< 1 Korinterne 7 >

1 Men hvad det angaar, hvorom I skreve til mig, da er det godt for en Mand ikke at røre en Kvinde;
Kuhusu mambo mliyoniandikia: Kuna wakati ambapo ni vizuri mwanaume asilale na mke wake.
2 men for Utugts Skyld have hver Mand sin egen Hustru, og hver Kvinde have sin egen Mand.
Lakini kwa sababu ya majaribu mengi ya zinaa kila mwanaume awe na mkewe, na kila mwanamke awe na mmewe.
3 Manden yde Hustruen sin Skyldighed; ligeledes ogsaa Hustruen Manden.
Mume anapaswa kumpa mke haki yake ya ndoa, na vile vile mke naye kwa mmewe.
4 Hustruen raader ikke over sit eget Legeme, men Manden; ligesaa raader heller ikke Manden over sit eget Legeme, men Hustruen.
Si mke aliye na mamlaka juu ya mwili wake, ni mme. Na vile vile, mme naye hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mke anayo.
5 Unddrager eder ikke hinanden, uden maaske med fælles Samtykke, til en Tid, for at I kunne have Ro til Bønnen, og for saa atter at være sammen, for at Satan ikke skal friste eder, fordi I ikke formaa at være afholdende.
Msinyimane mnapolala pamoja, isipokuwa mmekubaliana kwa muda maalum. Fanyeni hivyo ili kupata muda wa maombi. Kisha mnaweza kurudiana tena pamoja, Ili kwamba Shetani asije akawajaribu kwa kukosa kiasi.
6 Men dette siger jeg som en Indrømmelse, ikke som en Befaling.
Lakini nasema haya mambo kwa hiari na si kama amri.
7 Jeg ønsker dog, at alle Mennesker maatte være, som jeg selv er; men hver har sin egen Naadegave fra Gud, den ene saa, den anden saa.
Natamani kila mmoja angekuwa kama mimi nilivyo. Lakini kila mmoja ana karama yake kutoka kwa Mungu. Huyu ana karama hii, na yule ana karama ile.
8 Til de ugifte og til Enkerne siger jeg, at det er godt for dem, om de forblive som jeg.
Kwa wasioolewa na wajane ninasema kwamba, ni vizuri kwao kama wakibaki bila kuolewa, kama nilivyo mimi.
9 Men kunne de ikke være afholdende, da lad dem gifte sig; thi det er bedre at gifte sig end at lide Brynde.
Lakini kama hawawezi kujizuia, wanapaswa kuolewa. Kwa kuwa heri kwao kuolewa kuliko kuwaka tamaa.
10 Men de gifte byder ikke jeg, men Herren, at en Hustru ikke skal skille sig fra sin Mand; (
Sasa kwa wale walioolewa nawapa amri, si mimi bali ni Bwana. “Mke asitengane na mme wake.”
11 men om hun virkeligt skiller sig fra ham, da forblive hun ugift eller forlige sig med Manden; ) og at en Mand ikke skal forlade sin Hustru.
Lakini kama akijitenga kutoka kwa mmewe, abaki hivyo bila kuolewa au vinginevyo apatane na mmewe. Na “Mme asimpe talaka mke wake.”
12 Men til de andre siger jeg, ikke Herren: Dersom nogen Broder har en vantro Hustru, og denne samtykker i at bo hos ham, saa forlade han hende ikke!
Lakini kwa waliobaki, nasema- mimi, si Bwana- kwamba kama ndugu yeyote ana mke asiyeamini na anaridhika kuishi naye, hapaswi kumwacha.
13 Og dersom en Hustru har en vantro Mand, og denne samtykker i at bo hos hende, saa forlade hun ikke Manden!
Kama mwanamke ana mme asiyeamini, na kama anaridhika kuishi naye, asimwache.
14 Thi den vantro Mand er helliget ved Hustruen, og den vantro Hustru er helliget ved Manden; ellers vare jo eders Børn urene, men nu ere de hellige.
Kwa mme asiyeamini anatakaswa kwa sababu ya imani ya mkewe. Na mwanamke asiyeamini anatakaswa kwa sababu ya mmewe aaminiye. Vinginevyo watoto wenu wangekuwa si safi, lakini kwa kweli wametakaswa.
15 Men skiller den vantro sig, saa lad ham skille sig; ingen Broder eller Søster er trælbunden i saadanne Tilfælde; men Gud har kaldet os til Fred.
Lakini mwenzi asiyeamini akiondoka na aende. Kwa namna hiyo, kaka au dada hafungwi na viapo vyao. Mungu ametuita tuishi kwa amani.
16 Thi hvad ved du, Hustru! om du kan frelse din Mand? eller hvad ved du, Mand! om du kan frelse din Hustru?
Unajuaje kama mwanamke, huenda utamwokoa mmeo? Au unajuaje kama mwanaume, huenda utamwokoa mkeo?
17 Kun vandre enhver saaledes, som Herren har tildelt ham, som Gud har kaldet ham; og saaledes forordner jeg i alle Menighederne.
Kila mmoja tu aishi maisha kama Bwana alivyowagawia, kila mmoja kama Mungu alivyowaita wao. Huu ni mwongozo wangu kwa makanisa yote.
18 Blev nogen kaldet som omskaaren, han lade ikke Forhud drage over; er nogen kaldet som uomskaaren, han lade sig ikke omskære!
Yupo aliyekuwa ametahiriwa alipoitwa kuamini? Asijaribu kuondoa alama ya tohara yake. Yupo yeyote aliyeitwa katika imani hajatahiriwa? Hapaswi kutahiriwa.
19 Omskærelse har intet at sige, og Forhud har intet at sige, men det at holde Guds Bud.
Kwa hili aidha ametahiriwa wala asiye tahiriwa hakuna matatizo. Chenye matatizo ni kutii amri za Mungu.
20 Hver blive i den Stand, hvori han blev kaldet!
Kila mmoja abaki katika wito alivyokuwa alipoitwa na Mungu kuamini.
21 Blev du kaldet som Træl, da lad det ikke bekymre dig, men om du ogsaa kan blive fri, da gør hellere Brug deraf!
Ulikuwa mtumwa wakati Mungu alipokuita? Usijali kuhusu hiyo. Lakini kama unaweza kuwa huru, fanya hivyo.
22 Thi den, der er kaldet i Herren som Træl, er Herrens frigivne; ligesaa er den, der er kaldet som fri, Kristi Træl.
Kwa mmoja aliyeitwa na Bwana kama mtumwa ni mtu huru katika Bwana. Kama vile, mmoja aliye huru alipoitwa kuamini ni mtumwa wa Kristo.
23 Dyrt bleve I købte, vorder ikke Menneskers Trælle!
Mmekwisha nunuliwa kwa thamani, hivyo msiwe watumwa wa wanadamu.
24 I den Stand, hvori enhver blev kaldet, Brødre, deri blive han for Gud!
Kaka na dada zangu, katika maisha yoyote kila mmoja wetu tulipoitwa kuamini, tubaki kama vile.
25 Men om Jomfruerne har jeg ikke nogen Befaling fra Herren, men giver min Mening til Kende som den, hvem Herren barmhjertigt har forundt at være troværdig.
Sasa, wale wote ambao hawajaoa kamwe, sina amri kutoka kwa Bwana. Lakini nawapa maoni yangu kama nilivyo. Kwa huruma za Bwana, zinazo aminika
26 Jeg mener altsaa dette, at det paa Grund af den forhaandenværende Nød er godt for et Menneske at være saaledes, som han er.
Kwa hiyo, ninafikiri hivyo kwa sababu ya usumbufu, ni vyema mwanaume abaki kama alivyo.
27 Er du bunden til en Kvinde, da søg ikke at blive løst; er du ikke bunden, da søg ikke en Hustru!
Umefungwa kwa mwanamke na kiapo cha ndoa? Usitake uhuru kutoka kwa hiyo. Una uhuru kutoka kwa mke au hujaolewa? Usitafute mke.
28 Men om du ogsaa gifter dig, synder du ikke; og om en Jomfru gifter sig, synder hun ikke; dog ville saadanne faa Trængsel i Kødet. Men jeg skaaner eder.
Lakini kama ukioa, hujafanya dhambi. Na kama mwanamke hajolewa akiolewa, hajafanya dhambi. Bado wale wanaoana wanapata masumbufu ya aina mbalimbali. Nami nataka niwaepushe hayo.
29 Men dette siger jeg eder, Brødre! at Tiden er kort, for at herefter baade de, der have Hustruer, skulle være, som om de ingen have,
Lakini nasema hivi, kaka na dada zangu, muda ni mfupi. Tangu sasa na kuendelea, wale walio na wake waishi kama hawana.
30 og de, der græde, som om de ikke græde, og de, der glæde sig, som om de ikke glæde sig, og de, der købe, som om de ikke besidde,
Wote walio na huzuni wajifanye kama walikuwa hawana huzuni, na wote wanaofurahi, kama walikuwa hawafurahi, na wote wanaonunua kitu chochote, kama hawakumiliki chochote.
31 og de, der bruge denne Verden, som om de ikke gøre Brug af den; thi denne Verdens Skikkelse forgaar.
Na wote wanaoshughulika na ulimwengu, wawe kama hawakushughulika nao. Kwa kuwa mitindo ya dunia inafikia mwisho wake.
32 Men jeg ønsker, at I maa være uden Bekymring. Den ugifte er bekymret for de Ting, som høre Herren til, hvorledes han kan behage Herren;
Ninataka muwe huru kwa masumbufu yote. Mwanaume asiyeoa anajihusisha na vitu vinavyo mhusu Bwana, namna ya kumpendeza yeye.
33 men den gifte er bekymret for de Ting, som høre Verden til, hvorledes han kan behage Hustruen.
Lakini mwanaume aliyeoa hujihusisha na mambo ya dunia, namna ya kumpendeza mkewe,
34 Og der er ogsaa Forskel imellem Hustruen og Jomfruen. Den ugifte er bekymret for de Ting, som høre Herren til, for at hun kan være hellig baade paa Legeme og Aand; men den gifte er bekymret for det, som hører Verden til, hvorledes hun kan behage Manden.
amegawanyika. Mwanawake asiyeolewa au bikira hujihusisha na vitu kuhusu Bwana, namna ya kujitenga katika mwili na katika roho. Lakini mwanamke aliyeolewa hujihusisha kuhusu vitu dunia, namna ya kumfurahisha mme wake.
35 Men dette siger jeg til eders eget Gavn, ikke for at kaste en Snare om eder, men for at bevare Sømmelighed og en urokkelig Vedhængen ved Herren.
Nasema hivi kwa faida yenu wenyewe, na siweki mtego kwenu. Nasema hivi kwa vile ni haki, ili kwamba mnaweza kujiweka wakfu kwa Bwana bila kikwazo chochote.
36 Men dersom nogen mener at volde sin ugifte Datter Skam, om hun sidder over Tiden, og det maa saa være, han gøre, hvad han vil, han synder ikke; lad dem gifte sig!
Lakini kama mtu anafikiri hawezi kumtendea kwa heshima mwanawali wake, kwa sababu ya hisia zake zina nguvu sana, acha aoane naye kama apendavyo. Siyo dhambi.
37 Men den, som staar fast i sit Hjerte og ikke er tvungen, men har Raadighed over sin Villie og har besluttet dette i sit Hjerte at holde sin Datter ugift, han gør vel.
Lakini kama amefanya maamuzi kutokuoa, na hakuna haja ya lazima, na kama anaweza kutawala hamu yake, atafanya vyema kama hatamwoa.
38 Altsaa, baade den, som bortgifter sin Datter, gør vel, og den, som ikke bortgifter hende, gør bedre.
Hivyo, anayemwoa mwanamwali wake afanya vyema, na yeyote ambaye anachagua kutooa atafanya vyema zaidi.
39 En Hustru er bunden, saa længe hendes Mand lever; men dersom Manden sover hen, er hun fri til at gifte sig med hvem hun vil, kun at det sker i Herren.
Mwanamke amefungwa na mmewe wakati yu hai. Lakini kama mmewe akifa, yuko huru kuolewa na yeyote ampendaye, lakini katika Bwana tu.
40 Men lykkeligere er hun, om hun forbliver saaledes, som hun er, efter min Mening; men ogsaa jeg mener at have Guds Aand.
Bado katika maamuzi yangu, atakuwa na furaha zaidi kama akiishi kama alivyo. Na ninafikiri kuwa nami pia nina Roho wa Mungu.

< 1 Korinterne 7 >