< Højsangen 5 >

1 Jeg er kommen, min Søster, o Brud! i min Have, jeg har plukket min Myrra tillige med min duftende Urt, jeg har ædt min Honningkage tillige med min Honning, jeg har drukket min Vin tillige med min Mælk; æder, I Venner! drikker og bliver drukne, I elskelige!
Nimekuja katika bustani yangu, dada yangu, bibi arusi wangu; Nimekusanya udi wangu na manukato yangu. Nimekula mziga wangu wa asali na asali yangu; Nimekunywa mvinyo wangu pamoja na maziwa yangu. Marafiki wanazungumza na wapenzi Kuleni, marafiki; kunyweni na mlewe na mapenzi. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
2 Jeg sov, men mit Hjerte vaagede. Min elskedes Røst! Han banker: Luk op for mig, min Søster! min Veninde! min Due! min rene! thi mit Hoved er fuldt af Dug, mine Lokker af Nattens Draaber. —
Nilikuwa nimelala, lakini moyo wangu ulikuwa umeamka katika ndoto. Sauti ya mpenzi wangu yabisha na kusema, “Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu, hua wangu, wangu usiye na doa, kwa kuwa kichwa changu kimelowa na matone, nywele zangu na unyevu wa usiku.”
3 Jeg har afført mig min Kjortel; hvorledes skal jeg iføre mig den igen? jeg har toet mine Fødder; hvorledes skal jeg gøre dem urene igen?
“Nimevua joho langu; lazima nilivae tena? Nimeosha miguu yangu; lazima ni ichafue?”
4 Min elskede stak sin Haand igennem Aabningen, og mit Indre blev heftigt bevæget for hans Skyld.
Mpenzi wangu anaeka mkono wake kwenye kitasa, na moyo wangu ukawaka kwa ajili yake.
5 Da stod jeg op for at lukke op for min elskede; og mine Hænder dryppede med Myrra og mine Fingre med flydende Myrra over Haandfangene paa Laasen.
Nimeamka kumfungulia mlango mpenzi wangu; mikono yangu ikawa yamiminika na udi, vidole vyangu na unyevu wa udi, katika komeo la mlango.
6 Jeg lukkede op for min elskede, men min elskede havde vendt sig bort, han var gaaet forbi; jeg var gaaet ud af mig selv, da han talte; jeg ledte efter ham, men fandt ham ikke; jeg kaldte ad ham, men han svarede mig ikke.
Nimemfungulia mlango mpenzi wangu, lakini mpenzi wangu aligeuka na kwenda. Moyo wangu ukadidimia; nikakosa tumaini. Nikamtafuta, lakini sikumpata; nikamuita, lakini hakunijibu.
7 Vægterne, som gaa omkring i Staden, fandt mig, de sloge mig, de saarede mig; Vægterne paa Murene toge mit Slør fra mig.
Walinzi waliokuwa wakizunguka mjini walinipata mimi; walinipiga chini na kunijeruhi; askari katika ukuta walichukua nguo yangu ya juu. Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa mji
8 Jeg besværger eder, I Jerusalems Døtre! om I finde min elskede, hvad skulle I forkynde ham? At jeg er syg af Kærlighed.
Ninataka uhaidi, mabinti wa Yerusalemu, kwamba mkimuona mpenzi wangu, mwambie ninaumwa sababu ya upendo wangu kwake. Wanawake wa mji wakizungumza na mwanamke mdogo
9 Hvad er din elskede fremfor en andens elskede, du dejligste iblandt Kvinderne? hvad er din elskede fremfor en andens elskede, at du har saaledes besvoret os?
Mpenzi wako ana ubora gani kuliko mwanaume mwengine, wewe uliye mzuri miongoni mwa wanawake? Kwanini mpenzi wako bora kuliko mpenzi mwengine, hadi utuulize tuweke nadhiri kama hii? Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa mji
10 Min elskede er hvid og rød, udmærket fremfor ti Tusinde.
Mpenzi wangu amenawiri na ana ng'aa, kati ya wanaume elfu kumi.
11 Hans Hoved er fineste Guld; hans Lokker ere krusede, sorte som Ravnen.
Kichwa chake ni dhahabu safi; nywele zake ni laini na nyeusi kama kunguru.
12 Hans Øjne ere som Duer ved Vandbække, badende sig i Mælk, siddende ved fulde Strømme.
Macho yake ni kama ya hua pembezoni ya vijito vya maji, yameoshwa na maziwa, yameundwa kama mikufu.
13 Hans Kinder ere som duftende Blomsterbede, Taarne af vellugtende Urter; hans Læber ere som Lillier, der dryppe med flydende Myrra;
Mashavu yake ni kama vitanda vya manukato, vinavyotoa arufu ya marashi. Midomo yake nni nyinyoro, inayo tiririka udi.
14 hans Hænder ere Guldringe, besatte med Krysoliter; hans Bug er skinnende Elfenben, belagt med Safirer;
Mikono yake ni ya mianzi ya dhahabu iliyo zungushiwa mikufu; tumbo lake ni pembe lililo funikwa yakuti samawi.
15 hans Ben ere Marmorstøtter, grundfæstede i Fodstykker af Guld; hans Skikkelse er som Libanon, udvalgt som Cedertræerne;
Miguu yake ni nguzo za marimari, iliyo ekwa juu ya dhahabu safi; muonekano wake ni kama Lebanoni, mizuri kama mierezi.
16 hans Gane er Sødhed, og han er lutter Yndighed; dette er min elskede, og dette er min Ven, I Jerusalems Døtre!
Mdomo wake ni mtamu; ni mzuri sana. Huyu ni mpenzi wangu, na huyu ni rafiki yangu, mabinti wa Yerusalemu.

< Højsangen 5 >