< Salme 120 >
1 Jeg raabte til Herren i min Nød, og han bønhørte mig.
Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
2 Herre! fri min Sjæl fra Løgnens Læbe, fra en svigefuld Tunge.
Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
3 Hvad giver han dig, og hvad giver han dig ydermere, du svigefulde Tunge?
Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
4 Den vældiges skærpede Pile med Gløder af Enebærtræ!
Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
5 Ve mig! thi jeg har været som fremmed iblandt Mesek, jeg har boet ved Kedars Telte.
Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
6 Min Sjæl har længe nok boet hos dem, som hade Fred.
Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
7 Jeg er fredsommelig; men naar jeg taler, da ere disse færdige til Krig.
Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.