< Galaterne 6 >
1 Brødre! om ogsaa et Menneske bliver overrasket af nogen Forsyndelse, da hjælper en saadan til Rette, I aandelige! med Sagtmodigheds Aand, og se til dig selv, at ikke ogsaa du bliver fristet!
Ndugu, ikiwa mtu amekamatwa katika uovu, ninyi mlio wa kiroho, mnawiwa kumrejesha huyo ndugu katika roho ya upole. Huku mkijiangalia wenyewe ili msijaribiwe.
2 Bærer hverandres Byrder og opfylder saaledes Kristi Lov!
Mchukuliane mizigo, na kwa hiyo mtaikamilisha sheria ya Kristo.
3 Thi naar nogen mener, at han er noget, skønt han intet er, da bedrager han sig selv.
Ikiwa mtu yeyote anajiona ni bora wakati si kitu, anajidanganya mwenyewe.
4 Men hver prøve sin egen Gerning, og da skal han have sin Ros i Forhold til sig selv alene, og ikke til Næsten;
Kila mmoja na aipime kazi yake. Kisha atakuwa na kitu mwenyewe peke yake cha kujisifu, bila kujilinganisha mwenyewe na mtu yeyote.
5 thi hver skal bære sin egen Byrde.
Maana kila mtu atachukua mzigo wake mwenyewe.
6 Men den, som undervises i Ordet, skal dele alt godt med den, som underviser ham.
Mtu aliyefundishwa neno lazima amshirikishe mazuri yote mwalimu wake.
7 Farer ikke vild; Gud lader sig ikke spotte; thi hvad et Menneske saar, det skal han ogsaa høste.
Msidanganyike. Mungu hadhihakiwi. Kila apandacho mtu, ndicho atakachovuna pia.
8 Thi den, som saar i sit Kød, skal høste Fordærvelse af Kødet; men den, som saar i Aanden, skal høste evigt Liv af Aanden. (aiōnios )
Kila apandaye mbegu katika asili yake ya dhambi atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye mbegu katika Roho, atavuna uzima wa milele kutoka kwa Roho. (aiōnios )
9 Men naar vi gøre det gode, da lader os ikke blive trætte; thi i sin Tid skulle vi høste, saafremt vi ikke give tabt.
Tusichoke katika kutenda mema, maana kwa wakati wake tutavuna ikiwa hatutakata tamaa.
10 Saa lader os altsaa, efter som vi have Lejlighed, gøre det gode imod alle, men mest imod Troens egne!
Hivyo basi, wakati tutakapokuwa na nafasi, tutende mema kwa kila mmoja. Tutende mema zaidi hasa kwa walio ndani ya imani.
11 Ser nu, med hvor store Bogstaver jeg skriver til eder med min egen Haand!
Angalieni ukubwa wa barua nilizowaandikia kwa mkono wangu mwenyewe.
12 Alle de, som ville tage sig godt ud i Kødet, de tvinge eder til at lade eder omskære, alene for at de ikke skulle forfølges for Kristi Kors's Skyld.
Wale wanaotaka kufanya mema kwa mtazamo wa mwili ndiyo wenye kuwalazimisha mtahiriwe. Wanafanya hivyo kwa sababu wasiingie kwenye mateso ya msalaba wa Kristo.
13 Thi ikke engang de, som lade sig omskære, holde selv Loven; men de ville, at I skulle lade eder omskære, for at de kunne rose sig af eders Kød.
Maana hata hao waliotahiriwa wenyewe hawaishiki sheria. Badala yake wanataka ninyi mtahiriwe ili waweze kujivunia miili yenu.
14 Men det være langt fra mig at rose mig uden af vor Herres Jesu Kristi Kors, ved hvem Verden er korsfæstet for mig, og jeg for Verden.
Isitokee nikajivuna isipokuwa kwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo. Ni katika yeye ulimwengu umesulubiwa kwangu na mimi katika ulimwengu.
15 Thi hverken Omskærelse eller Forhud er noget, men en ny Skabning.
Kwa kuwa haijalishi kutahiriwa au kutokutahiriwa kuwa ni kitu. Badala yake uzao mpya ni muhimu.
16 Og saa mange, som vandre efter denne Rettesnor, over dem være Fred og Barmhjertighed, og over Guds Israel!
Kwa wote wenye kuishi kwa kanuni hii, wawe na amani na rehema iwe juu yao wote, na juu ya Israel ya Mungu.
17 Herefter volde ingen mig Besvær; thi jeg bærer Jesu Mærketegn paa mit Legeme.
Tangu sasa mtu yeyote asinitaabishe, maana nimebeba chapa za Yesu mwilini mwangu.
18 Vor Herres Jesu Kristi Naade være med eders Aand, Brødre! Amen.
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe na roho zenu, ndugu. Amina.