< Esajas 20 >

1 I det Aar Tartan kom til Asdod, dengang Assyrerkongen Sargon sendte ham og han angreb Asdod og indtog det,
Katika mwaka ule ambao jemadari mkuu alitumwa na Mfalme Sargoni wa Ashuru, naye akaja mpaka Ashdodi, akaushambulia na kuuteka,
2 paa den Tid talede HERREN ved Esajas, Amoz's Søn, saaledes: »Gaa hen og løs Sørgeklædet af dine Lænder og drag Skoene af dine Fødder!« Og han gjorde saaledes og gik nøgen og barfodet.
wakati ule Bwana alisema kwa kinywa cha Isaya mwana wa Amozi. Akamwambia, “Vua nguo ya gunia kutoka mwilini mwako na viatu kutoka miguuni mwako.” Naye akafanya hivyo, akatembea huku na huko uchi, bila viatu.
3 Saa sagde HERREN: »Som min Tjener Esajas i trende Aar har vandret nøgen og barfodet som Tegn og Varsel mod Ægypten og Ætiopien,
Kisha Bwana akasema, “Kama vile mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na bila viatu kwa miaka mitatu, kama ishara na dalili mbaya dhidi ya nchi ya Misri na Kushi,
4 saaledes skal Assyrerkongen slæbe fangne Ægyptere og bortførte Ætiopere med sig, unge og gamle, nøgne og barfodede, med blottet Bag til Skændsel for Ægypten.«
vivyo hivyo mfalme wa Ashuru atawaongoza mateka wa Wamisri, na watu wa uhamisho wa Kushi, uchi na bila viatu, vijana hata wazee, wakiwa matako wazi, kwa aibu ya Wamisri.
5 Da skal de forfærdes og blues over Ætiopien, som de saa hen til, og over Ægypten, som var deres Stolthed.
Wale waliotegemea Kushi na kujivunia Misri wataogopa na kuaibika.
6 Og de, som bor paa denne Strand, skal paa hin Dag sige: »Se, saaledes gik det med den, vi saa hen til, til hvem vi tyede om Hjælp for at frelses fra Assyrerkongen; hvor skal da vi kunne undslippe!«
Katika siku ile watu wanaoishi katika pwani hii watasema, ‘Tazama lililowapata wale tuliowategemea, wale tuliowakimbilia kwa msaada na wokovu kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru! Tutawezaje basi kupona?’”

< Esajas 20 >