< Salme 108 >

1 En Sang, en Psalme af David.
Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
2 Trøstigt er mit Hjerte, o Gud! jeg vil synge, jeg vil lege paa Harpe, ogsaa min Ære skal juble.
Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
3 Vaagn op, Psalter og Harpe! jeg vil vække Morgenrøden.
Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
4 Jeg vil takke dig, Herre! iblandt Folkene og lege paa Harpe for dig iblandt Folkestammer.
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
5 Thi din Miskundhed er stor over Himlene og din Sandhed indtil Skyerne.
Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
6 Ophøj dig, Gud! over Himlene, og din Ære være over al Jorden!
Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
7 Paa det dine elskelige maa udfries, saa frels med din højre Haand og bønhør os!
Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
8 Gud har talt i sin Helligdom, jeg vil fryde mig; jeg vil uddele Sikem og opmaale Sukots Dal.
Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
9 Mig hører Gilead til, mig hører Manasse til, og Efraim er mit Hoveds Værn, Juda er min Herskerstav.
Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
10 Moab er mit Vadskefad; jeg vil kaste min Sko til Edom; bryd ud i Jubel over mig, du Filisterland!
Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
11 Hvo vil føre mig tilden faste Stad? hvo har ledet mig til Edom?
Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
12 Mon ikke du, Gud, som har forkastet os? og vil du, Gud, ikke uddrage med vore Hære?
Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
13 Fly os Hjælp af Nød; thi Menneskers Hjælp er Forfængelighed. Ved Gud ville vi vinde Kraft; og han skal nedtræde vore Fjender.
Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.

< Salme 108 >