< 4 Mosebog 7 >
1 Og det skete paa den Dag, der Mose var færdig med at oprejse Tabernaklet og salvede det og helligede det og alt Redskabet dertil og Alteret og alt Redskabet dertil og salvede dem og helligede dem,
Siku ambayo Musa alikamilsha masikani, alitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA, pamoja na mapambo yake. Aliifanyia hivyo madhabahu na vyombo vyake. Aliitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA.
2 da ofrede Israels Fyrster, som vare Øverster for deres Fædrenehuse, de, som vare Stammernes Fyrster, de, som forestode de talte.
Siku hiyo, viongozi wa Israeli na wale vichwa vya familia za mababu walitoa sadaka. Hawa wanaume walikuwa viongozi wa makabila. Walisaidia kuhesabu watu kwenye ile sensa.
3 Og de førte deres Offer frem for Herrens Ansigt: Seks bedækkede Vogne og tolv Øksne, en Vogn for to Fyrster og en Okse for hver en, og de førte dem frem foran Tabernaklet.
Walileta sadaka zao kwa BWANA. Walileta magari sita yaliyofunikwa na mafahari kumi na mbili. Walileta gari moja kwa kila viongozi wawili, kila kiongozi alileta fahari moja. Walileta vitu hivi mbele ya masikani.
4 Og Herren talede til Mose og sagde:
Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
5 Tag disse af dem, at de kunne være til at gøre Tjeneste ved Forsamlingens Paulun, og du skal give dem til Leviterne, hver efter sin Tjenestes Beskaffenhed.
“Uzipokee hizo sadaka kutoka kwao na uzitumie kwa matumizi ya kazi ya hema ya kukutania. Uwape hizo sadaka Walawi, kwa kila mmoja kadri ya uhitaji wa kazi yake.”
6 Da tog Mose Vognene og Øksnene og gav dem til Leviterne.
Musa akayatwaa yale magari na mafahari. na kuwapatia Walawi.
7 Han gav Gersons Børn to Vogne og fire Øksne efter deres Tjenestes Beskaffenhed.
Aliwapa magari mawili na mafahari wanne wale wa uzao wa Gerishoni, kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji.
8 Og han gav Merari Børn fire Vogne og otte Øksne efter deres Tjenestes Beskaffenhed, under Tilsyn af Ithamar, Præsten Arons Søn.
Aliwapatia uzao wa Merari magari manne na mafahari nane, chini ya uangalizi wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani. Alifanya hivi kwa sababu ya uhitaji wa kazi yao.
9 Men Kahaths Børn gav han ingen, fordi Tjenesten med de hellige Ting, som skulde bæres paa Skuldrene, paalaa dem.
Lakini wale wa uzao wa Kohathi hakuwapa chochote kwa sababu wao waliangalia vitu vtakatifu amabvyo vilipaswa vibebwe mabagani mwao, siyo kwa magari.
10 Og Fyrsterne ofrede til Alterets Indvielse, paa den Dag det blev salvet, ja, Fyrsterne ofrede deres Offer foran Alteret.
Viongozi walitoa bidhaa zo zingine kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu katika siku ile ambayo Musa aliitia mafuta madhabahu. Viongozi walitoa sadaka zao mbele ya madhabahu hiyo.
11 Og Herren sagde til Mose: Lad een Fyrste hver Dag, ja, een Fyrste hver Dag ofre sit Offer til Alterets Indvielse.
BWANA akasema na Musa, “kila kiongozi atatoa sadaka kwa siku yake kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.”
12 Og den, som ofrede sit Offer paa den første Dag, var Nahesson, Amminadabs Søn, Judas Stammes Fyrste.
Katika siku ya kwanza, Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila ya Yuda, alitoa sadaka yake.
13 Og hans Offer var eet Sølvfad, dets Vægt var hundrede og tredive Sekel, een Sølvskaal paa halvfjerdsindstyve Sekel efter Helligdommens Sekel; de vare begge fulde af Mel, blandet med Olie, til et Madoffer;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja ya fedha ambayo uzito wake ni shekeli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
14 een Røgelseskaal paa ti Sekel Guld, fuld af Røgelse;
Pia alimpa unga wa dhahabu kiasi cha bakuli moja chenye uzani wa shekeli kumi kilichojaa ubani
15 een ung Okse, een Væder, eet Lam, aargammelt, til et Brændoffer;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
16 een Gedebuk til et Syndoffer;
Alitoa beberu kama kama sadaka ya hatia.
17 og to Øksne, fem Vædre, fem Bukke, fem Lam, aargamle, til et Takoffer. Dette var Nahessons, Amminadabs Søns, Offer.
Alitoa makisai mbili, kondoo waume watano, beberu watano na wanakondoo dume watano wenye umri wa mwaka mmoja mmoja, kama sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.
18 Paa den anden Dag ofrede Nethaneel, Zuars Søn, Isaskars Fyrste.
Siku ya pili, Nethanel mwana wa Zuari, kiongozi wa Isakari, alitoa sadaka yake.
19 Han ofrede sit Offer: Eet Sølvfad, dets Vægt var hundrede og tredive Sekel, een Sølvskaal paa halvfjerdsindstyve Sekel efter Helligdommens Sekel; de vare begge fulde af Mel, blandet med Olie, til et Madoffer;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha ya uzito wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa sheli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Viyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa sadaka ya unga.
20 en Røgelseskaal paa ti Sekel Guld, fuld af Røgelse;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, iliyojaa ubani.
21 een ung Okse, een Væder, eet Lam, aargammelt, til et Brændoffer;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo mmoja dume.
22 een Gedebuk til et Syndoffer;
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
23 og to Øksne, fem Vædre, fem Bukke, fem Lam, aargamle, til et Takoffer. Dette var Nethaneels, Zuars Søns, Offer.
Alitoa makisai wawili, Kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hiii likuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Zuari.
24 Paa den tredje Dag ofrede Sebulons Børns Fyrste, Eliab, Helons Søn.
Siku ya tatu, Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa uzao wa Zabuloni alitoa sadaka yake.
25 Hans Offer var eet Sølvfad, dets Vægt var hundrede og tredive Sekel, een Sølvskaal paa halvfjerdsindstyve Sekel efter Helligdommens Sekel; de vare begge fulde af Mel, blandet med Olie, til et Madoffer;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. vyombo vyote hivi vilikuwa vimeja unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
26 een Røgelseskaal paa ti Sekel Guld, fuld af Røgelse;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
27 een ung Okse, een Væder, eet Lam, aargammelt, til et Brændoffer;
Alitoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja.
28 een Gedebuk til et Syndoffer;
Alitoa beberu mmoja kama sadaka ya dhambi.
29 og to Øksne, fem Vædre, fem Bukke, fem Lam, aargamle, til et Takoffer. Dette var Eliabs, Helons Søns, Offer.
Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja. kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana Heloni.
30 Paa den fjerde Dag ofrede Rubens Børns Fyrste, Elizur, Sedeurs Søn.
Siku ya nne, Elizuri mwana wa shedeuri, kiongozi wa uzao wa Reubeni, alitoa sadaka yake.
31 Hans Offer var eet Sølvfad, dets Vægt var hundrede og tredive Sekel, een Sølvskaal paa halvfjerdsindstyve Sekel efter Helligdommens Sekel; de vare begge fulde af Mel, blandet med Olie, til et Madoffer;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
32 een Røgelseskaal paa ti Sekel Guld, fuld af Røgelse;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichoo jaa ubani.
33 een ung Okse, een Væder, eet Lam, aargammelt, til et Brændoffer;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, mwanakondoo dume mmoja mchanga wa mwaka mmoja.
34 een Gedebuk til et Syndoffer;
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
35 og to Øksne, fem Vædre, fem Bukke, fem Lam, aargamle, til et Takoffer. Dette var Elizurs, Sedeurs Søns, Offer.
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Elizuri mwana wa Shedeuri.
36 Paa den femte Dag ofrede Simeons Børns Fyrste, Selumiel, Zurisaddai Søn.
Siku ya tano, Shelumieli mwana wa Zurishadai, kiongozi wa uzao wa Simeoni, alitoa sadaka yake.
37 Hans Offer var eet Sølvfad, dets Vægt var hundrede og tredive Sekel, een Sølvskaal paa halvfjerdsindstyve Sekel efter Helligdommens Sekel; de vare begge fulde af Mel, blandet med Olie, til et Madoffer;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekali 130 na bakuli mojala fedha lenye uzani wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
38 een Røgelseskaal paa ti Sekel Guld, fuld af Røgelse;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, uliojaa ubani.
39 een ung Okse, een Væder, eet Lam, aargammelt, til et Brændoffer;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, dume la kondoo, na dume la mwanakondoo la mwaka mmoja.
40 een Gedebuk til et Syndoffer;
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
41 og to Øksne, fem Vædre, fem Bukke, fem Lam, aargamle, til et Takoffer. Dette var Selumiels, Zurisaddai Søns, Offer.
Alitao maksai wawili, dume wawili wa kondoo, beberu watano, na dume watano wa wanakondoo wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka y amani. Hiindiyo iliyokuwa sadka ya Shelumei mwana wa Zurishadai.
42 Paa den sjette Dag ofrede Gads Børns Fyrste, Eliasaf, Deuels Søn.
Siku ya sita, Eliasafu mwana wa Deuli, kiongozi wa uzao wa Gadi, alitoa sadaka yake.
43 Hans Offer var eet Sølvfad, dets Vægt var hundrede og tredive Sekel, een Sølvskaal paa halvfjerdsindstyve Sekel efter Helligdommens Sekel; de vare begge fulde af Mel, blandet med Olie, til et Madoffer;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la shaba lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya sadaka ya unga.
44 en Røgelseskaal paa ti Sekel Guld, fuld af Røgelse;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
45 een ung Okse, een Væder, eet Lam, aargammelt, til et Brændoffer;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari changa, kondoo dume mmoja, na dume la mwanakondoo mmoja wa mwaka mmoja.
46 een Gedebuk til et Syndoffer;
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
47 og to Øksne, fem Vædre, fem Bukke, fem Lam, aargamle, til et Takoffer. Dette var Eliasafs, Deuels Søns, Offer.
Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deuli.
48 Paa den syvende Dag ofrede Efraims Børns Fyrste, Elisama, Ammihuds Søn.
Siku ya saba, Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa uzao wa Efraimu, alitoa sadaka yake.
49 Hans Offer var eet Sølvfad, dets Vægt var hundrede og tredive Sekel, een Sølvskaal paa halvfjerdsindstyve Sekel efter Helligdommens Sekel; de vare begge fulde af Mel, blandet med Olie, til et Madoffer;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
50 een Røgelseskaal paa ti Sekel Guld, fuld af Røgelse;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu, kilichojaa ubani
51 een ung Okse, een Væder, eet Lam, aargammelt, til et Brændoffer;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa, fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
52 een Gedebuk til et Syndoffer;
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
53 og to Øksne, fem Vædre, fem Bukke, fem Lam, aargamle, til et Takoffer. Dette var Elisamas, Ammihuds Søns, Offer.
Alitoa maksai wawili, kondo dume watano, beberu watano, na na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sdaka ya Elishama mwana wa Amidu.
54 Paa den ottende Dag ofrede Manasse Børns Fyrste, Gamliel, Pedazurs Søn.
Siku y a nane, Gamaliel mwana wa Pedazuri, kiongozi wa uzao wa Manase, alitoa sadaka yake.
55 Hans Offer var eet Sølvfad, dets Vægt var hundrede og tredive Sekel, een Sølvskaal paa halvfjerdsindstyve Sekel efter Helligdommens Sekel; de vare begge fulde af Mel, blandet med Olie, til et Madoffer;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
56 een Røgelseskaal paa ti Sekel Guld, fuld af Røgelse;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
57 een ung Okse, een Væder, eet Lam, aargammelt, til et Brændoffer;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
58 een Gedebuk til et Syndoffer;
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
59 og to Øksne, fem Vædre, fem Bukke, fem Lam, aargamle, til et Takoffer. Dette var Gamliels, Pedazurs Søns, Offer.
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Gamaliel mwana wa Pedazuri.
60 Paa den niende Dag ofrede Benjamins Børns Fyrste, Abidan, Gideoni Søn.
Siku ya tisa, Abidani mwana wa Gidioni, kiongozi wa uzao wa Benjamini, alitoa sadaka yake.
61 Hans Offer var eet Sølvfad, dets Vægt var hundrede og tredive Sekel, een Sølvskaal paa halvfjerdsindstyve Sekel efter Helligdommens Sekel; de vare begge fulde af Mel, blandet med Olie, til et Madoffer;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja yafedha yenye uzani wa sheli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
62 een Røgelseskaal paa ti Sekel Guld, fuld af Røgelse;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
63 een ung Okse, een Væder, eet Lam, aargammelt, til et Brændoffer;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
64 een Gedebuk til et Syndoffer;
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
65 og to Øksne, fem Vædre, fem Bukke, fem Lam, aargamle, til et Takoffer. Dette var Abidans, Gideoni Søns, Offer.
Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gidioni.
66 Paa den tiende Dag ofrede Dans Børns Fyrste, Ahieser, Ammisaddai Søn.
Siku ya kumi, Ahizeri mwana wa Amishadai kiongozi wa Dani alitoa sadaka yake.
67 Hans Offer var eet Sølvfad, dets Vægt var hundrede og tredive Sekel, een Sølvskaal paa halvfjerdsindstyve Sekel efter Helligdommens Sekel; de vare begge fulde af Mel, blandet med Olie, til et Madoffer;
Alitoa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
68 een Røgelseskaal paa ti Sekel Guld, fuld af Røgelse;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
69 een ung Okse, een Væder, eet Lam, aargammelt, til et Brændoffer;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
70 een Gedebuk til et Syndoffer;
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
71 og to Øksne, fem Vædre, fem Bukke, fem Lam, aargamle, til et Takoffer. Dette var Ahiesers, Ammisaddai Søns, Offer.
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja, kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahizeri mwana wa Amishadai.
72 Paa den ellevte Dag ofrede Asers Børns Fyrste, Pagiel, Okrans Søn.
Siku ya kumi na moja. Pagieli mwana wa Okrani kiongozi wa uzao wa Asheri alaitoa sadaka yake.
73 Hans Offer var eet Sølvfad, dets Vægt var hundrede og tredive Sekel, een Sølvskaal paa halvfjerdsindstyve Sekel efter Helligdommens Sekel; de vare begge fulde af Mel, blandet med Olie, til et Madoffer;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabani, kwa kipimo cha shekeli ya mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
74 een Røgelseskaal paa ti Sekel Guld, fuld af Røgelse;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
75 een ung Okse, een Væder, eet Lam, aargammelt, til et Brændoffer;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga. dume la kondoo moja, dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
76 een Gedebuk til et Syndoffer;
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
77 og to Øksne, fem Vædre, fem Bukke, fem Lam, aargamle, til et Takoffer. Dette var Pagiels, Okrans Søns, Offer.
Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.
78 Paa den tolvte Dag ofrede Nafthali Børns Fyrste, Ahira, Enans Søn.
Siku ya kumi na mbili., Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa uzao wa Naftali, alitoa sadaka yake.
79 Hans Offer var eet Sølvfad, dets Vægt var hundrede og tredive Sekel, een Sølvskaal paa halvfjerdsindstyve Sekel efter Helligdommens Sekel; de vare begge fulde af Mel, blandet med Olie, til et Madoffer;
Sadaka yake ailikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba ulichanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
80 een Røgelseskaal paa ti Sekel Guld, fuld af Røgelse;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
81 een ung Okse, een Væder, eet Lam, aargammelt, til et Brændoffer;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na mwanakondoo dume moja wa mwaka mmoja.
82 een Gedebuk til et Syndoffer;
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
83 og to Øksne, fem Vædre, fem Bukke, fem Lam, aargamle, til et Takoffer. Dette var Ahiras, Enans Søns, Offer.
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahra mwana wa Enani.
84 Dette er Alterets Indvielse af Israels Fyrster, paa den Dag det blev salvet: Tolv Sølvfade, tolv Sølvskaaler, tolv Guldrøgelseskaaler;
Viongozi wa Israeli waliviweka wakfu hivi vitu vyote siku ambayo Musa alimimina mafuta kwenye madhabahu. Waliziweka wakfu zile sahani kumi na mbili za fedha, Bakuli kumi na mbili za fedha, na vijiko kumi na vili vya dhahabu.
85 hvert Fad var paa hundrede og tredive Sekel Sølv, og hver Skaal paa halvfjerdsindstyve Sekel, alt Sølvet af Karrene beløb sig til to Tusinde og fire Hundrede Sekel efter Helligdommens Sekel.
Zile sahani za fedha kila moja ilikuwa na uzani wa shaekeli 130 na kila bakuli ye fedha ilikuwa na uzani wa shekeli sabini. Vyombo vyote vya fedh vilikuwa na ujumla ya uzani wa shekeli 2, 400, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu.
86 Tolv Guldrøgelseskaaler, fulde af Røgelse, hver Røgelseskaal paa ti Sekel efter Helligdommens Sekel; alt Guldet af de Røgelseskaaler beløb sig til hundrede og tyve Sekel.
Vile vijiko vya dhahabu vilivyokuwa vimejaa ubani, vilikuwa na uzani wa shekeli kumi kila kimoja. Vijiko vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa shekeli 120.
87 Alt stort Kvæg til Brændofret var tolv Okser, tolv Vædre, tolv Lam, aargamle, og deres Madoffer, og tolv Gedebukke til Syndoffer.
Waliwatenga wanyama wote kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, fahari kumi na wawili, kondoo dume kumi na wawili, na wanakondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja mmoja. Walitoa sadaka yao ya unga. Walitoa beberu kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi.
88 Og alt stort Kvæg til Takofret var fire og tyve Okser, tresindstyve Vædre, tresindstyve Bukke, tresindstyve Lam, aargamle. Dette er Alterets Indvielse, efter at det var salvet.
Kutokana na ng'ombe zao, walitoa fahari ishirini na nne, kondoo dume sitini beberu sitini, na wanakondoo dume sitini wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa kwa ajiliya kuiweka wafu ile madhabahu baada ya kumiminiwa mafuta.
89 Og naar Mose kom til Forsamlingens Paulun for at tale med ham, da hørte han Røsten tale til sig ovenfra Naadestolen, som var paa Vidnesbyrdets Ark, midt ud fra de to Keruber; og han talede til ham.
Musa alipoingia kwenye hema ya kukutania kusema na BWANA, ndipo alipoisikia sauti yake ikisema naye. BWANA alinena naye kutoka juu ya kiti cha rehema kilichokuwa juu ya sanduku la ushahidi, kutoka katikati ya makerubi. Alinena naye.