< Esajas 46 >

1 I Knæ er Bel, og Nebo er bøjet, deres Billeder gives til Dyr og Fæ, de læsses som Byrde paa trætte Dyr.
Beli huaguka chini, Nebo husujudu; miungu yao imebebwa na wanyama na mzigo wa mnyama. Sanamu hizi mlizobeba ni mzigo mzito kwa wanyama kuchoka.
2 De bøjes, i Knæ er de alle, de kan ikke frelse Byrden, og selv maa de vandre i Fangenskab.
Kwa pamoja wanashuka chini; hawawezi kuziokoa sanamu zao, na wao wenyewe wameenda uhamishoni.
3 Hør mig, du Jakobs Hus, al Resten af Israels Hus, løftet fra Moders Liv, baaret fra Moders Skød.
Nisikilizeni mimi, nyumba ya Yakobo, wote mliobaki kwenye nyumba ya Israeli mliochukuliwa na mimi kutoka kabla amjazaliwa, mlichukuliwa mkiwa tumboni.
4 Til Alderdommen er jeg den samme, jeg bærer jer, til Haarene graaner; ret som jeg bar, vil jeg bære, jeg, jeg vil bære og redde.
Hata kwa njie wazee Mimi ndiye, mpaka mmeshapata mvi nitawachukua. Nimewaumba ninyi na nitawabeba ninyi; Nitwachukua nyie na nitawakomboa nyie.
5 Med hvem vil I jævnstille, ligne mig, hvem vil I gøre til min Lige?
Je utanifananisha mimi na nani? na mimi nimefanana na nani, ili utulinganishe?
6 De øser Guld af Pung, Sølv faar de vejet paa Vægt, de lejer en Guldsmed, som gør det til en Gud, de bøjer sig, kaster sig ned;
Watu humwaga dhahabu kutoka kwenye mabegi yao na uzito wa fedha kwenye uzani. Humuajiri mfua dhahabu, na hutengeneza kuwa dhahabu; na huinama chini na kuzisuju.
7 de løfter den paa Skuldren og bærer den, sætter den paa Plads, og den staar, den rører sig ikke af Stedet; raaber de til den, svarer den ikke, den frelser dem ikke i Nød.
Wanazinyanyua juu ya mabega yao na kuzibeba; wanaziweka katika sehemu yake, na itasimama katika eneo lake na alitasogea kutoka pale, hulilia, lakini haiwezi kujibu wala kumuokoa yeyote kwenye matatizo.
8 Kom dette i Hu, lad jer raade, I frafaldne, læg jer det paa Sinde!
Tafakari kuhusu hivi vitu; katu usivipuuzie, enyi waasi!
9 Kom i Hu, hvad er forudsagt før, thi Gud er jeg, ellers ingen, ja Gud, der er ingen som jeg,
Tafakari kuhusu vitu vya awali, nyakati zile zilizopita, Maana mimi ni Mungu, na hakuna mwingine, Mimi ni Mungu na hakuna kama mimi.
10 der forud forkyndte Enden, tilforn, hvad der ikke var sket, som sagde: »Mit Raad staar fast, jeg fuldbyrder al min Vilje, «
Mimi ninatangaza mwisho kutoka mwanzo, na kabla ya kitu ambacho hakijatokea; Ninasema, ''Mpango wangu utatokea na nitafanya kama ninavyotamani.''
11 som fra Øst kalder Ørnen hid, fra det fjerne mit Raads Fuldbyrder. Jeg taled og lader det ske, udtænkte og fuldbyrder det.
Nitamuita ndege wa mawindo kutoka mashariki, Mtu ambaye ni chaguo langu kutoka nchi ya mbali; Ndio nimesema; na pia nitayatimiza haya, nimekusudia, na pia nitafanya hivyo.
12 Hør paa mig, I modløse, som tror, at Retten er fjern:
Nisikilize mimi, enyi watu makaidi, ambao mko mbali na kutenda mema.
13 Jeg bringer min Ret, den er ej fjern, min Frelse tøver ikke; jeg giver Frelse paa Zion, min Herlighed giver jeg Israel.
Ninaileta haki yangu karibu; na wala sio mbali, na wokovu wangu hausubiri; na nitatoa wokovu wangu kwa Sayuni na uzuri wangu kwa Israeli.

< Esajas 46 >