< 5 Mosebog 18 >
1 Levitpræsterne, hele Levis Stamme, skal ikke have arvelod og Del sammen med det øvrige Israel, men leve af HERRENS Ildofre og af det, der tilfalder ham.
Makuhani, ambao ni Walawi, na makabila yote ya Lawi, hayatakuwa na mgao wala urithi pamoja na Israel; wanapaswa kula dhabihu ya Yahwe iliyotengenezwa kwa moto kama urithi wao.
2 Han maa ikke eje nogen Arvelod blandt sine Brødre; HERREN er hans Arvelod, som han lovede ham.
Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zao; Yahwe ni urithi wao, kama alivyosema nao.
3 Og dette skal være den Ret, Præsterne har Krav paa hos Folket, hos dem, der slagter Ofre, være sig Okser eller Smaakvæg: Han skal give Præsten Boven, Kæberne og Kallunet.
Hii ni sababu ya makuhani kutoka kwa watu, kutoka kwa wale wanaotoa dhabihu, kama itakuwa ng'ombe au kondoo: wanapaswa kutoa kwa kuhani bega, mashavu mawili, na sehemu za ndani.
4 Det første af dit Korn, din Most og din Olie og den første Uld af dine Faar skal du give ham.
Mazao ya kwanza ya nafaka zako, mvinyo wako mpya, na mafuta yako, na manyoya ya kwanza ya kondoo zako, unapaswa umpe.
5 Thi ham har HERREN din Gud udvalgt blandt alle dine Stammer, saa at han og hans Sønner altid skal gøre Præstetjeneste i HERRENS Navn.
Kwa kuwa Yahwe Mungu wako amemchagua kutoka kwenye makabila yote yako kusimama kutumika kwa jina la Yahwe, yeye na wana wake milele.
6 Naar en Levit inden dine Porte et steds i Israel, hvor han har haft sit Ophold, kommer til det Sted, HERREN udvælger — det staar ham frit for at komme, hvis han vil —
Kama Mlawi anatoka kati ya miji yenu nje ya Israel yote kutoka ambapo anaishi, na utamani kwa moyo wake wote kuja katika eneo Yahwe atachagua,
7 maa han gøre Præstetjeneste i HERREN sin Guds Navn, lige saa vel som alle hans Brødre, de andre Leviter, der staar for HERRENS Aasyn der.
basi anapaswa kutumika kwa jina la Yahwe Mungu wake kama ndugu zake wote Walawi wanafanya, wanaosimama mbele ya Yahwe.
8 De skal nyde samme Ret, fraregnet hvad enhver er kommet til ved Salg af sin Fædrenearv.
Wanapaswa kuwa na mgao wa kufanana wa kula, badala ya kile kinachokuja kutokana na mauzo ya urithi wa familia yake.
9 Naar du kommer ind i det Land, HERREN din Gud vil give dig, maa du ikke lære at efterligne disse Folks Vederstyggeligheder.
Wakati mmekuja katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, mnapaswa kujifunza kuangalia machukizo ya mataifa.
10 Der maa ingen findes hos dig, som lader sin Søn eller Datter gaa igennem Ilden, ingen, som driver Spaadomskunst, tager Varsler, er Sandsiger eller øver Trolddom,
Pasipatikana miongoni mwenu mmoja anayemweka kijana wake au binti yake kwenye moto, yeyote anatumia uganga, yeyote anatabiri, au mchawi, mchawi yeyote,
11 ingen, som foretager Besværgelse eller gør Spørgsmaal til Genfærd og Sandsigeraander og henvender sig til de døde;
yeyote aongeae na wafu, au yeyote aongeae na roho.
12 thi enhver, der gør sligt, er HERREN vederstyggelig, og for disse Vederstyggeligheders Skyld er det, at HERREN din Gud driver dem bort foran dig.
Kwa yeyote afanyae mambo haya ni chukizo kwa Yahwe; ni kwa sababu ya machukizo haya ambayo Yahwe Mungu wenu anawaondosha mbele zenu.
13 Ustraffelig skal du være for HERREN din Gud.
Mnapaswa kuwa wakamilifu mbele ya Yahwe Mungu wenu.
14 Thi disse Folk, som du skal drive bort, hører paa dem, der tager Varsler og driver Spaadomskunst; men sligt har HERREN din Gud ikke tilladt dig.
Kwa mataifa haya ambayo mtayafukuza kusikiliza wale wafanyao uchawi na uganga; lakini kwenu, Yahwe Mungu wenu amewakataza ninyi kufanya hivyo.
15 HERREN din Gud vil lade en Profet som mig fremstaa af din Midte, af dine Brødre; ham skal I høre paa.
Yahwe Mungu wenu atainua kwa ajili yenu nabii kutoka miongoni mwenu, mmoja wa ndugu zenu, kama mimi. Mnapaswa kumsikiliza.
16 Saaledes udbad du dig det jo af HERREN din Gud ved Horeb, den Dag I var forsamlede, da du sagde: »Lad mig ikke mere høre HERREN min Guds Røst og se denne vældige Ild, at jeg ikke skal dø!«
Hiki ndicho mlichouliza kutoka kwa Yahwe Mungu wenu huko Horebu katika siku ya kusanyiko, kusema, “Acha tusisikie tena sauti ya Yahwe Mungu wetu, wala kuona moto mkuu tena, wala tutakufa.”
17 Da sagde HERREN til mig: »De har talt rettelig!
Yahwe alisema nami, “Kile walichosema ni kizuri.
18 Jeg vil lade en Profet som dig fremstaa for dem af deres Brødre og lægge mine Ord i hans Mund, og han skal sige dem alt, hvad jeg byder ham!
Nitamwinua nabii kwa ajili yao kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe. Nitaweka maneno yangu katika kinywa chake, na ataongea nao yote niliyowakuamuru.
19 Og enhver, der ikke vil høre mine Ord, som han taler i mit Navn, ham vil jeg kræve til Regnskab.
Itakuwa kama yeyote hatasikia maneno yangu ambayo anazungumza kwa jina langu, nitalitaka kwake.
20 Men den Profet, der formaster sig til at tale noget i mit Navn, som jeg ikke har paalagt ham at tale, eller taler i en anden Guds Navn, den Profet skal dø!«
Lakini nabii ambaye anazungumza neno kwa kiburi kwa jina langu, neno ambalo sijamuamuru kusema, au ambaye anayezungumza kwa jina la miungu mingine, huyo nabii atakufa.
21 Og hvis du tænker ved dig selv: »Hvorledes skal vi kende det Ord, HERREN ikke har talt?«
Hivyo ndivyo unapaswa kusema katika mioyo yenu: “Tutagunduaje kuwa ujumbe ambao Yahwe hajazungumza?
22 saa vid: Hvad en Profet taler i HERRENS Navn, uden at det sker og indtræffer, det er noget, HERREN ikke har talt. I Formastelighed har Profeten udtalt det, og du skal ikke være bange for ham!
Mtagundua ujumbe ambao Yahwe amezungumza pindi nabii azungumzapo kwa jina la Yahwe. Kama hiyo haitokei wala kufanyika, basi hicho ni kile ambacho Yahwe hajazungumza na nabii amezungumza kwa kiburi, na hampaswi kumuogopa.