< Salme 49 >

1 Til Sangmesteren; af Koras Børn; en Psalme. Hører dette, alle Folkeslag! vender eders Øren hid, alle Verdens Indbyggere!
Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
2 baade ringe og høje, rige og fattige til Hobe!
wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
3 Min Mund udtaler Visdom og mit Hjertes Betænkning Forstand.
Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
4 Jeg vil bøje mit Øre til Ordsprog; jeg vil udlægge min mørke Tale til Harpe.
Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
5 Hvorfor skulde jeg frygte i de onde Dage, naar mine Efterstræberes Ondskab omgiver mig,
Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
6 de, som forlade sig paa deres Gods og rose sig af deres store Rigdom?
Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
7 Ingen Mand kan dog udløse en Broder, han kan ikke give Gud Løsepenge for ham.
Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
8 Thi deres Sjæls Genløsning vil koste meget og maa i Evighed opgives,
Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
9 saa at han skulde kunne leve hen bestandig uden at se Graven.
Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
10 Thi den vil han faa at se; de vise dø, Daaren og den ufornuftige omkomme tilsammen, og de efterlade deres Gods til andre.
Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
11 Deres inderste Tanker ere, at deres Huse skulle staa evindelig, deres Boliger fra Slægt til Slægt, de kalde deres Jorder op efter deres Navn.
Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
12 Dog har et Menneske, som er i Værdighed, ikke Bestand; han bliver lig Dyrene, som udryddes.
Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
13 Saa gaar det dem, som ere fulde af Selvtillid; dog love deres Efterkommere det med deres Mund. (Sela)
Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
14 De lægge sig i Dødsriget som Faar, Døden skal fortære dem og de oprigtige skulle regere over dem, naar Morgenen oprinder; og Dødsriget skal afslide deres Skikkelse, saa at den ingen Bolig har mere. (Sheol h7585)
Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
15 Men Gud skal forløse min Sjæl af Dødsrigets Vold, thi han antager mig. (Sela) (Sheol h7585)
Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
16 Frygt ikke, naar en Mand bliver rig, naar hans Hus's Herlighed bliver stor;
Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
17 thi han skal slet intet tage med sig, naar han dør, hans Herlighed skal ikke fare ned efter ham.
Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
18 Skønt han velsigner sin Sjæl, medens han lever, og man priser ham, fordi han gør sig til gode:
Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
19 Saa skal han dog komme til sine Fædres Slægt; i Evighed se de ikke Lyset.
naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
20 Et Menneske, som er i Værdighed og ikke har Forstand, han bliver lig Dyrene, som udryddes.
Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.

< Salme 49 >