< Job 30 >

1 Nu derimod ler de ad mig, Folk, der er yngre end jeg, hvis Fædre jeg fandt for ringe at sætte iblandt mine Hyrdehunde.
“Lakini sasa watu wadogo kwa umri kuniliko wananidhihaki, watu ambao baba zao ningekataa kwa dharau kuwaweka pamoja na mbwa wangu wa kulinda kondoo.
2 Og hvad skulde jeg med deres Hænders Kraft? Deres Ungdomskraft har de mistet,
Nguvu za mikono yao zingekuwa na faida gani kwangu, kwa kuwa nguvu zao zilikuwa zimewaishia?
3 tørrede hen af Trang og Sult. De afgnaver Ørk og Ødemark
Wakiwa wamekonda kutokana na kupungukiwa na kwa njaa, walizurura usiku katika nchi kame iliyo ukiwa.
4 og plukker Melde ved Krattet, Gyvelrødder er deres Brød.
Katika vichaka walikusanya mimea ya chumvi, nacho chakula chao kilikuwa mizizi ya mti wa mfagio.
5 Fra Samfundet drives de bort, som ad Tyve raabes der efter dem.
Walifukuzwa mbali na watu wao, wakipigiwa kelele kama wevi.
6 De bor i Kløfter, fulde af Rædsler, i Jordens og Klippernes Huler.
Walilazimika kuishi katika mikondo ya vijito vilivyokauka, kwenye majabali na mahandaki.
7 De brøler imellem Buske, i Tornekrat kommer de sammen,
Kwenye vichaka walilia kama punda, na walijisongasonga pamoja kwenye vichaka.
8 en dum og navnløs Æt, de joges med Hug af Lande.
Wao ni watoto wa wapumbavu wenye asili ya ubaya, waliofukuzwa watoke katika nchi.
9 Men nu er jeg Haansang for dem, jeg er dem et Samtaleemne;
“Nao sasa wana wao wananidhihaki katika nyimbo; nimekuwa kitu cha dhihaka kwao.
10 de afskyr mig, holder sig fra mig, nægter sig ikke af spytte ad mig.
Wananichukia sana na kujitenga nami, wala hawasiti kunitemea mate usoni.
11 Thi han løste min Buestreng, ydmyged mig, og foran mig kasted de Tøjlerne af.
Sasa kwa kuwa Mungu ameilegeza kamba ya upinde wangu na kunitesa, wamekuwa huru kunitendea waonavyo.
12 Til højre rejser sig Ynglen, Fødderne slaar de fra mig, bygger sig Ulykkesveje imod mig;
Kuume kwangu kundi linashambulia; wao huitegea miguu yangu tanzi, na kunizingira.
13 min Sti har de opbrudt, de hjælper med til mit Fald, og ingen hindrer dem i det;
Huizuia njia yangu, nao hufanikiwa katika kuniletea maafa, nami sina yeyote wa kunisaidia.
14 de kommer som gennem et gabende Murbrud, vælter sig frem under Ruiner,
Wananijia kama watu wapitao katika ufa mpana; katikati ya magofu huja na kunishambulia.
15 Rædsler har vendt sig imod mig; min Værdighed joges bort som af Storm, min Lykke svandt som en Sky.
Vitisho vimenifunika; heshima yangu imetoweshwa kama kwa upepo, salama yangu imetoweka kama wingu.
16 Min Sjæl opløser sig i mig; Elendigheds Dage har ramt mig:
“Sasa maisha yangu yamefikia mwisho; siku za mateso zimenikamata.
17 Natten borer i mine Knogler, aldrig blunder de nagende Smerter.
Usiku mifupa yangu inachoma; maumivu yanayonitafuna hayatulii kamwe.
18 Med vældig Kraft vanskabes mit Kød, det hænger om mig, som var det min Kjortel.
Kwa uwezo wake mkuu Mungu huwa kwangu kama nguo; hushikamana nami kama ukosi wa vazi langu.
19 Han kasted mig ud i Dynd, jeg er blevet som Støv og Aske.
Yeye amenitupa kwenye matope, nami nimekuwa kama mavumbi na majivu.
20 Jeg skriger til dig, du svarer mig ikke, du staar der og ænser mig ikke;
“Ee Bwana, ninakulilia wewe lakini hunijibu; ninasimama, nawe unanitazama tu.
21 grum er du blevet imod mig, forfølger mig med din vældige Haand.
Wewe unanigeukia bila huruma; unanishambulia kwa nguvu za mkono wako.
22 Du løfter og vejrer mig hen i Stormen, og dens Brusen gennemryster mig;
Unaninyakua na kunipeperusha kwa upepo; umenirusha huku na huko kwenye dhoruba kali.
23 thi jeg ved, du fører mig hjem til Døden, til det Hus, hvor alt levende samles.
Ninajua utanileta mpaka kifoni, mahali ambapo wenye uhai wote wamewekewa.
24 Dog, mon den druknende ej rækker Haanden ud og raaber om Hjælp, naar han gaar under?
“Hakika hakuna yeyote amshambuliaye mhitaji, anapoomba msaada katika shida yake.
25 Mon ikke jeg græder over den, som havde det haardt, sørgede ikke min Sjæl for den fattiges Skyld?
Je, sikulia kwa ajili ya wale waliokuwa katika taabu? Je, nafsi yangu haikusononeka kwa ajili ya maskini?
26 Jeg biede paa Lykke, men Ulykke kom, jeg haabed paa Lys, men Mørke kom;
Lakini nilipotazamia mema, mabaya yalinijia; nilipotafuta nuru, ndipo giza lilipokuja.
27 ustandseligt koger det i mig, Elendigheds Dage traf mig;
Kusukwasukwa ndani yangu kamwe hakutulii; siku za mateso zinanikabili.
28 trøstesløs gaar jeg i Sorg, i Forsamlingen rejser jeg mig og raaber;
Ninazunguka nikiwa nimeungua, lakini si kwa jua; ninasimama katika kusanyiko nikiomba msaada.
29 Sjakalernes Broder blev jeg, Strudsenes Fælle.
Nimekuwa ndugu wa mbweha, rafiki wa mabundi.
30 Min Hud er sort, falder af, mine Knogler brænder af Hede;
Ngozi yangu imekuwa nyeusi nayo inachunika; mifupa yangu inaungua kwa homa.
31 min Citer er blevet til Sorg, min Fløjte til hulkende Graad!
Kinubi changu kimegeuka kuwa maombolezo, nayo filimbi yangu imekuwa sauti ya kilio.

< Job 30 >