< 4 Mosebog 29 >
1 Og i den syvende Maaned, paa den første Dag i Maaneden, skal der være eder en hellig Sammenkaldelse, I skulle ingen Arbejdsgerning gøre, det skal være eder en Basunklangs Dag.
Katika siku ya kwanza, ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Katika siku hiyo hamtafanya kazi zenu za kila siku. Itakuwa siku ya kupiga matarumbeta.
2 Og I skulle gøre Brændoffer til en behagelig Lugt for Herren: Een ung Tyr, een Væder, syv Lam, aargamle, uden Lyde;
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ya kufanya harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja na wanakondoo dume saba wa mwaka mmoja, kila mmoja mkamilifu.
3 og deres Madoffer, Mel, blandet med Olie, tre Tiendeparter til Tyren og to Tiendeparter til Væderen
Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya huyo fahari, sehemu mbili za kumi kwa ajili ya huyo kondoo mume,
4 og en Tiendepart til hvert Lam af de syv Lam;
na sehemu ya kumi ya kila hao wanakondoo waume saba.
5 og een Gedebuk til Syndoffer, til at gøre Forligelse for eder;
Na mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
6 foruden Maaneds Brændofret og dets Madoffer, og det bestandige Brændoffer og dets Madoffer og deres Drikofre, efter deres Vis; til en behagelig Lugt, et Ildoffer for Herren.
Toeni hizo sadaka katika mwezi wa saba kama nyongeza ya sadaka mtakazotoa kila mwanzo wa kila mwezi: pamoja na sadaka maalumu za kuteketezwa na sadaka za unga. Hizi zitakuwa nyongeza za sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji. Utakapokuwa ukiendelea na sadaka hizi, utakuwa ukitii kile kilichoamriwa kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa BWANA.
7 Og paa den tiende Dag i denne syvende Maaned skal der være eder en hellig Sammenkaldelse, og I skulle ydmyge eders Sjæle, I skulle intet Arbejde gøre.
Siku ya kumi ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Mtajinyeneyekeza na hamtafanya kazi.
8 Men I skulle ofre Brændoffer for Herren til en behagelig Lugt: Een ung Tyr, een Væder, syv Lam, aargamle; uden Lyde skulle de være eder;
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja mchanga ili kutoa harufu nzuri, kondoo mmoja mume, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
9 og deres Madoffer, Mel, blandet med Olie, tre Tiendeparter til Tyren, to Tiendeparter til den ene Væder,
Pamoja na sadaka hizo utatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya fahari, sehemu mbili za kumi za kondoo dume mmoja,
10 een Tiendepart til hvert Lam af de syv Lam;
na sehemu ya kumi ya efa moja kwa kila mwanakondoo wale saba.
11 een Gedebuk til Syndoffer, foruden Forligelsens Syndoffer og det bestandige Brændoffer og dets Madoffer og deres Drikofre.
Mtatatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya upatanisho. Hii itakuwa sadaka ya nyongeza ya upatanisho, ya sadaka ya kila siku ya kuteketezwa, pamoja na sadaka za unga, na sadaka zake za vinywaji.
12 Og paa den femtende Dag i den syvende Maaned skal der være eder en hellig Sammenkaldelse; I skulle ingen Arbejdsgerning gøre, og I skulle højtideligholde Højtid for Herren i syv Dage.
Siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu lakumwabudu BWANA. Siku hiyo hamtafanya kazi za kila siku, na mtazitunza hizo sikukuu kwa muda wa siku saba kwa ajili ya BWANA.
13 Og I skulle ofre Brændoffer, et Ildoffer til en behagelig Lugt for Herren: Tretten unge Tyre, to Vædre, fjorten Lam, aargamle; de skulle være uden Lyde;
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ilikutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa mafahari wachanga kumi na tatu, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
14 og deres Madoffer, Mel, blandet med Olie, tre Tiendeparter til hver Tyr af de tretten Tyre, to Tiendeparter til hver Væder af de to Vædre
Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembaba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa kila fahari katika hao kumi na tatu, sehemu mbili za kumi kwa kila hao kondoo dume wawili,
15 og een Tiendepart til hvert Lam af de fjorten Lam;
na sehemu ya kumi ya efa ya hao wanakondoo kumi na nne.
16 dertil een Gedebuk til Syndoffer, foruden det bestandige Brændoffer, dets Madoffer og dets Drikoffer.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa, sadaka yake ya unga, pamoja na sadaka za vinywaji.
17 Og paa den anden Dag tolv unge Tyre, to Vædre, fjorten Lam, aargamle, uden Lyde,
Siku ya pili ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi na mbili, kondoo dume wawili na wanakondoo dume kumi na mbili wa umri wa mwaka mmoja, wote wakamilifu.
18 og deres Madofrer og deres Drikofre til Tyrene, til Vædrene og til Lammene efter deres Tal, paa sædvanlig Vis;
Pamoja nao mtatoa sadaka ya unga, na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na kwa ajili ya wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilvyoamriwa.
19 dertil een Gedebuk til Syndoffer, foruden det bestandige Brændoffer og dets Madoffer og deres Drikofre.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kila siku, sadaka yake ya unga, na sadaka zake za vinywaji.
20 Og paa den tredje Dag elleve Tyre, to Vædre, fjorten Lam, aargamle, uden Lyde,
Siku ya tatu ya kusanyiko, mtatoa sadaka mafahari kumi na moja, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
21 og deres Madoffer og deres Drikofre til Tyrene, til Vædrene og til Lammene efter deres Tal, paa sædvanlig Vis;
Pamoja na hizo sadaka mtatoa sadaka ya unga na sdaka ya vinywaji kwa wale mafahari, kwa wale kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, utoe sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
22 dertil een Gedebuk til Syndoffer, foruden det bestandige Brændoffer og dets Madoffer og dets Drikoffer.
Mtatoa sadaka beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya zile sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
23 Og paa den fjerde Dag ti Tyre, to Vædre, fjorten Lam, aargamle, uden Lyde,
Siku ya nne ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
24 deres Madoffer og deres Drikofre til Tyrene, til Vædrene og til Lammene efter deres Tal, paa sædvanlig Vis;
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sdaka za vinywaji kwa wale mafahari, na kwa wale kondoo dume na kwa wale wanakodoo, mtatoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
25 dertil een Gedebuk til Syndoffer, foruden det bestandige Brændoffer og dets Madoffer og dets Drikoffer.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji
26 Og paa den femte Dag ni Tyre, to Vædre, fjorten Lam, aargamle, uden Lyde,
Siku ya tano ya kusanyiko, mtatoa mafahari tisa, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
27 og deres Madoffer og deres Drikofre til Tyrene, til Vædrene og til Lammene efter deres Tal, paa sædvanlig Vis;
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na wale wanakondoo, mkitoa sdaka nyingi kama ilivyoamriwa.
28 dertil een Gedebuk til Syndoffer, foruden det bestandige Brændoffer og dets Madoffer og dets Drikoffer.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka za vinywaji.
29 Og paa den sjette Dag otte Tyre, to Vædre, fjorten Lam, aargamle, uden Lyde,
Siku ya sita ya kusanyiko, mtatoa mafahari wanane, kondoo dume wawili, na wanakondoo kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
30 og deres Madoffer og deres Drikofre til Tyrene, til Vædrene og til Lammene efter deres Tal, paa sædvanlig Vis;
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga nasadaka za vinywaji kwa wale mafahari, kondoo wa dume na wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
31 dertil een Gedebuk til Syndoffer, foruden det bestandige Brændoffer, dets Madoffer og dets Drikoffer.
Mtatoa beberu kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku za kuteketezwa, sadaka zadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
32 Og paa den syvende Dag syv Tyre, to Vædre, fjorten Lam, aargamle, uden Lyde,
Siku ya saba ya kusanyiko, mtatoa mafahari saba, kondoo dume saba, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
33 og deres Madoffer og deres Drikofre til Tyrene, til Vædrene og til Lammene efter deres Tal, paa deres sædvanlige Vis;
Pamoja nao mtataengeneza sadaka ya unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, na kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
34 dertil een Gedebuk til Syndoffer, foruden det bestandige Brændoffer, dets Madoffer og dets Drikofre.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa ya kila siku, na sadaka yake ya unga, na sadaka yake ya vinywaji.
35 Paa den ottende Dag skal der være eder en Slutningshøjtid, da skulle I ingen Arbejdsgerning gøre.
Siku ya nane mtakuwa na kusanyiko lingine makini. Hamtafanya kazi zenu za kila siku.
36 Og I skulle ofre Brændoffer, et Ildoffer til en behagelig Lugt for Herren, een Tyr, een Væder, syv Lam, aargamle, uden Lyde,
Mtafanya sadaka za kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja, kondoo mmoja dume, na wanakondoo saba dume wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
37 deres Madoffer og deres Drikoffer til Tyren, til Vædrene og til Lammene efter deres Tal, paa sædvanlig Vis,
Mtatoa sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji kwa ajili ya yule fahari, kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkifanya sadaka nyingi kadri ilivyoamriwa.
38 dertil een Gedebuk til Syndoffer, foruden det bestandige Brændoffer og dets Madoffer og dets Drikoffer.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
39 Disse Ting skulle I gøre for Herren paa eders bestemte Tider, foruden eders Løfter og eders frivillige Gaver, hvad enten det er eders Brændofre eller eders Madofre eller eders Drikofre eller eders Takofre.
Hivi ndivyo utakavyotoa sadaka kwa BWANA katika sikukuu zenu za kila mwaka. Hivi vitakuwa nyongeza ya viapo vyenu na sadaka zenu za hiari. Mtavitoa hivi kama sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za unga, sadaka za vinywaji, na sadaka za amani.”
40 Og Mose sagde til Israels Børn alt dette, ligesom Herren havde befalet Mose.
Musa aliwaambia wana wa Israeli kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwamuru kusema.