< Job 26 >

1 Saa tog Job til Orde og svarede:
Kisha Ayubu akajibu:
2 Hvor har du dog hjulpet ham, den afmægtige, støttet den kraftløse Arm!
“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
3 Hvor har du dog raadet ham, den uvise, kundgjort en Fylde af Visdom!
Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
4 Hvem hjalp dig med at faa Ordene frem, hvis Aand mon der talte af dig?
Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
5 Skyggerne skælver af Angst, de, som bor under Vandene;
“Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
6 blottet er Dødsriget for ham, Afgrunden uden Dække. (Sheol h7585)
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol h7585)
7 Han udspænder Norden over det tomme, ophænger Jorden paa intet;
Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
8 Vandet binder han i sine Skyer, og Skylaget brister ikke derunder;
Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
9 han fæstner sin Trones Hjørner og breder sit Skylag derover;
Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
10 han drog en Kreds over Vandene, der, hvor Lys og Mørke skilles.
Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
11 Himlens Støtter vakler, de gribes af Angst ved hans Trusel;
Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
12 med Vælde bragte han Havet til Ro og knuste Rahab med Kløgt;
Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
13 ved hans Aande klarede Himlen op hans Haand gennembored den flygtende Slange.
Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
14 Se, det er kun Omridset af hans Vej, hvad hører vi andet end Hvisken? Hans Vældes Torden, hvo fatter vel den?
Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”

< Job 26 >