< 2 Samuel 22 >

1 David sang HERREN denne Sang, dengang HERREN havde frelst ham af alle hans Fjenders og af Sauls Haand.
Daudi alimwimbia Bwana maneno ya wimbo huu wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli.
2 Han sang: »HERRE, min Klippe, min Borg, min Befrier,
Akasema: “Bwana ni mwamba wangu, ngome yangu na mwokozi wangu,
3 min Gud, mit Bjerg, hvortil jeg tyr, mit Skjold, mit Frelseshorn, mit Værn, min Tilflugt, min Frelser, som frelser mig fra Vold!
Mungu wangu ni mwamba wangu, ambaye kwake ninakimbilia, ngao yangu na pembe ya wokovu wangu. Yeye ni ngome yangu, kimbilio langu na mwokozi wangu, huniokoa kutoka kwa watu wenye jeuri.
4 Jeg paakalder HERREN, den Højlovede, og frelses fra mine Fjender.
Ninamwita Bwana, anayestahili kusifiwa, nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.
5 Dødens Brændinger omsluttede mig, Ødelæggelsens Strømme forfærdede mig,
“Mawimbi ya mauti yalinizunguka, mafuriko ya maangamizi yalinilemea.
6 Dødsrigets Reb omspændte mig, Dødens Snarer faldt over mig; (Sheol h7585)
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol h7585)
7 i min Vaande paakaldte jeg HERREN og raabte til min Gud. Han hørte min Røst fra sin Helligdom, mit Raab fandt ind til hans Ører!
Katika shida yangu nalimwita Bwana, nilimlilia Mungu wangu. Kutoka Hekaluni mwake alisikia sauti yangu, kilio changu kikafika masikioni mwake.
8 Da rystede Jorden og skjalv, Himlens Grundvolde bæved og rysted, thi hans Vrede blussede op.
“Dunia ilitetemeka na kutikisika, misingi ya mbingu ikatikisika, vilitetemeka kwa sababu alikuwa amekasirika.
9 Røg for ud af hans Næse, fortærende Ild af hans Mund, Gløder gnistrede fra ham.
Moshi ukapanda kutoka puani mwake, moto uteketezao ukatoka kinywani mwake, makaa ya moto yawakayo yakatoka ndani mwake.
10 Han sænkede Himlen, steg ned med Skymulm under sine Fødder;
Akazipasua mbingu akashuka chini, mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.
11 baaret af Keruber fløj han, svæved paa Vindens Vinger;
Alipanda juu ya kerubi akaruka, akapaa juu kwa mbawa za upepo.
12 han omgav sig med Mulm som en Bolig, mørke Vandmasser, vandfyldte Skyer.
Alifanya giza hema lake la kujifunika: mawingu meusi ya mvua ya angani.
13 Fra Glansen foran ham for der Hagl og Ildgløder ud.
Kutokana na mwanga wa uwepo wake mawingu yalisogea, ikanyesha mvua ya mawe na umeme wa radi.
14 HERREN tordned fra Himlen, den Højeste lod høre sin Røst;
Bwana alinguruma kutoka mbinguni, sauti ya Aliye Juu Sana ilisikika.
15 han udslynged Pile, adsplittede dem, lod Lynene funkle og skræmmede dem.
Aliipiga mishale na kutawanya adui, umeme wa radi na kuwafukuza.
16 Havets Bund kom til Syne, Jordens Grundvolde blottedes ved HERRENS Trusel, for hans Vredes Pust.
Mabonde ya bahari yalifunuliwa, na misingi ya dunia ikawa wazi kwa kukaripia kwake Bwana, kwa uvumi wa pumzi kutoka puani mwake.
17 Han udrakte Haanden fra det høje og greb mig, drog mig op af de vældige Vande,
“Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika; alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.
18 frelste mig fra mine mægtige Fjender, fra mine Avindsmænd; de var mig for stærke.
Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi, kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.
19 Paa min Ulykkes Dag faldt de over mig, men HERREN blev mig et Værn.
Walinikabili siku ya msiba wangu, lakini Bwana alikuwa msaada wangu.
20 Han førte mig ud i aabent Land, han frelste mig, thi han havde Behag i mig.
Alinileta nje mahali penye nafasi tele, akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.
21 HERREN gengældte mig efter min Retfærd, lønned mig efter mine Hænders Uskyld;
“Bwana alinitendea sawasawa na uadilifu wangu; sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa.
22 thi jeg holdt mig til HERRENS Veje, svigted i Gudløshed ikke min Gud;
Kwa maana nimezishika njia za Bwana; sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.
23 hans Bud stod mig alle for Øje, jeg veg ikke fra hans Love.
Sheria zake zote zi mbele yangu, wala sijayaacha maagizo yake.
24 Ustraffelig var jeg for ham og vogtede mig for Brøde.
Nimekuwa sina hatia mbele zake, nami nimejilinda nisitende dhambi.
25 HERREN lønned mig efter min Retfærd, mine Hænders Uskyld, som var ham for Øje!
Bwana amenilipa sawasawa na uadilifu wangu, sawasawa na usafi wangu machoni pake.
26 Du viser dig from mod den fromme, retsindig mod den retsindige,
“Kwa yeye aliye mwaminifu unajionyesha kuwa mwaminifu, kwa asiye na hatia unajionyesha kutokuwa na hatia,
27 du viser dig ren mod den rene og vrang mod den svigefulde.
kwa aliye mtakatifu unajionyesha kuwa mtakatifu, lakini kwa aliyepotoka unajionyesha kuwa mkaidi.
28 De arme giver du Frelse, hovmodiges Øjne Skam!
Wewe huwaokoa wanyenyekevu, lakini macho yako ni juu ya wenye kiburi ili uwashushe.
29 Ja, du er min Lampe, HERRE! HERREN opklarer mit Mørke.
Wewe ni taa yangu, Ee Bwana. Bwana hulifanya giza langu kuwa mwanga.
30 Thi ved din Hjælp søndrer jeg Mure, ved min Guds Hjælp springer jeg over Volde.
Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi, nikiwa pamoja na Mungu wangu nitaweza kuruka ukuta.
31 Fuldkommen er Guds Vej, lutret er HERRENS Ord. Han er et Skjold for alle, der sætter deres Lid til ham.
“Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu; neno la Bwana halina dosari. Yeye ni ngao kwa wote wanaokimbilia kwake.
32 Ja, hvem er Gud uden HERREN, hvem er en Klippe uden vor Gud,
Kwa maana ni nani aliye Mungu zaidi ya Bwana? Ni nani aliye Mwamba isipokuwa Mungu wetu?
33 den Gud, der omgjorded mig med Kraft, jævnede Vejen for mig,
Mungu ndiye anivikaye nguvu na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.
34 gjorde mine Fødder som Hindens og gav mig Fodfæste paa Højne,
Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu, huniwezesha kusimama mahali palipo juu.
35 oplærte min Haand til Krig, saa mine Arme spændte Kobberbuen?
Huifundisha mikono yangu kupigana vita; mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.
36 Du gav mig din Frelses Skjold, din Nedladelse gjorde mig stor;
Hunipa ngao yako ya ushindi, unajishusha chini ili kuniinua.
37 du skaffede Plads for mine Skridt, mine Ankler vaklede ikke.
Huyapanua mapito yangu, ili miguu yangu isiteleze.
38 Jeg jog mine Fjender, indhentede dem, vendte først om, da de var gjort til intet,
“Niliwafuatia adui zangu na nikawaseta, sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.
39 slog dem ned, saa de ej kunde rejse sig, men laa faldne under min Fod.
Niliwaseta kabisa, nao hawakuweza kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.
40 Du omgjorded mig med Kraft til Kampen, mine Modstandere tvang du i Knæ for mig;
Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita; uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.
41 du slog mine Fjender paa Flugt mine Avindsmænd ryddede jeg af Vejen.
Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia, nami nikawaangamiza adui zangu.
42 De raabte, men ingen hjalp, til HERREN, han svared dem ikke.
Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa; walimlilia Bwana, lakini hakuwajibu.
43 Jeg knuste dem som Jordens Støv, som Gadeskarn tramped jeg paa dem.
Niliwaponda kama mavumbi ya nchi; niliwaponda na kuwakanyaga kama tope barabarani.
44 Du friede mig af Folkekampe, du satte mig til Folkeslags Høvding; nu tjener mig ukendte Folk;
“Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu wangu; umenihifadhi mimi kama kiongozi wa mataifa. Watu ambao sikuwajua wananitumikia,
45 Udlandets Sønner kryber for mig; blot de hører om mig, lyder de mig:
nao wageni huja wakininyenyekea, mara wanisikiapo, hunitii.
46 Udlandets Sønner vansmægter, kommer skælvende frem af deres Skjul.
Wote wanalegea, wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.
47 HERREN lever, højlovet min Klippe, ophøjet være min Frelses Gud,
“Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu! Atukuzwe Mungu, Mwamba, Mwokozi wangu!
48 den Gud, som giver mig Hævn, lægger Folkeslag under min Fod
Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi, ayawekaye mataifa chini yangu,
49 og frier mig fra mine Fjender! Du ophøjer mig over mine Modstandere, fra Voldsmænd frelser du mig.
aniwekaye huru toka kwa adui zangu. Uliniinua juu ya adui zangu; uliniokoa toka kwa watu wajeuri.
50 HERRE, derfor priser jeg dig blandt Folkene og lovsynger dit Navn,
Kwa hiyo nitakusifu, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.
51 du, som kraftig hjælper din Konge og viser din Salvede Miskundhed. David og hans Æt evindelig.«
Humpa mfalme wake ushindi mkuu; huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake, kwa Daudi na wazao wake milele.”

< 2 Samuel 22 >