< Esajas 3 >

1 Thi se, Herren, Hærskarers HERRE, fratager Jerusalem og Juda støtte og Stav, hver Støtte af Brød og hver støtte af vand:
Ona, Bwana, Yahwe wa majeshi, anakaribia kuwachukua kutoka Yerusalema na Yudawasaidizi na wafanyakazi: wasambazaji wote wa mikate, wasambazaji wote wa maji;
2 Helt og Krigsmand, Dommer og Profet, Spaamand og Ældste,
mtu mwenye nguvu, shuja, hakimu, nabii, dalili za msomaji, na mzee;
3 Halvhundredfører og Stormand, Raadsherre og Haandværksmester og den, der er kyndig i Trolddom.
naodha wa hamsini, raia husika, mshauri, fundi mtarajiwa, na mchawi stadi.
4 Jeg giver dem Drenge til Øverster, Drengekaadhed skal herske over dem.
Nitamuweka kijana tu kama kiongozi wenu, kijana atawaongoza wao.
5 I Folket undertrykker den ene den anden, hver sin Næste; Dreng sætter sig op imod Olding, Usling mod Hædersmand.
Watu watanyanyasika, kila mmoja mmoja na kila mmoja na jirani yake; watoto watawatusi wazee, na mivutano itawapa changamoto waheshimiwa.
6 Naar da en Mand tager fat paa en anden i hans Fædrenehus og siger: »Du har en Kappe, du skal være vor Hersker, under dig skal dette faldefærdige Rige staa!«
Mwanaume atamshikilia ndugu yake katika nyumba ya baba yake na kusema, 'Unayo kanzu; uwe kiongozi wetu, na uharibifu huu uwe mikononi mwako.
7 saa svarer han paa hin Dag: »Jeg vil ikke være Saarlæge! Jeg har hverken Brød eller Klæder i Huset, gør ikke mig til Folkets Overhoved!«
'Siku hiyo atapaza sauti na kusema, 'hautakuwa mganga; sina mkate wala mavazi. Hatanifanya kuwa kiongozi wa watu.
8 Thi Jerusalem snubler, og Juda falder, fordi de med Tunge og Gerning er mod HERREN i Trods mod hans Herligheds Øjne.
Kwa maana Yerusalemu kuna mashaka, na Yuda imeanguka, kwa sababu mazungumzo yao na matendo yao yako kinyume na Yahwe, wanayapinga macho ya utukufu wake.
9 Deres Ansigtsudtryk vidner imod dem; de kundgør deres Synd som Sodoma, dølger intet. Ve deres Sjæl, de styrted sig selv i Vaade.
Angalia nyuso zao zinashudia kinyume nao; na watasema dhambi zao kama Sodoma; hawatazificha, Ole wao! Maana wanakamilisha janga lao wenyewe.
10 Salige de retfærdige, dem gaar det godt, deres Gerningers Frugt skal de nyde;
Mwambie mtu mwenye haki kwamba itakuwa vizuri, maana watakula matunda ya matendo yao.
11 ve den gudløse, ham gaar det ilde; han faar, som hans Hænder har gjort.
Ole kwa wakosaji! itakuwa vibaya kwa yeye, maana malipo ya mikono yake yatafanyika kwake pia.
12 Mit Folk har en Dreng ved Styret, og over det hersker Kvinder. Dine Ledere, mit Folk, leder vild, gør Vejen, du vandrer, vildsom.
Watu wangu-watoto wangu wanawakandamiza, na wanawake wanawaongoza wao. Watu wangu, wale wanaowaongoza wanawaongoza vibaya na kuchanganya muelekeo wa nja yenu.
13 Til Rettergang er HERREN traadt frem, han staar og vil dømme sit Folk.
Yahwe simama juu ya mashitaka; yeye amesimama kuwashaki watu.
14 HERREN møder til Doms med de Ældste i sit Folk og dets Fyrster: »Det er jer, som gnaved Vingaarden af, I har Rov fra den arme til Huse.
Yahwe atakuja na hukumu juu ya wazee na watu wao na viongozi wao: ''Umeharibu shamba; nyara kutoka kwa masikni ziko kwenye nyumba zako.
15 Hvor kan I træde paa mit Folk og male de arme sønder?« saa lyder det fra Herren, Hærskarers HERRE.
Kwa nini unaponda watu wangu na kusaga nyuso za masikini?'' Hili ni tamko Bwana, Yahwe wa majeshi.
16 HERREN siger: Eftersom Zions Døtre bryster sig og gaar med knejsende Nakke og kælne Blikke, gaar med trippende Gang og med raslende Ankelkæder —
Yahwe anasema hivyo kwa sababu mabinti wa Sayuni wanajigamba, wanatembea pekee yao vichwa vyao vikiwa juu, na kutaniana kwa macho yao, na kutakata kokote waendako na kuamua upatu kwa miguu yao,
17 gør Herren Issen skaldet paa Zions Døtre og blotter deres Tindingers Lokker.
Kwa hiyo Bwana atafanya magonjwa ya mapele kwenye kishwa cha mabinti wa Sayuni, na Yahwe atawafanya upaa.
18 Paa hin Dag afriver Herren al deres Pynt: Ankelringe, Pandebaand, Halvmaaner,
Siku hiyo Bwana ataondoa mapambo mazuri yaliyoko kwenye kifundo cha miguu, bendi za kichwa chao, kaya zao; bangili za masikio,
19 Perler, Armbaand, Flor,
bangili za miguu na taji zao;
20 Hovedsmykker, Ankelkæder, Bælter, Lugtedaaser, Trylleringe,
kitambaa cha kichwa, chaini za miguu, mafurungu na maboksi ya marashi na na haiba ya bahati.
21 Fingerringe, Næseringe,
Atatoa bangili na kipini kwenye pua;
22 Festklæder, Underdragter, Sjaler, Tasker,
sherehe za mavazi, mapazia na mabegi ya mkononi;
23 Spejle, Lin, Hovedbaand og Slør.
vioo vya mkononi, sanda nzuri, vilemba vya kichwa na taji.
24 For Vellugt kommer der Stank, i Stedet for Bælte Reb, for Fletninger skaldet Isse, for Stadsklæder Sæk om Hofte, for Skønhedsmærke Brændemærke.
Badala ya manukato mazuri kutakuwa na arufu mbaya; na badala ya ukunda, kamba, kufunika kwa vazi la gunia; kitia alama mwilini kwa moto badala ya uzuri. wanaume wao wataanguka kwa upanga,
25 Dine Mænd skal falde for Sværd, dit unge Mandskab i Strid.
na wanaume wenye nguvu wataanguka kwenye vita.
26 Hendes Porte skal sukke og klage og hun sidde ensom paa Jorden.
Lango la Yerusalemu litaomboleza na kuomboleza; na atakuwa peke yake amekaa chini ya ardhi.

< Esajas 3 >