< Job 13 >
1 Se, mit Øje har skuet alt dette, mit Øre har hørt og mærket sig det;
“Macho yangu yameona hili lote, masikio yangu yamesikia na kulielewa.
2 hvad I ved, ved ogsaa jeg, jeg falder ikke igennem for jer.
Hayo mnayoyajua mimi pia ninayajua; mimi si mtu duni kuliko ninyi.
3 Men til den Almægtige vil jeg tale, med Gud er jeg sindet at gaa i Rette,
Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi na kuhojiana shauri langu na Mungu.
4 mens I smører paa med Løgn; usle Læger er I til Hobe.
Ninyi, hata hivyo, hunipakaza uongo; ninyi ni matabibu wasiofaa kitu, ninyi nyote!
5 Om I dog vilde tie stille, saa kunde I regnes for vise!
Laiti wote mngenyamaza kimya! Kwa kuwa kwenu hilo lingekuwa hekima.
6 Hør dog mit Klagemaal, mærk mine Læbers Anklage!
Sikieni sasa hoja yangu; sikilizeni kusihi kwangu.
7 Forsvarer I Gud med Uret, forsvarer I ham med Svig?
Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu? Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake?
8 Vil I tage Parti for ham, vil I træde i Skranken for Gud?
Mtamwonyesha upendeleo? Mtamtetea Mungu kwenye mashtaka yake?
9 Gaar det godt, naar han ransager eder, kan I narre ham, som man narrer et Menneske?
Je, ingekuwa vyema Mungu akiwahoji ninyi? Je, mngeweza kumdanganya kama ambavyo mngeweza kuwadanganya wanadamu?
10 Revse jer vil han alvorligt, om I lader som intet og dog er partiske.
Hakika angewakemea kama mkiwapendelea watu kwa siri.
11 Vil ikke hans Højhed skræmme jer og hans Rædsel falde paa eder?
Je, huo ukuu wake haungewatisha ninyi? Je, hofu yake isingewaangukia ninyi?
12 Eders Tankesprog bliver til Askesprog, som Skjolde af Ler eders Skjolde.
Maneno yenu ni mithali za majivu; utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.
13 Ti stille, at jeg kan tale, saa overgaa mig, hvad der vil!
“Nyamazeni kimya nipate kusema; kisha na yanipate yatakayonipata.
14 Jeg vil bære mit Kød i Tænderne og tage mit Liv i min Haand;
Kwa nini nijiweke mwenyewe kwenye hatari na kuyaweka maisha yangu mikononi mwangu?
15 se, han slaar mig ihjel, jeg har intet Haab, dog lægger jeg for ham min Færd.
Ingawa ataniua, bado nitamtumaini; hakika nitazitetea njia zangu mbele zake.
16 Det er i sig selv en Sejr for mig, thi en vanhellig vover sig ikke til ham!
Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu, kwa maana hakuna mtu asiyemcha Mungu atakayethubutu kuja mbele yake!
17 Hør nu ret paa mit Ord, lad mig tale for eders Ører!
Sikilizeni maneno yangu kwa makini; nayo masikio yenu yaingize kile nisemacho.
18 Se, til Rettergang er jeg rede, jeg ved, at Retten er min!
Sasa kwamba nimekwisha kutayarisha mambo yangu, ninajua mimi nitahesabiwa kuwa na haki.
19 Hvem kan vel trætte med mig? Da skulde jeg tie og opgive Aanden!
Je, kuna yeyote anayeweza kuleta mashtaka dhidi yangu? Kama ndivyo, nitanyamaza kimya na nife.
20 Kun for to Ting skaane du mig, saa kryber jeg ikke i Skjul for dig:
“Ee Mungu, unijalie tu mimi haya mambo mawili, nami sitajificha uso wako:
21 Din Haand maa du tage fra mig, din Rædsel skræmme mig ikke!
Ondoa mkono wako uwe mbali nami, nawe uache kuniogofya kwa hofu zako kuu.
22 Saa stævn mig, og jeg skal svare, eller jeg vil tale, og du skal svare!
Niite kwenye shauri nami nitajibu, au niache niseme, nawe upate kujibu.
23 Hvor stor er min Skyld og Synd? Lad mig vide min Brøde og Synd!
Ni makosa na dhambi ngapi nilizotenda? Nionyeshe kosa langu na dhambi yangu.
24 Hvi skjuler du dog dit Aasyn og regner mig for din Fjende?
Kwa nini kuuficha uso wako na kunihesabu mimi kuwa adui yako?
25 Vil du skræmme et henvejret Blad, forfølge et vissent Straa,
Je, utaliadhibu jani lipeperushwalo na upepo? Je, utayasaka makapi makavu?
26 at du skriver mig saa bitter en Dom og lader mig arve min Ungdoms Skyld,
Kwa kuwa unaandika mambo machungu dhidi yangu na kunifanya nizirithi dhambi za ujana wangu.
27 lægger mine Fødder i Blokken, vogter paa alle mine Veje, indkredser mine Fødders Trin!
Umeifunga miguu yangu kwenye pingu. Unazichunga kwa makini njia zangu zote kwa kutia alama kwenye nyayo za miguu yangu.
28 Og saa er han dog som smuldrende Trøske, som Klæder, der ædes op af Møl,
“Hivyo mwanadamu huangamia kama kitu kilichooza, kama vazi lililoliwa na nondo.