< Salme 4 >

1 Til Sangmesteren; med Strengeleg; en Psalme af David.
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi. Nijibu nikuitapo, Ee Mungu wangu mwenye haki! Nipumzishe katika shida zangu; nirehemu, usikie ombi langu.
2 Naar jeg raaber, da bønhør mig, min Retfærdigheds Gud! i Trængsel skaffede du mig Rum; vær mig naadig og hør min Bøn!
Enyi watu, mtabadilisha utukufu wangu kuwa aibu mpaka lini? Mtapenda udanganyifu na kufuata miungu ya uongo mpaka lini?
3 I Menneskens Børn! hvor længe skal min Ære være til Skændsel? I elske Forfængelighed og søge Løgn. (Sela)
Fahamuni hakika kwamba Bwana amewatenga wale wamchao kwa ajili yake; Bwana atanisikia nimwitapo.
4 Vider dog, at Herren har udkaaret sin hellige; Herren hører, naar jeg raaber til ham.
Katika hasira yako, usitende dhambi. Mkiwa vitandani mwenu, mtulie kimya mkiichunguza mioyo yenu.
5 Bliver vrede, men synder ikke; taler i eders Hjerte paa eders Leje; og værer stille! (Sela)
Toeni dhabihu zilizo haki; mtegemeeni Bwana.
6 Ofrer Retfærdigheds Ofre, og forlader eder paa Herren!
Wengi wanauliza, “Ni nani awezaye kutuonyesha jema lolote?” Ee Bwana, tuangazie nuru ya uso wako.
7 Mange sige: Hvo vil vise os godt? Herre! opløft dit Ansigts Lys over os.
Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi.
8 Du gav Glæde i mit Hjerte større end den, de havde, da deres Korn og deres Most var i Overflod. I Fred vil jeg baade lægge mig og sove; thi du, Herre! skal lade mig bo ene i Tryghed.
Nitajilaza chini na kulala kwa amani, kwa kuwa wewe peke yako, Ee Bwana, waniwezesha kukaa kwa salama.

< Salme 4 >