< Job 16 >
1 Saa tog Job til Orde og svarede:
Kisha Ayubu akajibu:
2 Nok har jeg hørt af sligt, besværlige Trøstere er I til Hobe!
“Nimepata kusikia mambo mengi kama haya, nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!
3 Faar Mundsvejret aldrig Ende? Hvad ægged dig dog til at svare?
Je, maneno yenu mengi yasiyo na maana hayana mwisho? Mna nini hata mwendelee kushindana kwa maneno?
4 Ogsaa jeg kunde tale som I, hvis I kun var i mit Sted, føje mine Ord imod jer og ryste paa Hovedet ad jer,
Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi, kama mngekuwa katika hali yangu; ningeweza kutoa hotuba nzuri dhidi yenu, na kuwatikisia ninyi kichwa changu.
5 styrke jer med min Mund, ej spare paa ynksomme Ord!
Lakini kinywa changu kingewatia moyo; faraja kutoka midomoni mwangu, ingewaletea nafuu.
6 Taler jeg, mildnes min Smerte ikke og om jeg tier, hvad Lindring faar jeg?
“Lakini kama nikisema, maumivu yangu bado hayatulizwi; nami kama nikijizuia, wala hayaondoki.
7 Dog nu har han udtømt min Kraft, du har ødelagt hele min Kreds;
Ee Mungu, hakika umenichakaza; umewaangamiza kabisa watu wa nyumbani mwangu wote.
8 at du greb mig, gælder som Vidnesbyrd mod mig, min Magerhed vidner imod mig.
Umenikunjakunja, nalo limekuwa ushahidi; nako kukonda kwangu kumeongezeka sana na kushuhudia dhidi yangu.
9 Hans Vrede river og slider i mig, han skærer Tænder imod mig. Fjenderne hvæsser Blikket imod mig,
Mungu amenishambulia na kunirarua katika hasira yake, na kunisagia meno yake; adui yangu hunikazia macho yake makali.
10 de opspiler Gabet imod mig, slaar mig med Haan paa Kind og flokkes til Hobe omkring mig;
Watu wamenifumbulia vinywa vyao kunidhihaki; hunipiga shavuni mwangu kwa dharau, na kuungana pamoja dhidi yangu.
11 Gud gav mig hen i Niddingers Vold, i gudløses Hænder kasted han mig.
Mungu amenigeuzia kwa watu wabaya, na kunitupa katika makucha ya waovu.
12 Jeg leved i Fred, saa knuste han mig, han greb mig i Nakken og sønderslog mig; han stilled mig op som Skive,
Mambo yote yalikuwa mazuri, lakini alinivunjavunja; amenikamata shingo na kuniponda. Amenifanya mimi kuwa shabaha yake;
13 hans Pile flyver omkring mig, han borer i Nyrerne uden Skaansel, udgyder min Galde paa Jorden;
wapiga upinde wake wananizunguka. Bila huruma, huchoma figo zangu, na kuimwaga nyongo yangu juu ya nchi.
14 Revne paa Revne slaar han mig, stormer som Kriger imod mig.
Huniponda tena na tena; hunishambulia kama shujaa wa vita.
15 Over min Hud har jeg syet Sæk og boret mit Horn i Støvet;
“Nimejishonea nguo ya gunia juu ya mwili wangu nami nimekizika kipaji cha uso wangu kwenye vumbi.
16 mit Ansigt er rødt af Graad, mine Øjenlaag hyllet i Mørke,
Uso wangu umekuwa mwekundu kwa kulia, macho yangu yamepigwa na giza kuu.
17 skønt der ikke er Vold i min Haand, og skønt min Bøn er ren!
Hata hivyo mikono yangu haijafanya jeuri, na maombi yangu ni safi.
18 Dølg ikke, Jord, mit Blod, mit Skrig komme ikke til Hvile!
“Ee nchi, usiifunike damu yangu, nacho kilio changu kisinyamazishwe kamwe.
19 Alt nu er mit Vidne i Himlen, min Talsmand er i det høje;
Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni; wakili wangu yuko juu.
20 gid min Ven lod sig finde! Mit Øje vender sig med Taarer til Gud,
Mwombezi wangu ni rafiki yangu macho yangu yamwagapo machozi kwa Mungu;
21 at han skifter Ret mellem Manden og Gud, mellem Mennesket og hans Ven!
kwa niaba ya mtu anamsihi Mungu kama mtu anavyosihi kwa ajili ya rafiki yake.
22 Thi talte er de kommende Aar, jeg skal ud paa en Færd, jeg ej vender hjem fra.
“Ni miaka michache tu itapita kabla sijaenda safari ambayo sitarudi.