til Stormænd,
Mungu ambaye humwambia mfalme, ' Wewe ni mbaya; au huwaambia wenye kuheshimiwa, 'Ninyi ni waovu'?
19 som ikke gør Forskel til Fordel for Fyrster ej heller foretrækker rig for ringe, thi de er alle hans Hænders Værk.
Mungu ambaye haoneshi upendeleo kwa viongozi na ambaye hawakubali zaidi watu matajiri kuliko masikini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake.
20 Brat maa de dø, endda midt om Natten; de store slaar han til, og borte er de, de vældige fjernes uden Menneskehaand.
Watakufa kwa muda mfupi; wakati wa usiku watu watatikiswa na watapita; watu wenye nguvu watatwaliwa mbali, lakini si kwa mikono ya wanadamu.
21 Thi Menneskets Veje er ham for Øje, han skuer alle dets Skridt;
Kwa kuwa macho ya Mungu yako juu ya njia za mtu; anaziona hatua zake zote.
22 der er intet Mørke og intet Mulm, som Udaadsmænd kan gemme sig i.
Hakuna giza, wala hakuna weusi mzito ambao watenda mabaya wanaweza kujificha wao wenyewe.
23 Thi Mennesket sættes der ingen Frist til at møde i Retten for Gud;
Kwa kuwa Mungu hahitaji kumchunguza mtu zaidi; wala hakuna haja kwa mtu yeyote kwenda mbele zake kwa hukumu.
24 han knuser de vældige uden Forhør og sætter andre i Stedet.
Huwavunja vipande vipande watu wenye nguvu kwa ajili ya njia zao ambazo hazihitaji uchunguzi zaidi; huwaweka watu wengine katika nafasi zao.
25 Jeg hævder derfor: Han ved deres Gerninger, og ved Nattetide styrter han dem;
Kwa namna hii ana maarifa juu ya matendo yao; huwatupa watu hawa wakati wa usiku; nao wameangamizwa.
26 for deres Gudløshed slaas de sønder, for alles Øjne tugter han dem,
Huwaua kwa matendo yao mabaya kama wakosaji dhahiri mbele za watu wengine
27 fordi de veg bort fra ham og ikke regned hans Veje det mindste,
kwasababu wamegeuka na kuacha kumfuata yeye na wamekataa kuzisadiki njia zake zozote.
28 saa de voldte, at ringe raabte til ham, og han maatte høre de armes Skrig.
Na kwa namna hii, wamekifanya kilio cha watu masikini kimfikie; amekisikia kilio cha watu walioteswa.
29 Tier han stille, hvo vil dømme ham? Skjuler han sit Aasyn, hvo vil laste ham? Over Folk og Mennesker vaager han dog,
Na wakati akaapo kimya, nani aweza kumhukumu kuwa mkosaji? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumjua? Anatawala sawa sawa juu ya taifa na mtu pia,
30 for at ikke en vanhellig skal herske, en af dem, der er Folkets Snarer.
ili kwamba watu wasiomjua Mungu wasije wakatawala, ili kwamba asiwepo mtu wa kuwanasa watu.
31 Siger da en til Gud: »Fejlet har jeg, men synder ej mer,
Fikiria mtu akimwambia Mungu, ' Mimi ni mwenye hatia kabisa, lakini sitatenda dhambi tena;
32 jeg ser det, lær du mig; har jeg gjort Uret, jeg gør det ej mer!«
nifunze kile ambacho siwezi kukiona; nimetenda dhambi, lakini sitafanya tena.'
33 skal han da gøre Gengæld, fordi du vil det, fordi du indvender noget? Ja du, ikke jeg, skal afgøre det, saa sig da nu, hvad du ved!
Je unadhani kwamba Mungu ataiadhibu dhambi ya mtu huyo, kwa kuwa unayachukia yale ambayo Mungu huyatenda? Ni lazima uchague, siyo mimi. Basi sema yale ambayo unayajua.
34 Kloge Folk vil sige til mig som og vise Mænd, der hører mig:
Watu wenye ufahamu wataniambia, kwa kweli, kila mtu mwenye hekima ambaye hunisikia atasema,
35 »Job taler ikke med Indsigt, hans Ord er uoverlagte!
Ayubu anazungumza bila maarifa; maneno yake hayana hekima.'
36 Gid Job uden Ophør maa prøves, fordi han svarer som slette Folk!
Kama Ayubu alijaribiwa kwa kitu kidogo kabisa katika kesi yake kwasababu ya kuongea kwake kama watu waovu.
37 Thi han dynger Synd paa Synd, han optræder hovent iblandt os og fremfører mange Ord imod Gud!«
Kwa kuwa anaongeza uasi juu ya dhambi yake; anapiga makofi ya dharau kati yetu; anaweka maneno kinyume na Mungu.”

< Job 34 >