< Salme 100 >

1 Al Verden raabe med Glæde for Herren!
Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
2 Tjener Herren med Glæde, kommer for hans Ansigt med Frydeskrig!
Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
3 Kender, at Herren er Gud; han har skabt os, og ikke vi selv, til sit Folk og til den Hjord, han føder!
Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
4 Gaar ind ad hans Porte med Pris, ad hans Forgaarde med Lovsang; takker ham, velsigner hans Navn.
Ingieni malangoni mwake kwa shukrani na katika nyua zake kwa kusifu, mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.
5 Thi Herren er god, hans Miskundhed varer evindelig og hans Sandhed fra Slægt til Slægt.
Kwa maana Bwana ni mwema na upendo wake wadumu milele; uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.

< Salme 100 >