< Anden Krønikebog 26 >
1 Alt Folket i Juda tog saa Uzzija, der da var seksten Aar gammel, og gjorde ham til Konge i hans Fader Amazjas Sted.
Kisha watu wote wa Yuda wakamtwaa Uzia, aliyekuwa na umri wa miaka kumi na sita, nao wakamfanya mfalme mahali pa Amazia baba yake.
2 Det var ham, der befæstede Elot og atter forenede det med Juda efter at Kongen havde lagt sig til Hvile hos sine Fædre.
Ndiye alijenga upya Elathi kuirudisha kwa Yuda baada ya Amazia kulala pamoja na baba zake.
3 Uzzija var seksten Aar gammel da han blev Konge, og han herskede to og halvtredsindstyve Aar i Jerusalem. Hans Moder hed Jekolja og var fra Jerusalem.
Uzia alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka hamsini na miwili. Mama yake aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.
4 Han gjorde, hvad der var ret i HERRENS Øjne, ganske som hans Fader Amazja;
Akatenda yaliyo mema machoni pa Bwana, kama Amazia baba yake alivyofanya.
5 og han blev ved med at søge Gud, saa længe Zekarja, der havde undervist ham i Gudsfrygt, levede. Og saa længe han søgte HERREN, gav Gud ham Lykke.
Akamtafuta Mungu katika siku za Zekaria, aliyemwelekeza kumcha Mungu. Wakati wote alipomtafuta Bwana, Mungu alimfanikisha.
6 Han gjorde et Krigstog mod Filisterne og nedrev Bymurene i Gat, Jabne og Asdod og byggede Byer i Asdods Omraade og Filisterlandet.
Alipigana vita dhidi ya Wafilisti na kubomoa kuta za Gathi, Yabne na Ashdodi. Kisha akajenga upya miji karibu na Ashdodi na mahali pengine katikati ya Wafilisti.
7 Gud hjalp ham mod Filisterne og Araberne, der boede i Gur-Ba'al og mod Me'uniterne.
Mungu akamsaidia dhidi ya Wafilisti na dhidi ya Waarabu walioishi Gur-Baali na dhidi ya Wameuni.
8 Ammoniterne svarede Uzzija Skat, og hans Ry naaede til Ægypten, thi han blev overmaade mægtig.
Waamoni wakamletea Uzia ushuru, umaarufu wake ukaenea hadi kwenye mpaka wa Misri, kwa sababu alikuwa amekuwa na nguvu sana.
9 Og Uzzija byggede Taarne i Jerusalem ved Hjørneporten, Dalporten og Murhjørnet og befæstede dem.
Uzia akajenga minara huko Yerusalemu katika Lango la Pembeni, katika Lango la Bondeni na katika pembe, mahali kuta zikutanapo, kisha akaijengea ngome.
10 Fremdeles byggede han Taarne i Ørkenen og lod mange Cisterner udhugge, thi han havde store Hjorde baade i Lavlandet og paa Højsletten, der hos Agerdyrkere og Vingaardsmænd paa Bjergene og i Frugtlandet, thi han var ivrig Landmand.
Akajenga pia minara jangwani na kuchimba visima vingi vya maji, kwa sababu alikuwa na mifugo mingi chini ya vilimani na kwenye nchi tambarare. Alikuwa na watu wanaofanya kazi katika mashamba yake na kwenye mashamba yake ya mizabibu huko vilimani na katika ardhi zenye rutuba, kwa kuwa aliupenda udongo.
11 Og Uzzija havde en øvet Krigshær, der drog i Krig Deling for Deling i det Tal, der fremgik af Mønstringen, som Statsskriveren Je'uel og Retsskriveren Ma'aseja foretog under Tilsyn af Hananja, en at Kongens Øverster.
Zaidi ya hayo, Uzia alikuwa na jeshi lililofunzwa vizuri, lililokuwa tayari kwenda vitani kwa vikosi kufuatana na idadi yao kama walivyokusanywa na Yeieli mwandishi na Maaseya msimamizi chini ya maelekezo ya Hanania, mmojawapo wa maafisa wa mfalme.
12 Det fulde Tal paa de dygtige Krigere, som var Overhoveder for Fædrenehusene, var 2600.
Idadi yote ya viongozi wa jamaa waliowaongoza hawa wapiganaji walikuwa 2,600.
13 Under deres Befaling stod en Hærstyrke paa 307 500 krigsvante Folk i deres fulde Kraft til at hjælpe Kongen mod Fjenden.
Chini ya uongozi wao kulikuwa na jeshi la askari 307,500 watu waliofundishwa kwa ajili ya vita, jeshi lenye nguvu la kumsaidia mfalme dhidi ya adui zake.
14 Uzzija udrustede hele Hæren med Skjolde, Spyd, Hjelme, Brynjer, Buer og Slyngesten.
Uzia akalipatia jeshi lote ngao, mikuki, chapeo, dirii, pinde na mawe ya kombeo.
15 Ligeledes lod han i Jerusalem lave snildt udtænkte Krigsmaskiner, der opstilledes paa Taarnene og Murtinderne til at udslynge Pile og store Sten. Og hans Ry naaede viden om, thi paa underfuld Maade blev han hjulpet til stor Magt.
Huko Yerusalemu watu wenye utaalamu mkubwa wakatengeneza mitambo iliyotumika katika minara na kwenye pembe za ulinzi ili kurusha mishale na kuvurumisha mawe makubwa. Sifa zake zikaenea mbali sana kwa sababu alisaidiwa mno mpaka akawa na nguvu sana.
16 Men da han var blevet mægtig, blev hans Hjerte overmodigt, saa han gjorde, hvad fordærveligt var; han handlede troløst mod HERREN sin Gud, idet han gik ind i HERRENS Helligdom for at brænde Røgelse paa Røgelsealteret.
Lakini baada ya Uzia kuwa na nguvu sana, majivuno yake yakamsababishia kuanguka. Alikosa uaminifu kwa Bwana Mungu wake, naye akaingia hekaluni mwa Bwana ili afukize uvumba kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba.
17 Præsten Azarja fulgte efter ham, ledsaget af firsindstyve af HERRENS Præster, modige Mænd;
Azaria kuhani akiwa pamoja na makuhani wengine themanini wa Bwana wenye ujasiri wakamfuata huko ndani.
18 og de traadte frem for Kong Uzzija og sagde til ham: »At ofre HERREN Røgelse tilkommer ikke dig, Uzzija, men Arons Sønner, Præsterne, som er helliget til at ofre Røgelse; gaa ud af Helligdommen, thi du har handlet troløst, og det tjener dig ikke til Ære for HERREN din Gud!«
Wakamkabili na kumwambia, “Siyo sawa kwako, Uzia, kumfukizia Bwana uvumba. Hiyo ni kazi ya makuhani, wazao wa Aroni, ambao wamewekwa wakfu ili kufukiza uvumba. Ondoka mahali patakatifu, kwa kuwa umekosa uaminifu nawe hutaheshimiwa na Bwana.”
19 Uzzija, der holdt Røgelsekarret i Haanden for at brænde Røgelse, blev rasende; men som han rasede mod Præsterne, slog Spedalskhed ud paa hans Pande, medens han stod der over for Præsterne foran Røgelsealteret i HERRENS Hus;
Uzia, ambaye alikuwa na chetezo mkononi mwake tayari kufukiza uvumba, akakasirika. Alipokuwa anawaghadhibikia makuhani mbele ya madhabahu ya kufukizia uvumba katika Hekalu la Bwana, ukoma ukamtokea penye kipaji chake cha uso.
20 og da Ypperstepræsten Azarja og alle Præsterne vendte sig imod ham, se, da var han spedalsk i Panden. Saa førte de ham hastigt bort derfra, og selv fik han travlt med at komme ud, fordi HERREN havde ramt ham.
Azaria kuhani mkuu pamoja na makuhani wengine wote walipomtazama wakaona kwamba alikuwa na ukoma penye kipaji chake cha uso wakaharakisha kumtoa nje. Naam, hata yeye mwenyewe alikuwa anatamani kuondoka kwa sababu Bwana alikuwa amempiga.
21 Saa var Kong Uzzija spedalsk til sin Dødedag; og skønt spedalsk fik han Lov at blive boende i sit Hus, men var udelukket fra HERRENS Hus, medens hans Søn Jotam raadede i Kongens Palads og dømte Folket i Landet.
Mfalme Uzia alikuwa na ukoma mpaka siku ya kufa kwake. Akatengwa katika nyumba ya pekee akiwa mwenye ukoma, naye akawa ametengwa kutoka Hekalu la Bwana. Yothamu mwanawe akawa msimamizi wa jumba la mfalme, pia akawaongoza watu wa nchi.
22 Hvad der ellers er at fortælle om Uzzija fra først til sidst, har Profeten Esajas, Amoz's Søn, optegnet.
Matukio mengine ya utawala wa Uzia, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa na nabii Isaya mwana wa Amozi.
23 Saa lagde han sig til Hvile hos sine Fædre, og man jordede ham hos hans Fædre paa den Mark, hvor Kongegravene var, under Hensyn til at han havde været spedalsk; og hans Søn Jotam blev Konge i hans Sted.
Uzia akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa karibu nao katika shamba la kuzikia lililokuwa mali ya wafalme, kwa kuwa watu walisema, “Alikuwa na ukoma.” Yothamu mwanawe akawa mfalme baada yake.