< Første Krønikebog 12 >
1 Følgende er de, der kom til David i Ziklag, medens han maatte holde sig skjult for Saul, Kisj's Søn. De hørte til Heltene, som hjalp til i Kampen;
Hawa walikuwa wanaume walio kuja kwa Daudi huko Zikilagi, wakati akiwa bado amefukuzwa katika uwepo wa Sauli mwana wa Kishi. Walikuwa miongoni mwa wanajeshi, wasaidizi wake katika mapambano.
2 de var væbnet med Bue og øvet i Stenkast og Pileskydning baade med højre og venstre Haand; de hørte til Sauls Brødre, Benjaminiterne.
Walikuwa wana upinde na waliweza kutumia mkono wa kuume na wakushoto kurusha mawe na manati na kupiga mishale kutoka kwenye upinde. Walikuwa Wabenjamini, ndugu wa kabila moja na Sauli.
3 Deres Overhoved var Ahiezer; dernæst Joasj, Sjema'as Søn, fra Gibea, Jeziel og Pelet, Azmavets Sønner, Beraka, Jehu fra Anatot,
Kiongozi alikuwa Ahi Eza, halafu Yoashi, Wana wote wa Shemaa Mgibeathi. Kulikuwa na Yezieli na Peleti, wana wa Azimavethi. Kulikuwa pia na Beraka, Yehu Waanathothi,
4 Jisjmaja fra Gibeon, en Helt blandt de tredive og Høvedsmand over de tredive, Jirmeja, Jahaziel, Johanan, Jozabad fra Gedera,
Ishimaia Mgibeoni, mwanajeshi kati ya wale thelathini ( na kiongozi wa wale thelathini); Yeremia, Yahazieli, Yohana, Yozabadi Wagederathi,
5 El'uzaj, Jerimot, Bealja, Sjemarja, Sjefatja fra Harif,
Eluzai, Yerimothi, Bealia, Shemaria, Shefatia Waharufi,
6 Elkana, Jissjija, Azar'el, Jo'ezer og Jasjobam, Koraiterne,
Wakorahi ni Elkana, Ishia, Azareli, Yoeza, Yashobeamu, na
7 Joela og Zebadja, Sønner af Jeroham fra Gedor.
Yoela na Zebadia, wana wa Yeroham wa Gedori.
8 Af Gaditerne sluttede nogle sig dygtige Krigere, øvede Krigsmænd, væbnet med Skjold og Spyd; de var som Løver at se paa og rappe som Gazellerne paa Bjergene.
Baadhi ya Wagadi walijiunga na Daudi katika ngome iliyo nyikani. Walikuwa wanaume wapiganaji, waliofundishwa kwa mapambano, walioweza kumudu ngao na mkuki; ambao nyuso zao zilikuwa kali kama za simba. Walikuwa wepesi kwenye milima kama swala.
9 Deres Overhoved var Ezer, Obadja den anden, Eliab den tredje,
Kulikuwa na Eza kiongozi, Obadia wapili, Eliabu watatu,
10 Masjmanna den fjerde, Jirmeja den femte,
Mishimana wanne, Yeremia watano,
11 Attaj den sjette, Eliel den syvende,
Atai wasita, Elieli wasaba,
12 Johanan den ottende, Elzabad den niende,
Yohana wanane, Elizabadi watisa,
13 Jirmeja den tiende, Makbannaj den ellevte.
Yeremia wakumi, Makibanai wakumi na moja.
14 De var Anførere blandt Gaditerne; den mindste af dem tog det op med hundrede, den største med tusind.
Wana wa Gadi walikuwa viongozi wa jeshi. Wamwisho aliongoza mia moja, na mkubwa aliongoza elfu moja.
15 Det var dem, der gik over Jordan i den første Maaned, engang den overalt var gaaet over sine Bredder, og slog alle Dalboerne paa Flugt baade mod Øst og Vest.
Walikatisha Yordani kwa mwezi wa kwanza, wakati vijito vyake vilipofurika, na kuwafukuza wote wanaoishi katika mabonde, pande zote za mashariki na magharibi.
16 Engang kom nogle Benjaminiter og Judæere til David i Klippeborgen;
Baadhi ya wanaume wa Benjamini na Yuda walikuja kwenye ngome kwa Daudi.
17 David gik ud til dem, tog til Orde og sagde: »Hvis I kommer til mig i fredelig Hensigt, for at hjælpe mig, er jeg af Hjertet rede til at gøre fælles Sag med eder; men er det for at forraade mig til mine Fjender, skønt der ikke er Uret i mine Hænder, da se vore Fædres Gud til og straffe det!«
Daudi alienda nje kuwasalimu na kuwahutubia: “kama mmekuja kwa amani kunisaidia, mnaweza kujiunga nami. Lakini kama mmekuja kunisaliti kwa maadui zangu, Ee Mungu wa mababu zetu awaone na kuwakemea, tangu sijafanya kosa.”
18 Saa iførte Aanden sig Amasaj, de tredives Anfører, og han sagde: »For dig, David, og med dig, Isajs Søn! Fred, Fred være med dig, og Fred med dine Hjælpere, thi dig hjælper din Gud!« Da tog David imod dem og satte dem i Spidsen for Krigerskaren.
Kisha roho ikaja juu ya Amasai, ambaye alikuwa kiongozi wa wale thelathini. Amasai alisema, “Sisi ni wako, Daudi. Sisi tupo upande wako, mwana wa Yesse. na amani iwe juu ya yeyote atakaye kusaidia. Kuwa Mungu wako anakusaidia.” Kisha Daudi akawapokea na kuwafanya wakuu wa watu wake.
19 Af Manasse gik nogle over til David. Det var, dengang han sammen med Filisterne drog i Kamp mod Saul, uden at han dog blev dem til Hjælp, fordi Filisternes Fyrster efter at have holdt Raadslagning sendte ham bort, idet de sagde: »Det koster vore Hoveder, hvis han gaar over til sin Herre Saul!«
Baadhi kutoka kwa Manase pia wakamwendea Daudi alipokuja na Wafilisti dhidi ya Sauli katika pambano. Lakini hawakuwasaidia Wafilisti kwasababu mabwana wa Wafilisti walishauriana na wakamfukuza Daudi. Walisema, “Atamwendea Bwana wake Sauli na kuhatarisha maisha yetu.”
20 Da han saa drog til Ziklag, gik følgende Manassiter over til ham: Adna, Jozabad, Jediael, Mikael, Jozabad, Elihu og Zilletaj, der var Overhoveder for Slægter i Manasse;
Alipokwenda kwa Zikilagi, wanaume wa Manase walioungana nae walikuwa Adina, Yozabadi, Yediaeli, Yozabadi, Elihu, na Zilethai, viongozi wa maelfu wa Manase.
21 de hjalp siden David imod Strejfskarerne, thi de var alle dygtige Krigere og blev Førere i Hæren.
Walimsaidia Daudi kupigana na kikundi cha wezi, maana walikuwa wanaume wa mapambano. Baadae walikuwa wakuu katika jeshi.
22 Der kom nemlig daglig Folk til David for at hjælpe ham, saa det til sidst blev en stor Hær, stor som Guds Hær.
Siku hadi siku, wanaume walikuja kwa Daudi kumsaidia, mpaka wakawa jeshi kubwa, kama jeshi la Mungu.
23 Følgende er Tallene paa Førerne for de væbnede Krigere, der kom til David i Hebron for at gøre ham til Konge i Sauls Sted efter HERRENS Bud:
Hii ni kumbukumbu ya wanajeshi wa vita, walio kuja kwa Daudi Hebroni, kuupindua ufalme wa Sauli kwake, ilikutimiza neno la Yahweh.
24 Af Judæere, der har Skjold og Spyd, 6800 væbnede Krigere;
Kutoka Yuda walio beba ngao na mkuki ni 6, 800, tayari kwa vita.
25 af Simeoniterne 7100 dygtige Krigshelte;
Kutoka kwa Wasimeoni walikuwa 7, 100 wanaume wa mapambano.
Kutoka kwa Walawi kulikuwa na wanaume wa mapambano 4, 600.
27 dertil Øversten over Arons Slægt, Jojada, fulgt af 3700,
Yehoiada alikuwa kiongozi wa uzao wa Aruni, na kwa yeye walikuwa 3, 700.
28 og Zadok, en ung, dygtig Kriger, med sit Fædrenehus, 22 Førere;
Kwa Zadoki, kijana, mwenye nguvu, na mjasiri, walikuwa viongozi ishirini na mbili kwa familia ya baba yake.
29 af Benjaminiterne, Sauls Brødre, 3000, men de fleste af dem holdt endnu fast ved Sauls Hus;
Kutoka kwa Benjamini, kabila la Sauli, walikuwa elfu tatu. Wengi wao walibaki waaminifu kwa Sauli mpaka muda huu.
30 af Efraimiterne 20 800 dygtige Krigere, navnkundige Mænd i deres Fædrenehuse;
Kutoka kwa Waefraimu palikuwa na wanume wa mapambano 20, 800, wanaume maharufu kwenye familia za baba zao.
31 af Manasses halve Stamme 18 000 navngivne Mænd, der skulde gaa hen og gøre David til Konge;
Kutoka kabila nusu la Manase palikuwa na wanaume elfu kumi na nane maharufu walio kuja kufanya Daudi mfalme.
32 af Issakariterne, der forstod sig paa Tiderne, saa de skønnede, hvad Israel havde at gøre, 200 Førere og alle deres Brødre, der stod under dem;
Kutoka kwa Isakari, palikuwa na viongozi mia mbili walio kuwa na ufahamu wa nyakati na walijua nini Israeli ya paswa kufanya. Ndugu zao wote walikuwa chini ya amri yao.
33 af Zebulon 50 000, øvede Krigere, udrustet med alle Haande Vaaben, med een Vilje rede til Kamp;
Kutoka Zebuloni palikuwa na wanaume elfu hamsini wa mapambano, tayari kwa vita, na silaha zote za vita, na tayari kutoa uwaminifu usio pungua.
34 af Naftali 1000 Førere, fulgt af 37 000 Mænd med Skjold og Spyd;
Kutoka kwa Naftali palikuwa na askari elfu moja, na pamoja nao wanaume elfu thelathini na saba wenye ngao na mikuki.
35 af Daniterne 28 600, udrustede Mænd;
Kutoka kwa Wadani palikuwa na wanaume 28, 600 wameandaliwa kwa ajili ya pambano.
36 af Aser 40 000, øvede Krigere, rustet til Kamp;
Kutoka kwa Asheri palikuwa na wanaume elfu arobaini wameandaliwa kwa pambano.
37 fra den anden Side af Jordan, fra Rubeniterne, Gaditerne og Manasses halve Stamme, 120 000 Mænd med alle Haande Krigsvaaben.
Kutoka upande wa pili wa Yordani, kutoka kwa Warubeni, Wagadi, na nusu kabila la Manase, palikuwa na wanaume 120, 000 wameandaliwa na silaha za kila namna kwa ajili ya pambano.
38 Med helt Hjerte og rede til Kamp kom alle disse Krigere til Hebron for at gøre David til Konge over hele Israel; men ogsaa det øvrige Israel var endrægtigt med til at gøre David til Konge.
Wanajeshi hawa wote, waliandaliwa kwa pambano, kuja Hebroni kwa dhumuni maalumu la kumfanya Daudi mfalme wa Israeli yote. Israeli yote ilikubaliana na kumfanya Daudi mfalme.
39 De blev der hos David i tre Dage og spiste og drak, thi deres Brødre havde forsynet dem;
Walikuwa na Daudi siku tatu, kula na kunywa, kwa kuwa ndugu zao waliwapa mahitaji ya kwenda nayo.
40 ogsaa de, der boede i deres Nærhed lige til Issakar, Zebulon og Naftali, bragte dem Levnedsmidler paa Æsler, Kameler, Muldyr og Okser, Fødevarer af Mel, Figenkager, Rosinkager, Vin, Olie, Hornkvæg og Smaakvæg i Mængde; thi der var Glæde i Israel.
Kwa kuongezea, wao walio kuwa karibu nao, kwa umbali wa Isakari na Zebuloni na Naftali, walileta mkate kwa punda, ngamia, ng'ombe, na keki, mvinyo, mafuta, ng'ombe, na kondoo, kwa kuwa Israeli walikuwa wana sherehekea