< Anden Krønikebog 15 >

1 Guds Aand kom over Azarja, Odeds Søn,
Roho ya Mungu ikaja juu ya Azaria mwana wa Odedi.
2 og han traadte frem for Asa og sagde til ham: »Hør mig, Asa og hele Juda og Benjamin! HERREN er med eder, naar I er med ham; og hvis I søger ham, lader han sig finde af eder, men forlader I ham, forlader han ogsaa eder!
Akaenda nje kukutana na Asa na akamwambia, “Nisikilize, Asa, na Yuda wote na Benyamini: Yahwe yuko pamoja nanyi, pale mnapokuwa naye. Kama mtamtafuta, mtampata; lakini kama mtamsahau, atawasahau ninyi.
3 I lange Tider var Israel uden sand Gud, uden Præster til at vejlede og uden Lov,
Sasa kwa muda mrefu, Israeli hawakuwa na Mungu wa kweli, bila kuhani wa kufundisha, na bila sheria.
4 men i sin Trængsel omvendte det sig til HERREN, Israels Gud, og søgte ham, og han lod sig finde at dem.
Lakini katika dhiki yao wakamrudia Yahwe, Mungu wa Israeli, na wakamtafuta, wakamta.
5 I de Tider kunde ingen gaa ud og ind i Fred, thi der var vild Rædsel over alle Landes Indbyggere;
Katika nyakati hizo hapakuwa na amani kwake aliyesafiri kwend mbali, wala kwake aliyesafiri kuja hapa; badala yake shsida kubwa zilikuwa juu ya wenyeji wote wa wanchi.
6 Folk knustes mod Folk, By mod By, thi Gud bragte dem i vild Rædsel med alle mulige Trængsler.
Waligawanyika vikundi vikundi, taifa dhidi ya taifa, na mji dhidi ya mji, kwa maana Mungu aliwapa shsida za kila aina ya kila mateso.
7 Men I, vær frimodige og lad ikke Hænderne synke, thi der er Løn for eders Gerning.«
Lakini muwe hodari, na msiuache mkono wenu kuwa dhaifu, kwa maana kazi yen itapewa thawabu.”
8 Da Asa hørte de Ord og den Profeti, tog han Mod til sig og fjernede de væmmelige Guder fra hele Judas og Benjamins Land og fra de Byer, han havde indtaget i Efraims Bjerge; og han byggede paany HERRENS Alter foran HERRENS Forhal.
Asa aliposikia maneno haya, unabii wa odedi nabii, akajipa ujasiri na kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza kutoka nchi yote ya Yuda na Benyamini, na kutoka miji yote aliyokuwa ameiteka kuanzia kilima cha nchi ya Efraimu, na akaijenga tena madhabahu ya Yahwe, ambayo ilikuwa mbele ya ukumbi wa nyumba ya Yahwe.
9 Saa samlede han hele Juda og Benjamin og de Folk fra Efraim, Manasse og Simeon, der boede som fremmede hos dem; thi en Mængde Israeliter var gaaet over til ham, da de saa, at HERREN hans Gud var med ham.
Akawakusanya Yuda wote na Benyamini, na wae waliokaa pamoja nao—watu wa kutoka Efraimu na Manase, na kutoka Simeoni. Kwa maana walikuja kwake katika hesabu kubwa kutoka Israeli, walipoona kwamba Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye.
10 De samledes i Jerusalem i den tredje Maaned i Asas femtende Regeringsaar
Kwa hiyo wakakusanyika katika Yerusalemu katika mwezzi wa tatu, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
11 og ofrede den Dag HERREN Ofre af Byttet, de havde medbragt, 700 Stykker Hornkvæg og 7000 Stykker Smaakvæg.
Katika siku hiyo walimtolea Yahwe dhabihu baadhi ya nyara ambazo walikuwa wameleta; ng'mbe wa kulima mia saba na kondoo na mbuzi elfu saba.
12 Derpaa sluttede de en Pagt om at søge HERREN, deres Fædres Gud, af hele deres Hjerte og hele deres Sjæl;
Wakaingia kataika agano kwa ajili ya kumtafuta Yahwe, Mungu wa babau zao, kwa moyo wao wote na roho yao yote.
13 og enhver, der ikke søgte HERREN, Israels Gud, skulde lide Døden, være sig lille eller stor, Mand eller Kvinde.
Wakakubaliana kwamba yeyote atakepuuzia kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli, atapaswa kuuawa, iwe mdogo ama mkubwa, iwe mwanaume ama mwanamke.
14 Det tilsvor de HERREN med høj Røst under Jubel og til Trompeters og Horns Klang,
Wakaapa kwa Yahwe kwa sauti kubwa, kwa kelele, na kwa sauti za tarumbeta na baragumu.
15 Og hele Juda glædede sig over den Ed, thi de svor af hele deres Hjerte og søgte ham af hele deres Vilje; og han lod sig finde af dem og lod dem faa Ro til alle Sider.
Yuda wote wakakifurahia kile kiaapo. kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote, na walimtafuta Mungu kwa nia yao yote, na walimuona. Yahwe akawapa amani pande zote.
16 Kong Asa fratog endog sin Moder Ma'aka Værdigheden som Herskerinde, fordi hun havde ladet lave et Skændselsbillede til Ære for Asjera; Asa lod hendes Skændselsbillede nedbryde, sønderknuse og brænde i Kedrons Dal.
Pia akamwondoa Maaka, asiwe malikia, kwa sababu alikuwa amefanya sanamu ya kuchukiza ya Maashera. Asa akaivunja vunja sanamu ya kuchukiza, akaiweka kwenye mavumbi akaichoma moto huko kijitoni Kidroni.
17 Vel forsvandt Offerhøjene ikke af Israel, men alligevel var Asas Hjerte helt med HERREN, saa længe han levede.
Lakini sehemu za juu hazikuwa zimeondolewa nje ya Israeli. Vile vile, Moyo wa Asa ulijitoa kikamilifu siku zake zote.
18 Og han bragte sin Faders og sine egne Helliggaver ind i Guds Hus, Sølv, Guld og forskellige Kar.
Akaleta kwenye nyumba ya Mungu vitu vya baba yake na vitu vyake mwenyewe vilivyokuwa vya Yahwe: vitu vya fedha na dhahabu.
19 Der var ikke Krig før efter Asas fem og tredivte Regeringsaar.
Hapakuwa na vita zaidi hadi miaka thelathini na mitano ya utawala wa Asa.

< Anden Krønikebog 15 >