< Romerne 16 >

1 Men jeg anbefaler eder Føbe, vor Søster, som er Tjenerinde ved Menigheden i Kenkreæ,
Namkabidhi kwenu Fibi dada yetu, ambaye ni mtumishi wa kanisa ambalo liko Kenkrea,
2 for at I maa modtage hende i Herren, som det sømmer sig de hellige, og yde hende Bistand, i hvad som helst hun maatte trænge til eder; thi ogsaa hun har været en Hjælperske for mange og for mig selv med.
ili kwamba mnaweza kumpokea katika Bwana. Fanyeni hivi katika kicho cha thamani cha waumini, na msimame pamoja naye katika jambo lolote atakalokuwa na uhitaji nalo. Maana yeye mwenyewe amekuwa mhudumu wa wengi, na kwa ajili yangu mwenyewe.
3 Hilser Priska og Akvila, mine Medarbejdere i Kristus Jesus,
Msalimu Priska na Akila, watenda kazi pamoja nami katika Kristo Yesu,
4 som jo for mit Liv have sat deres egen Hals i Vove, hvem ikke alene jeg takker, men ogsaa alle Hedningernes Menigheder;
ambao kwa maisha yangu waliyahatarisha maisha yao wenyewe. Ninatoa shukrani kwao, na siyo tu mimi, bali pia kwa makanisa yote ya mataifa.
5 og hilser Menigheden i deres Hus! Hilser Epænetus, min elskede, som er Asiens Førstegrøde for Kristus.
Lisalimie kanisa ambalo liko nyumbani kwao. Msalimie Epanieto mpendwa wangu, ambaye ni mzaliwa wa kwanza wa Kristo katika Asia.
6 Hilser Maria, som har arbejdet meget for eder.
Msalimie Mariamu ambaye ametenda kazi kwa bidii kwa ajili yenu.
7 Hilser Andronikus og Junias, mine Frænder og mine medfangne, som jo ere navnkundige iblandt Apostlene og tilmed have været i Kristus før mig.
Msalimie Androniko na Yunia, jamaa zangu, na wafungwa pamoja nami. Ni wa muhimu miongoni mwa mitume, ambao pia walitangulia kumjua Kristo kabla yangu.
8 Hilser Ampliatus, min elskede i Herren!
Msalimie Ampliato, mpendwa wangu katika Bwana.
9 Hilser Urbanus, vor Medarbejder i Kristus, og Stakys, min elskede!
Msalimie Urbano, mtenda kazi pamoja nami katika Kristo, na Stakisi mpendwa wangu.
10 Hilser Apelles, den prøvede i Kristus. Hilser dem, som ere af Aristobulus's Hus.
Msalimie Apele, mwenye kukubaliwa katika Kristo. Wasalimie wote ambao walio katika nyumba ya Aristobulo.
11 Hilser Herodion, min Frænde! Hilser dem af Narkissus's Hus, som ere i Herren.
Nisalimie Herodioni, jamaa yangu. Nisalimie wote walio katika nyumba ya Narkiso, ambao wako katika Bwana.
12 Hilser Tryfæna og Tryfosa, som arbejde i Herren. Hilser Persis, den elskede, som jo har arbejdet meget i Herren.
Nisalimie Trifaina na Trifosa, wanaotenda kazi kwa bidii katika Bwana. msalimie Persisi mpendwa, ambaye ametenda kazi zaidi kwa Bwana,
13 Hilser Rufus, den udvalgte i Herren, og hans og min Moder!
Nisalimie Rufo, aliyechaguliwa katika Bwana na mama yake na wangu.
14 Hilser Asynkritus, Flegon, Hermes, Patrobas, Hermas og Brødrene hos dem!
Msalimie Asinkrito, Flegon, Herme, Patroba, Herma, na ndugu wote walio pamoja nao.
15 Hilser Filologus og Julia, Nereus og hans Søster og Olympas og alle de hellige hos dem!
Nisalimie Filologo naYulia, Nerea na dada yake, na Olimpa, na waumini wote walio pamoja nao.
16 Hilser hverandre med et helligt Kys! Alle Kristi Menigheder hilse eder!
Nisalimie kila mmoja kwa busu takatifu. Makanisa yote katika Kristo yawasalimu.
17 Men jeg formaner eder, Brødre! til at give Agt paa dem, som volde Splittelserne og Forargelserne tvært imod den Lære, som I have lært, og viger bort fra dem!
Sasa nawasihi, ndugu, kutafakari juu ya hao ambao wanasababisha mgawanyiko na vipingamizi. Wanakwenda kinyume na mafundisho ambayo mmekwisha kujifunza. Geukeni mtoke kwao.
18 Thi saadanne tjene ikke vor Herre Kristus, men deres egen Bug, og ved søde Ord og skøn Tale forføre de de troskyldiges Hjerter.
Kwa maana watu kama hawa hawamtumikii Kristo Bwana, bali matumbo yao wenyewe. Kwa maneno yao laini na pongezi za uongo wanadanganya mioyo ya wasio na hatia.
19 Eders Lydighed er jo kommen alle for Øre; derfor glæder jeg mig over eder. Men jeg vil, at I skulle være vise med Hensyn til det gode og enfoldige med Hensyn til det onde.
Kwa mfano wa utii wenu mwamfikia kila mmoja. Kwa hiyo, nafurahi juu yenu, lakini nawataka ninyi mwe na busara katika hali ya wema, na kutokuwa na hatia mbele ya uovu.
20 Men Fredens Gud skal hastelig knuse Satan under eders Fødder. Vor Herres Jesu Kristi Naade være med eder!
Mungu wa amani hatakawia kumwangamiza shetani chini ya nyayo zenu. Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja nanyi.
21 Timotheus, min Medarbejder, og Lukius og Jason og Sosipater, mine Frænder, hilse eder.
Timotheo, mtendakazi pamoja nami, awasalimu, na Lukio, Yasoni na Sospeter, jamaa zangu.
22 Jeg, Tertius, som har nedskrevet dette Brev, hilser eder i Herren.
Mimi, Tertio, niliyeuandika waraka huu, nawasalimu katika jina la Bwana.
23 Kajus, min og den hele Menigheds Vært, hilser eder. Erastus, Stadens Rentemester, hilser eder, og Broderen Kvartus. [
Gayo, aliyenitunza na kwa kanisa lote, lawasalimu. Erasto, mtunza hazina wa mji, awasalimu, pamoja na Kwarto aliye ndugu.
24 Vor Herres Jesu Kristi Naade være med eder alle! Amen.]
(Zingatia: Katika nakala halisi za kwanza, mstari huu haupo. Tazama Warumi 16: 20. “Neema ya Bwana Yesu Kristo ikae nanyi nyote. Amina.”)
25 Men ham, som kan styrke eder i mit Evangelium og Forkyndelsen af Jesus Kristus, i Overensstemmelse med Aabenbarelse af en Hemmelighed, som var fortiet fra evige Tider, (aiōnios g166)
Sasa kwake yeye aliye na uwezo kufanya msimame kulingana na injili na mafundisho ya Yesu Kristo, kulingana na ufunuo wa siri iliyofichwa kwa muda mrefu, (aiōnios g166)
26 men nu er bragt for Dagen og ved profetiske Skrifter efter den evige Guds Befaling kundgjort for alle Hedningerne til Tros-Lydighed: (aiōnios g166)
lakini sasa imekwisha funuliwa na kufanywa kujulikana na maandiko ya unabii kulingana na amri ya Mungu wa milele, kwa utii wa imani miongoni mwa mataifa yote? (aiōnios g166)
27 den ene vise Gud ved Jesus Kristus, ham være Ære i Evigheders Evighed! Amen. (aiōn g165)
Kwa Mungu pekee mwenye hekima, kupitia Yesu Kristo, kuwe na utukufu milele yote. Amina (aiōn g165)

< Romerne 16 >