< Ezekiel 28 >
1 HERRENS Ord kom til mig saaledes:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Menneskesøn, sig til Tyrus's Fyrste: Saa siger den Herre HERREN: Fordi dit Hjerte hovmoder sig og du siger: »Jeg er en Gud, paa et Gudesæde sidder jeg midt ude i Havet!« skønt du er et Menneske og ingen Gud, og fordi du føler dig i Hjertet som en Gud;
“Mwanadamu, waambie watawala wa Tiro, 'Bwana Yahwe asema hivi: Moyo wako unakiburi! Umesema, “mimi ni mungu! Nitakaa kwenye kiti cha miungu katika moyo wa bahari!” Ingawa wewe ni mtu na sio mungu, unaufanya moyo wako kama moyo wa mungu,
3 se, du er visere end Daniel, ingen Vismand maaler sig med dig;
unafikiri kwamba unahekima kuliko Danieli, na kwamba hakuna siri ikushangazayo!
4 ved din Visdom og indsigt vandt du dig Rigdom og samlede dig Guld og Sølv i dine Skatkamre;
Umejitajirisha mwenyewe pamoja na hekima na ujuzi, na kujipatia dhahabu na fedha katika hazina yako!
5 ved dit store Handelssnilde øgede du din Rigdom, saa dit Hjerte hovmodede sig over den —
Kwa hekima kubwa na kwa biashara yako, umeongeza utajiri wako, hivyo moyo wako una kiburi kwa sababu ya utajiri yako.
6 derfor, saa siger den Herre HERREN: Fordi du i dit Hjerte føler dig som en Gud,
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu umetengeza moyo wako kama moyo wa mungu,
7 se, derfor bringer jeg fremmede over dig, de grummeste Folk, og de skal drage deres Sværd mod din skønne Visdom og vanhellige din Glans.
kwa hiyo nitaleta wageni juu yako, watu wa kuogofya kutoka mataifa mengine. Wataleta panga zao juu hekima ya uzuri wako, na watauchafua uzuri wako.
8 De skal styrte dig i Graven, og du skal dø de ihjelslagnes Død i Havets Dyb.
Watakupeleka chini hata kwenye shimo, na utakufa kifo cha waliokufa katika Bahari.
9 Mon du da Ansigt til Ansigt med dem, der dræber dig, vil sige: »Jeg er en Gud!« du, som i deres Haand, der slaar dig ihjel, er et Menneske og ikke en Gud.
Je! kweli utasema, “Mimi ni mungu” mbele ya uso wa yule akuuaye? Wewe ni mwanadamu na sio Mungu, na utakuwa kwenye mkono wa yule akujeruaye.
10 De uomskaarnes Død skal du dø for fremmedes Haand, saa sandt jeg har talet, lyder det fra den Herre HERREN.
Utakufa kifo cha asiyetahiriwa kwa mkono wa wageni kwa kuwa nimesema hili-asema Bwana Yahwe.
11 Og HERRENS Ord kom til mig saaledes:
Neno la Yahwe likanijia, kusema,
12 Menneskesøn, istem en Klagesang over Kongen af Tyrus og sig til ham: Saa siger den Herre HERREN: Du var Indsigtens Segl, fuld af Visdom og fuldkommen i Skønhed.
“Mwanadamu, inua maombolezo kwa ajili ya mfalme wa Tiro na umwambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Uliumbwa mkamilifu, umejaa hekima na ukamilifu wa hekima.
13 I Eden, Guds Have, var du; alle Slags Ædelsten var din Klædning, Karneol, Topas, Jaspis, Krysolit, Sjoham, Onyks, Safir, Rubin, Smaragd og Guld var paa dig i indfattet og indlagt Arbejde; det var til Rede, den Dag du skabtes.
Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu. Kila jiwe la thamani lilikufunika: akiki, yakuti manjano, almasi, zabarajadi, shohamu, yaspi, yakuti samawi, zumaridi, baharamani, na dhahabu. Ilikuwa siku uliyokuwa umeiumba ambayo walikuwa wameiandaa.
14 Du var en salvet, skærmende Kerub; jeg gjorde dig dertil; paa det hellige Gudebjerg var du; du vandrede imellem Guds Sønner.
Nimekuweka juu ya mlima mtakatifu wa Mungu kama kerubi nimekutia mafuta kwa ajili ya kumlinda mwanadamu. Ulikuwa kati ya mawe ya moto ulipozunguka.
15 Fuldkommen var du i din Færd, fra den Dag du skabtes, indtil der fandtes Brøde hos dig.
Ulikuwa mwadilifu kwenye njia zako kutoka siku ulipoumbwa hadi uovu ulipoonekana ndani yako.
16 Ved din megen Handel fyldte du dit Indre med Uret og forbrød dig; da vanhelligede jeg dig og viste dig bort fra Gudebjerget og tilintetgjorde dig, skærmende Kerub, saa du ikke blev mellem Guds Sønner.
Kupitia biashara yako kubwa uliyokuwa umeijaza kwa udhalimu, hivyo umetenda dhambi. Hivyo nimekutupilia mbali ya mlima wa Mungu, kama mmoja wao wa aliyekuwa ameninajisi, na nimekuharibu, kerubi mlinzi, na kukutoa miongono mwa mawe ya moto.
17 Dit Hjerte hovmodede sig over din Skønhed, du satte din Visdom til paa Grund af din Glans. Jeg, slængte dig til Jorden og overgav dig til Konger, at de skulde nyde Skuet af dig.
Moyo wako ulikuwa na kiburi kwa uzuri wako; umeiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako. Nimekupeleka chini kwenye dunia. Nimekuweka mbele ya wafalme ili waweze kukuona.
18 Med dine mange Misgerninger, ved din uredelige Handel vanhelligede du dine Helligdomme. Da lod jeg Ild bryde løs i din Midte, og den fortærede dig; jeg gjorde dig til Støv paa Jorden for alle, som saa dig.
Kwa sababu ya wingi wa dhambi zako na biashara za udanganyifu, umepanajisi mahali pako patakatifu. Basi nimetengeneza moto kutoka ndani yako; utakula wewe. Nitakugeuza kwenye majivu juu ya dunia katika macho ya wote wakutazamao.
19 Alle blandt Folkeslagene, der kendte dig, stivnede af Skræk over dig; du blev en Rædsel, og borte er du for evigt.
Wale wote waliokujua miongoni mwa watu watakao kutetemekewa; watakuwa watu wa kutisha, na hutakuwepo tena milele.”'
20 HERRENS Ord kom til mig saaledes:
Kisha neno la Bwana Yahwe likanijia, kusema,
21 Menneskesøn, vend dit Ansigt mod Zidon og profeter imod det
“Mwanadamu, elekeza uso wako Sidoni na toa utabiri juu yake.
22 og sig: Saa siger den Herre HERREN: Se, jeg kommer over dig, Zidon, og herliggør mig paa dig; og du skal kende, at jeg er HERREN, naar jeg holder Dom over dig og viser min Hellighed paa dig.
Sema, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu yako, Sidoni! Kwa kuwa nitatukuzwa kati yako hivyo watu wako watajua kwamba mimi ni Yahwe wakati nitakapokuwa nimezitekeleza hukumu ndani yako. Nitaonyesha utakatifu ndani yako.
23 Jeg sender Pest over dig og Blod i dine Gader; ihjelslagne Mænd skal segne i din Midte for Sværd, der er rettet imod dig fra alle Sider; og du skal kende, at jeg er HERREN.
Nitapeleka tauni juu yako na tazama mitaa yako, na walioua wataanguka kati yako. Wakati upanga utakapokuja juu yao kutoka pande zote, kisha mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
24 Fremtidig skal der ikke være nogen Tidsel til at saare eller Torn til at stikke Israels Hus blandt alle dets Naboer, som nu haaner dem; og de skal kende, at jeg er den Herre HERREN.
Kisha hakutakuwa na mtemba uchomao na maumivu ya miba kwa ajili ya nyumba ya Israeli kutoka wale wote waliomzunguka wanaowadharau watu wake, hivyo watajua kwamba mimi ni Bwana Yahwe!'
25 Saa siger den Herre HERREN: Naar jeg samler Israels Slægt fra de Folkeslag, de er spredt iblandt, vil jeg hellige mig paa dem for Folkenes Øjne, og de skal bo i deres Land, som jeg gav min Tjener Jakob;
Bwana Yahwe asema hivi, Nitakapowakusanya nyumba ya Israeli kutoka miongni mwa watu waliokuwa wamekusanyika, na wakati nilipokuwa nimewatenga miongoni mwao, hivyo mataifa aanaweza kuona, kisha watafanya nyumba zao katika nchi nitakayo mpatia mtumishi wangu Yakobo.
26 de skal bo trygt deri, bygge Huse og plante Vingaarde, ja bo trygt, medens jeg holder Dom over alle dem, der haaner dem fra alle Sider; og de skal kende, at jeg er HERREN deres Gud.
Kisha wataishi salama ndani yake na kujenga nyumba, kulima mizabibu, na kuishi salama wakati nitakapo zitekeleza hukumu juu ya wote wale ambao sasa wanawadharau kutoka sehemu zote; basi watajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao!”'