< Hebræerne 4 >

1 Lader os derfor, da der endnu staar en Forjættelse tilbage om at indgaa til hans Hvile, vogte os for, at nogen af eder skal mene, at han er kommen for silde.
Mungu alituahidia kwamba tutaweza kupata pumziko hilo alilosema. Basi, na tuogope ili yeyote kati yenu asije akashindwa kupata pumziko hilo.
2 Thi ogsaa os er der forkyndt godt Budskab ligesom hine; men Ordet, som de hørte, hjalp ikke dem, fordi det ikke var forenet med Troen hos dem, som hørte det.
Maana Habari Njema imehubiriwa kwetu kama vile ilivyohubiriwa kwa hao watu wa kale. Lakini ujumbe huo haukuwafaa chochote, maana waliusikia lakini hawakuupokea kwa imani.
3 Thi vi gaa ind til Hvilen, vi, som ere komne til Troen, efter hvad han har sagt: „Saa svor jeg i min Vrede: Sandelig, de skulle ikke gaa ind til min Hvile,” omendskønt Gerningerne vare fuldbragte fra Verdens Grundlæggelse.
Basi, sisi tunaoamini tunapata pumziko hilo aliloahidi Mungu. Kama alivyosema: “Nilikasirika, nikaapa: Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko.” Mungu alisema hayo ingawa kazi yake ilikuwa imekwisha malizika tangu alipoumba ulimwengu.
4 Thi han har et Sted sagt om den syvende Dag saaledes: „Og Gud hvilede paa den syvende Dag fra alle sine Gerninger.”
Maana Maandiko yasema mahali fulani kuhusu siku ya saba: “Mungu alipumzika siku ya saba, akaacha kazi zake zote.”
5 Og fremdeles paa dette Sted: „Sandelig, de skulle ikke gaa ind til min Hvile.”
Tena jambo hili lasemwa pia: “Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko.”
6 Efterdi der altsaa staar tilbage, at nogle skulle gaa ind til den, og de, hvem der først blev forkyndt godt Budskab, ikke gik ind for deres Genstridigheds Skyld:
Wale waliotangulia kuhubiriwa Habari Njema hawakupata pumziko hilo kwa sababu hawakuamini. Wapo, basi, wengine ambao wangejaliwa kulipata.
7 Saa bestemmer han atter en Dag: „I Dag,” siger han ved David lang Tid efter, (som ovenfor sagt): „I Dag, naar I høre hans Røst, da forhærder ikke eders Hjerter!”
Jambo hili ni wazi, kwani Mungu aliweka siku nyingine ambayo inaitwa “Leo”. Miaka mingi baadaye Mungu alisema juu ya hiyo siku kwa maneno ya Daudi katika Maandiko yaliyokwisha tajwa: “Kama mkisikia sauti ya Mungu leo, msiifanye mioyo yenu kuwa migumu.”
8 Thi dersom Josva havde skaffet dem Hvile, da Vilde han ikke tale om en anden Dag siden efter.
Kama Yoshua angaliwapa watu hao hilo pumziko, Mungu hangalisema baadaye juu ya siku nyingine.
9 Altsaa er der en Sabbatshvile tilbage for Guds Folk.
Kwa hiyo, basi, bado lipo pumziko kwa watu wa Mungu kama kule kupumzika kwake Mungu siku ya saba.
10 Thi den, som er gaaet ind til hans Hvile, Ogsaa han har faaet Hvile fra sine Gerninger, ligesom Gud fra sine.
Maana, kila anayepata pumziko aliloahidi Mungu atapumzika baada ya kazi yake kama vile pia Mungu alivyopumzika baada ya yake.
11 Lader os derfor gøre os Flid for at gaa ind til hin Hvile, for at ikke nogen skal falde ved den samme Genstridighed, som hine gave Eksempel paa.
Basi, tujitahidi kupata pumziko hilo, ili asiwepo yeyote miongoni mwenu atakayeshindwa, kama walivyofanya wao kwa sababu ya ukosefu wao wa imani.
12 Thi Guds Ord er levende og kraftigt og skarpere end noget tveægget Sværd og trænger igennem, indtil det deler Sjæl og Aand, Ledemod saavel som Marv, og dømmer over Hjertets Tanker og Raad.
Neno la Mungu ni hai na lina nguvu; ni kali zaidi kuliko upanga wenye makali kuwili. Hukata kabisa mpaka mahali ambapo moyo na roho hukutana, mpaka pale vikutanapo viungo vya mwili na mafuta. Neno hilo huchambua nia na fikira za mioyo ya watu.
13 Og ingen Skabning er usynlig for hans Aasyn; men alle Ting ere nøgne og udspændte for hans Øjne, hvem vi staa til Regnskab.
Hakuna kiumbe chochote kilichofichika mbele ya Mungu; kila kitu kimefunuliwa wazi mbele ya macho yake. Kwake, sisi sote tutapaswa kutoa hoja ya matendo yetu.
14 Efterdi vi altsaa have en stor Ypperstepræst, som er gaaet igennem Himlene, Jesus, Guds Søn, da lader os holde fast ved Bekendelsen!
Basi, tunapaswa kuzingatia kwa uthabiti imani tunayoiungama. Maana tunaye Kuhani Mkuu aliyeingia mpaka kwa Mungu mwenyewe—Yesu, Mwana wa Mungu.
15 Thi vi have ikke en Ypperstepræst, som ej kan have Medlidenhed med vore Skrøbeligheder, men en saadan, som er fristet i alle Ting i Lighed med os, dog uden Synd.
Huyu Kuhani Mkuu wetu si mmoja ambaye hawezi kutuunga mkono katika unyonge wetu, ila ni Kuhani Mkuu ambaye alijaribiwa kama sisi kwa kila namna lakini hakutenda dhambi.
16 Derfor lader os træde frem med Frimodighed for Naadens Trone, for at vi kunne faa Barmhjertighed og finde Naade til betimelig Hjælp.
Basi, na tukikaribie bila hofu kiti cha enzi cha Mungu, palipo na neema, ili tukajipatie huruma na neema ya kutusaidia wakati wa lazima.

< Hebræerne 4 >