< 1 Samuel 5 >
1 Filisterne tog da Guds Ark og bragte den fra Eben Ezer til Asdod.
Basi Wafilisti wakawa wamelitwaa sanduku la Mungu, wakalileta kutoka Ebenezeri hadi Ashdodi.
2 Og Filisterne tog Guds Ark og bragte den ind i Dagons Hus og stillede den ved Siden af Dagon.
Wafilisti walilichukua sanduku la Mungu, wakalileta ndani ya nyumba ya Dagoni, na wakalikalisha pembeni mwa Dagoni.
3 Men tidligt næste Morgen, da Asdoditerne gik ind i Dagons Hus, se, da var Dagon faldet næsegrus til Jorden foran HERRENS Ark. De tog da Dagon og stillede ham paa Plads igen.
Watu wa Ashdodi walipoamka mapema siku ya pili, tazama, Dagoni ilianguka chini kifudifudi mbele ya sanduku la BWANA. Hivyo waliichukua Dagoni na kuisimamisha tena katika sehemu yake.
4 Men da de kom tidligt næste Morgen, se, da var Dagon faldet næsegrus til Jorden foran HERRENS Ark; Hovedet og begge Hænder var slaaet af og laa paa Tærskelen; kun Kroppen var tilbage af ham.
Lakini walipoamka mapema kesho yake, tazama, Dagoni alikuwa ameanguka chini kifudifudi mbele ya sanduku la BWANA. Kichwa cha Dagoni na vitanga vyake miwili vilikatika na kulala mlangoni. Kiwiliwili cha Dagoni ndicho kilibaki tu.
5 Derfor undgaar Dagons Præster og alle, som gaar ind i Dagons Hus, endnu den Dag i Dag at træde paa Dagons Tærskel i Asdod.
Na hii ndiyo sababu, makuhani wa Dagoni na yeyote aingiae ndani ya nyumba ya Dagoni, hata leo, hawezi kukanyaga mlango wa Dagoni katika Ashdodi.
6 Og HERRENS Haand laa tungt paa Asdoditerne; han bragte Fordærvelse over dem, og med Pestbylder slog han Asdod og Egnen der omkring.
Mkono wa BWANA ulikuwa mzito juu ya watu wa Ashdodi. Aliwaangamiza akawatesa kwa majipu, Ashdodi na wilaya zake kwa pamoja.
7 Da Asdoditerne skønnede, hvorledes det hang sammen, sagde de: »Israels Guds Ark maa ikke blive hos os, thi hans Haand tager haardt paa os og paa Dagon, vor Gud!«
Watu wa Ashdodi walipotambua kilichokuwa kinatokea, walisema, “Sanduku la Mungu wa Israeli lisikae kwetu, kwa sababu mkono wake ni mzito juu yetu na juu ya mungu wetu Dagoni.”
8 De sendte da Bud og kaldte alle Filisterfyrsterne sammen hos sig og sagde: »Hvad skal vi gøre med Israels Guds Ark?« De svarede: »Israels Guds Ark skal flyttes til Gat!« Saa flyttede de Israels Guds Ark;
Basi wakawatuma watu wawakusanye pamoja viongozi wote wa Wafilisti; wakawambia, “Tufanye nini na sanduku la Mungu wa Israeli?” Wakawajibu, “Sanduku la Mungu wa Israeli lihamishwe na kupelekwa Gathi.” Basi wakalihamisha hilo sanduku la Mungu wa Israeli hadi huko Gathi.
9 men efter at de havde flyttet den derhen, ramte HERRENS Haand Byen, saa de grebes af stor Rædsel; og han slog Indbyggerne i Byen, smaa og store, saa der brød Pestbylder ud paa dem.
Lakini baada ya kulipeleka huko, mkono wa BWANA ulikuwa juu ya mji huo, ukasababisha machafuko makubwa. Akawatesa watu wa mji huo, wakubwa kwa wadogo; na majipu yakaota juu ya miili yao.
10 De sendte da Guds Ark til Ekron; men da Guds Ark kom til Ekron, raabte Ekroniterne: »De har flyttet Israels Guds Ark over til mig for at bringe Død over mig og mit Folk!«
Basi, wakalipeleka sanduku la Mungu hadi Ekroni. Lakini mara tu sanduku la Mungu lilipoingia Ekroni, watu wa Ekroni walipiga kelele wakisema, “Wametuletea sanduku la Mungu wa Israeli kutuua sisi na watu wetu.”
11 Og de sendte Bud og kaldte alle Filisterfyrsterne sammen og sagde: »Send Israels Guds Ark bort og lad den komme hen igen, hvor den har hjemme, for at den ikke skal bringe Død over mig og mit Folk!« Thi der var kommet Dødsangst over hele Byen, Guds Haand laa saare tungt paa den.
Basi wakawatuma watu wawakusanye pamoja viongozi wote wa Wafilisti; wakawambia, “Lipelekeni mbali sanduku la Mungu wa Israeli, na lirudishwe katika makao yake, ili lisije kutuua sisi na watu wetu.” Kwa maana kulikuwa na hofu ya kutisha mjini mwote; Mkono wa Mungu ulikuwa mzito mno huko.
12 De Mænd, som ikke døde, blev slaaet med Pestbylder, saa at Klageraabet fra Byen naaede op til Himmelen.
Watu ambao hawakufa waliteswa na majipu, na kilio cha mji kilipanda hadi mbinguni.