< 1 Samuel 2 >

1 Da bad Hanna og sagde: Mit Hjerte jubler over HERREN, mit Horn er løftet ved min Gud, min Mund vidt opladt mod mine Fjender, jeg glæder mig over din Frelse.
Hana aliomba akasema, “moyo wangu wamtukuza BWANA. Pembe yangu imejulikana katika BWANA. Kinywa changu kinatamba dhidi ya maadui zangu, kwa kuwa naufurahia wokovu wako.
2 Der er ingen Hellig som HERREN, nej, der er ingen uden dig, der er ingen Klippe som vor Gud!
Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA, kwa kuwa hakuna mwingine zaidi yako; hakuna mwamba kama Mungu wetu.
3 Vær varsomme med eders store Ord, Frækhed undslippe ej eders Mund! Thi en vidende Gud er HERREN, og Gerninger vejes af ham.
Msijivune sana hivyo kwa kiburi; vinywa vyenu visitoke majivuno. Kwa kuwa BWANA ni Mungu wa maarifa; yeye huyapima matendo kwa mizani.
4 Heltes Bue er brudt, men segnende omgjorder sig med Kraft;
Pinde za mashujaa zimevunjika, bali wale wanaojikwaa hujivika nguvu kama mshipi.
5 mætte lader sig leje for Brød, men sultnes Slid hører op; den ufrugtbare føder syv, men den med de mange vansmægter.
Wale walio na shibe ya kutosha wamejikodisha ili wapate chakula; wale waliokuwa na njaa hawana njaa tena. Hata yule aliye kuwa tasa amezaa watoto saba, bali mwanamke mwenye watoto wengi amenyong'onyea.
6 HERREN døder, gør levende, fører ned i Dødsriget og fører op; (Sheol h7585)
BWANA huua na huuisha. Hushusha kuzimu na huleta tena juu. (Sheol h7585)
7 HERREN gør fattig, gør rig, han nedbøjer, og han ophøjer;
BWANA humfanya maskini, na yeye ndiye humtajirisha mtu. Yeye hudhili, lakini pia hukweza
8 han rejser ringe af Støvet, af Skarnet løfter han fattige for at bænke og give dem Ærespladsen. Thi HERRENS er Jordens Søjler, Jorderig bygged han paa dem!
Yeye humwinua juu maskini toka mavumbini: Huwainua wahitaji toka jalalani na kuwaketisha pamoja na wakuu na kuwarithisha kiti cha enzi cha utukufu. Kwa kuwa nguzo za dunia ni za BWANA na ameukalisha ulimwengu juu yake.
9 Han vogter sine frommes Skridt, men gudløse omkommer i Mørket; thi ingen vinder Sejr ved egen kraft.
Yeye atazilinda nyayo za watu wake waaminifu, bali waovu watanyamazishwa gizani, kwa maana hakuna atayeshinda kwa nguvu zake.
10 HERREN — hans Fjender forfærdes, den Højeste tordner i Himmelen, HERREN dømmer den vide Jord! Han skænker sin Konge Kraft, løfter sin Salvedes Horn!
Wale wampingao BWANA watavunjwa vipande vipande; atawapiga radi kutokea mbinguni. BWANA atahukumu miisho ya dunia; atampa nguvu mfalme wake na kuinua pembe ya mtiwa mafuta wake.”
11 Saa drog hun til Rama, men Drengen gjorde Tjeneste for HERREN under Præsten Elis Tilsyn.
Nndipo Elikana akenda Rama, nyumbani kwake. Na yule mtoto akamtumikia BWANA machoni pa Eli, kuhani.
12 Men Elis Sønner var Niddinger; de ænsede hverken HERREN
Basi, watoto wa Eli walikuwa wakorofi. Wao hawakumheshimu BWANA.
13 eller Præstens Ret over for Folket. Hver Gang en Mand bragte et Slagtoffer, kom Præstens Tjener, medens Kødet kogte, med en tregrenet Gaffel i Haanden
Desturi ya makuhani na watu ilikuwa kwamba endapo mtu yeyote ametoa dhabihu, mtumishi wa kuhani angekuja akiwa na uma wa meno matatu mkononi mwake, nyama ilipokuwa inatokoswa.
14 og stak den ned i Karret, Krukken, Kedelen eller Gryden, og alt, hvad Gaffelen fik med op, tog Præsten for sin Del. Saaledes bar de sig ad over for alle de Israeliter, som kom til Silo for at ofre der.
Naye angeutia uma huo sufuriani, au birikani au chomboni au chunguni; nyama yote ambayo ingeinuliwa na uma huo ingetwaliwa na kuhani mwenyewe. Ndivyo walivyofanya huko Shilo kwa Waisraeli wote waliokwenda huko.
15 Eller ogsaa kom Præstens Tjener, før de bragte Fedtet som Røgoffer, og sagde til Manden, som ofrede: »Giv Præsten Kød til at stege; han tager ikke mod kogt Kød af dig, kun raat!«
Tena, kabla ya kuteketeza mafuta, mtumishi wa kuhani alikuja, na kumwambia aliyekuwa akitoa dhabihu, “Tenga nyama ya kuchoma kwa ajili ya kuhani; kwa sababu hataikubali ile ya kutokosa kutoka kwako, bali tu ile mbichi.”
16 Sagde Manden nu til ham: »Først maa Fedtet bringes som Røgoffer, bagefter kan du tage saa meget, du lyster!« svarede han: »Nej, giv mig det nu, ellers tager jeg det med Magt!«
Ikiwa mtu atamwambia, “Wachome mafuta kwanza, na kisha uchukue kiasi utakacho.” Ndipo angesema, “Hapana, utanipatia sasa hivi; la sivyo; Nitaichukua kwa lazima.”
17 Og de unge Mænds Synd var saare stor for HERRENS Aasyn, idet de viste Ringeagt for HERRENS Offergaver.
Dhambi ya vijana hawa ilikuwa mbaya sana mbele za BWANA, kwa sababu waliidharau dhabihu ya BWANA.
18 Imidlertid gjorde Samuel Tjeneste for HERRENS Aasyn; og Drengen var iført en linned Efod.
Lakini Samweli alimtumikia BWANA akiwa mdogo akivaa nguo ya naivera ya kitani.
19 Hans Moder lavede hvert Aar en lille Kappe til ham og bragte ham den, naar hun drog op med sin Mand for at ofre det aarlige Offer.
Kila mwaka mama yake alimtengenezea kanzu dogo na kumletea, wakati wakija na mmewe kutoa dhabihu ya kila mwaka.
20 Og Eli velsignede Elkana og hans Hustru og sagde: »HERREN give dig Afkom af denne Kvinde til Gengæld for ham, hun overlod HERREN!« Saa gik de hjem igen.
Eli aliwabariki Elikana na mke wake na kusema, “BWANA akupatie watoto zaidi kwa mwanamke huyu kwa sababu ya ahadi yake aliyoitoa kwa BWANA.” Baadaye walirudi nyumbani kwao.
21 Og HERREN saa til Hanna, og hun blev frugtsommelig og fødte tre Sønner og to Døtre. Men Drengen Samuel voksede op hos HERREN.
BWANA alimsaidia tena Hana, akawa amebeba mimba nyingine. Akazaa watoto watatu wa kiume na wa kike wawili. Wakati huo huo mtoto Samweli akakua akiwa mbele za BWANA.
22 Eli var meget gammel, og da han hørte, hvorledes hans Sønner behandlede hele Israel, og at de laa hos Kvinderne, som gjorde Tjeneste ved Indgangen til Aabenbaringsteltet,
Basi Eli alikuwa mzee sana, akayasikia yote ambayo watoto wake walikuwa wakiwafanyia Waisraeli wote, na jinsi walivyotembea na mwanamke aliyekuwa akitumika katika lango la hema ya kukutania.
23 sagde han til dem: »Hvorfor gør I saadanne Ting, som jeg hører alt Folket tale om?
Akawaambia, “Kwa nini mnafanya mambo hayo? Kwa maana nasikia matendo yenu maovu kutoka kwa watu hawa wote.”
24 Bær eder dog ikke saaledes ad, mine Sønner! Thi det er ikke noget godt Rygte, jeg hører gaa fra Mund til Mund i HERRENS Folk.
Sivyo hivyo, watoto wangu, maana hii ninayoisikia siyo taarifa njema. Mnawakosesha watu wa BWANA.
25 Naar en Mand synder mod en anden, dømmer Gud dem imellem; men synder en Mand mod HERREN, hvem kan da optræde som Dommer til Gunst for ham?« Men de brød sig ikke om deres Faders Advarsel, thi HERREN vilde deres Død.
“Kama mtu mmoja akimkosea mwenzake, Mungu atamhukumu; Lakini mtu akimkosea BWANA, ni nani atakayemtetea mtu huyo?” Lakini hawakuitii sauti ya baba yao, sababu BWANA alinuia kuwaua.
26 Men Drengen Samuel voksede til og gik stadig frem i Yndest baade hos HERREN og Mennesker.
Yule mtoto Samweli aliongezeka umri, na kupata kibali kwa BWANA na kwa watu pia.
27 Da kom en Guds Mand til Eli og sagde: Saa siger HERREN: »Se, jeg aabenbarede mig for dit Fædrenehus, dengang de var Trælle for Faraos Hus i Ægypten,
Kisha mtu wa Mungu akamwendea Eli na kumwambia, “BWANA asema, 'Je, sikujifunua mwenyewe kwa nyumba ya baba zako, walipokuwa Misri utumwani nyumbani mwa Farao?
28 og jeg udvalgte det af alle Israels Stammer til at gøre Præstetjeneste for mig, til at træde op paa mit Alter for at tænde Offerild og til at bære Efod for mit Aasyn; og jeg tildelte dit Fædrenehus alle Israeliternes Ildofre.
Mimi nilimchagua yeye kutoka makabila yote ya Israeli awe kuhani wangu, apande madhabahuni kwangu, na kufukiza uvumba, na kuvaa kanzu ya naivera mbele yangu. Niliwapa nyumba ya baba zako dhabihu zote za wana wa Israeli zilizotolewa kwa moto.
29 Hvor kan du da se ondt til mit Slagtoffer og Afgrødeoffer, som jeg har paabudt, og ære dine Sønner fremfor mig, idet I gør eder til gode med det bedste at alle mit Folk Israels Offergaver!
Kwanini basi, unaidharau dhabihu yangu na sadaka ambazo ninazitaka mahali ninapoishi? Kwanini unawaheshimu watoto wako kuliko mimi, kwa kujinenepesha ninyi wenyewe kwa uzuri wa kila sadaka ya watu wangu Israeli?'
30 Derfor lyder det fra HERREN, Israels Gud: Vel har jeg sagt, at dit Hus og dit Fædrenehus for stedse skulde færdes for mit Aasyn; men nu, lyder det fra HERREN, være det langt fra mig! Nej, dem, som ærer mig, vil jeg ære, og de, som ringeagter mig, skal beskæmmes.
Maana, BWANA, Mungu wa Isareli, asema, niliahidi kwamba nyumba yako, na nyumba ya baba yako, yawapasa kwenda mbele zangu milele,' Lakini sasa BWANA asema. 'Mambo haya yapishe mbali. nami nisifanye hivi, maana nitawaheshimu wanaoniheshimu, bali wanaonidharau mimi hawatakuwa na thamani.
31 Se, den Tid skal komme, da jeg, afhugger din og dit Fædrenehus's Arm, saa ingen i dit Hus skal blive gammel;
Tazama, siku zinakuja nitakapoondoa nguvu zako na nguvu za nyumba za baba yako, ili kwamba pasije kuwepo mtu mzee katika nyumba yako.
32 og du skal se ondt til alt det gode, HERREN gør mod Israel, og ingen Sinde skal nogen i din Slægt blive gammel.
Nawe utalitazama hangaiko katika makao yangu. Ingawa Israeli watapewa jambo jema, hapatakuwapo tena mtu yeyote mzee katika nyumba yako.
33 Kun en eneste af din Slægt vil jeg undlade at bortrydde fra mit Alter for at lade hans Øjne hentæres og hans Sjæl vansmægte: men alle de andre i din Slægt skal dø for Menneskers Sværd.
Yeyote miongoni mwenu nisiye mwondoa kutoka madhabahuni pangu, Nitasababisha macho yenu yaanguke, na ita nitasababisha huzuni maishani mwenu. Wanaume wote waliozaliwa katika familia yako watakufa.
34 Og det Tegn, du faar derpaa, skal være det, der overgaar dine to Sønner Hofni og Pinehas: Paa een Dag skal de begge dø.
Hii ndiyo itakuwa ishara kwako ambayo itawaijia watoto wako wakiume wawili, juu ya Hofni na Finehasi: Wote wawili watakufa siku moja.
35 Men jeg vil udvælge mig en trofast Præst; han skal handle efter mit Hjerte og mit Sind, og ham vil jeg bygge et varigt Hus, saa han altid skal færdes for min Salvedes Aasyn.
Nami nitamwinua juu kuhani wangu mwaminifu atakaye fanya kile kilichomo moyoni mwangu na nafisini mwangu. Nami nitamjengea nyumba madhubuti; naye atakwenda mbele ya mfalme wangu mbarikiwa milele.
36 Da skal enhver, som er tilbage af din Slægt, komme og kaste sig til Jorden for ham for at faa en Skilling eller en Skive Brød, og han skal sige: Und mig dog Plads ved et af dine Præsteskaber, for at jeg kan have en Bid Brød at spise!«
Kila mmoja aliyebakia nyumbani mwako atakuja na kusujudu mbele ya mtu huyo, akiomba kipande cha fedha na mkate mmoja, naye atasema, “Tafadhali uniajiri katika moja ya nafasi za kuhani ili niweze kula kipande cha mkate'”'

< 1 Samuel 2 >