< Esajas 2 >
1 Dette er, hvad Esajas, Amoz's Søn, skuede om Jerusalem:
Vitu ambavyo Isaya mtoto Amozi alivijua katika maono, kuhusu Yuda na Yerusalemu.
2 Det skal ske i de sidste Dage, at HERRENS Huses Bjerg, grundfæstet paa Bjergenes Top, skal løfte sig op over Højene. Did skal Folkene strømme
Na itakuwa katika siku za mwisho, ule mlima wa nyumba ya Yahwe itaanzishwa kama mlima mrefu zaidi, na utanyanyuliwa juu ya vilima, na mataifa yote yatakusanyika pale.
3 og talrige Folkeslag vandre: »Kom, lad os drage til HERRENS Bjerg, til Jakobs Guds Hus; han skal lære os sine Veje, saa vi kan gaa paa hans Stier; thi fra Zion udgaar Aabenbaring, fra Jerusalem HERRENS Ord.«
Watu wengi watakuja na kusema, ''Njooni, twendeni juu ya mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo, kwa hiyo anaweza kutufundisha baadhi ya njia zake na tunaweza kutembea katika njia zake.'' Nje ya Sayuni itaenda sheria na neno la Yahwe litatoka Yerualemu.
4 Da dømmer han Folk imellem, skifter Ret mellem talrige Folkeslag; deres Sværd skal de smede til Plovjern, deres Spyd til Vingaardsknive; Folk skal ej løfte Sværd mod Folk, ej øve sig i Vaabenfærd mer.
Atahukumu kati ya mataifa na atatoa maamuzi kwa watu wote; watayapiga nyungo mapanga yao kuwa majembe, na mikiku yao kama ya kukatia ndoano; taifa halitanyanyua upanga juu ya taifa lingine, na wala hawata jiandaa kwa vita tena.
5 Kom, Jakobs Hus, lad os vandre i HERRENS Lys!
Nyumba ya Yakobo, njooni, na tutembee katika mwanga wa Yahwe.
6 Thi du forskød dit Folk, Jakobs Hus; de er fulde af Østens Væsen og spaar, som var de Filistre, giver Folk fra Udlandet Haandslag.
Kwa maana mmewatekeleza watu wenu, nyumba ya Yakobo, wamejazwa na desturi kutoka mashariki na dalili kutokea kama mfilisti, na watasalimiana kwa mikono na wana wa wageni.
7 Deres Land er fuldt af Sølv og Guld, talløse er deres Skatte; deres Land er fuldt af Heste, talløse er deres Vogne;
Nchi yao imejaa fedha na dhahabu, na hakuna mipaka katika utajiri wao; nchi yao pia imejaa farasi, wala hakuna mipika ya magari.
8 deres Land er fuldt af Afguder, de tilbeder Værk af deres Hænder, Ting, deres Fingre har lavet.
Nchi yao pia imejaa sanamu; wanaabu utengenezaji wa mikono yao wenyewe, vitu aambavyo vidole vyao vimetengeneza.
9 Men bøjes skal Mennesket, Manden ydmyges, tilgiv dem ikke!
Watu watainama chini, na kila mmoja atanguka chini; hivyo basi msiwanyanyue juu.
10 Gaa ind i Klippen, skjul dig i Støvet for HERRENS Rædsel, hans Højheds Herlighed!
Nendeni maeneo yenye miamba na mjifiche kwenye aridhi kwa hofu ya Yahwe na kwa utukufu wa enzi yake.
11 Sine stolte Øjne skal Mennesket slaa ned, Mændenes Hovmod skal bøjes, og HERREN alene være høj paa hin Dag.
Mtu anaye tazama kwa kujivuna atashushw chini, na kiburi cha watu kitashushwa chini, na Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
12 Thi en Dag har Hærskarers HERRE mod alt det høje og knejsende, mod alt ophøjet og stolt,
Maana kutakuwa na siku ya Yahwe wa majeshi juu ya yeyote anayejigamba na kujiinua juu, na dhidi ya yeyote mwenye kiburi na atashushwa chini-
13 med alle Libanons Cedre, de knejsende høje, og alle Basans Ege,
na dhidi ya mierezi ya Lebanoni iliyo juu na kupandishwa juu, na dhidi ya mialoni ya Bashani.
14 mod alle knejsende Bjerge og alle høje Fjelde,
Siku hiyo ya Yahwe wa majeshi itakuwa dhidi ya milima yote mirefu, na dhidi ya vilima vyote vilivyonyanyuliwa juu,
15 mod alle stolte Taarne og alle stejle Mure,
na dhidi ya minara mirefu, na dhidi ya kila ukutaunaojitokeza,
16 mod alle Tarsisskibe og hver en kostelig Ladning.
na dhidi ya merikebu zote za Tarshishi, na dhidi ya vyombo vizuri vya meli.
17 Da skal Menneskets Stolthed bøjes, Mændenes Hovmod ydmyges, og HERREN alene være høj paa hin Dag.
Kiburi cha mwanaume kitashushwa chini, na kiburi cha wanaume kitaanguka; Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
18 Afguderne skal helt forsvinde.
Sanamu zote zitaondolewa.
19 Og man skal gaa ind i Klippehuler og Jordhuller for HERRENS Rædsel, hans Højheds Herlighed naar han staar op for at forfærde Jorden.
Wanaume wataingia kwenye mapango ya miamba na mashimo ya aridhi, kwa hofu ya Yahwe, na kwa utukufu wa enzi yake, atakapo nyanyuka na kuitisha nchi.
20 Paa hin Dag skal Mennesket slænge sine Guder af Sølv og Guld, som han lavede sig for at tilbede dem, hen til Muldvarpe og Flagermus
Siku hiyo watu watatupa sanamu zao za fedha na dhahabu ambazo wametengeneza wenyewe kwa ajili ya kuabudia - watazitupa mbali kwa fuko na popo.
21 for at gaa ind i Klipperevner og Fjeldkløfter for HERRENS Rædsel, hans Højheds Herlighed, naar han staar op for at forfærde Jorden.
Watu wataingia kwenye miamba kupitia mwanya itakuwa miamba chakavu, kwa hofu ya Yahwe na utukufu wa enzi yake,
22 Slaa ikke mer eders Lid til Mennesker, i hvis Næse der kun er flygtig Aande, thi hvad er de at regne for?
usimwaminia mtu, ambae pumzi yake inatokea katika pua yake, ni kwa kiasi gan?