< 4 Mosebog 10 >
1 Og Herren talede til Mose og sagde:
Bwana akamwambia Mose:
2 Gør dig to Basuner af Sølv, af drevet Arbejde skal du gøre dem; og du skal have dem til Menighedens Sammenkaldelse, og naar Lejrene skulle bryde op.
“Tengeneza tarumbeta mbili za fedha ya kufua, uzitumie kwa kuita jumuiya pamoja na wakati wa kuvunja makambi ili kuondoka.
3 Og naar de blæse langsomt i dem, saa skal al Menigheden samles til dig, til Forsamlingens Pauluns Dør.
Tarumbeta zote mbili zikipigwa, jumuiya yote itakusanyika mbele yako katika ingilio la Hema la Kukutania.
4 Og dersom de blæse langsomt i den ene, da skulle Fyrsterne samles til dig, Øversterne for Israels Tusinder.
Kama tarumbeta moja tu ikipigwa, viongozi, yaani wakuu wa koo za Israeli, ndio watakaokusanyika mbele yako.
5 Men naar I blæse stærkt, da skulle de Lejre bryde op, som have lejret sig mod Østen.
Wakati mlio wa kujulisha hatari ukipigwa, makabila yaliyo na makambi upande wa mashariki yataondoka.
6 Og naar I blæse anden Gang stærkt, da skulle de Lejre bryde op, som have lejret sig mod Sønden; I skulle blæse stærkt, naar de skulle bryde op.
Ukisikika mlio wa pili wa jinsi hiyo, walioko kwenye makambi ya kusini wataondoka. Mlio huo wa kujulisha hatari utakuwa ishara ya kuondoka.
7 Men naar Forsamlingen skal samles, skulle I blæse langsomt og ikke blæse stærkt.
Ili kukusanya kusanyiko, piga tarumbeta zote, lakini siyo kwa mlio wa kujulisha hatari.
8 Og Præsterne, Arons Sønner, skulle blæse i Basunerne; og de skulle være eder til en evig Skik hos eders Efterkommere.
“Wana wa Aroni, makuhani, ndio watakaopiga hizo tarumbeta. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yenu na kwa vizazi vijavyo.
9 Og naar I komme i Krig i eders Land med Fjenden, som ængster eder, da skulle I blæse stærkt i Basunerne, at I maa ihukommes for Herren eders Guds Ansigt og frelses fra eders Fjender.
Wakati mtakapopigana vita katika nchi yenu wenyewe dhidi ya adui anayewaonea, piga tarumbeta kwa mlio wa kujulisha hatari. Ndipo utakumbukwa na Bwana Mungu wenu na kuokolewa kutoka kwa adui zenu.
10 Og paa eders Glædes Dag, og paa eders bestemte Tider, og paa eders Maaneders første Dage, da skulle I blæse i Basunerne ved eders Brændofre og ved eders Takofre, at de maa blive eder til en Ihukommelse for eders Guds Ansigt; jeg er Herren eders Gud.
Pia nyakati za furaha yenu, yaani sikukuu zenu zilizoamriwa na sikukuu za Mwezi Mwandamo, mtapiga tarumbeta juu ya sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka zenu za amani, nazo zitakuwa ukumbusho kwa ajili yenu mbele za Mungu wenu. Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.”
11 Og det skete i det andet Aar, i den anden Maaned, paa den tyvende Dag i Maaneden, da hævede Skyen sig op fra Vidnesbyrdets Tabernakel.
Katika siku ya ishirini ya mwezi wa pili wa mwaka wa pili, wingu liliinuka kutoka juu ya maskani ya Ushuhuda.
12 Og Israels Børn brøde op paa deres Vandringer fra Sinai Ørk; og Skyen blev i den Ørk Paran.
Ndipo Waisraeli wakaondoka kutoka Jangwa la Sinai wakasafiri kutoka sehemu moja hadi nyingine mpaka wingu lilipotua katika Jangwa la Parani.
13 Saa rejste de første Gang efter Herrens Mund ved Mose.
Waliondoka kwa mara ya kwanza kwa agizo la Bwana kupitia kwa Mose.
14 Og det Banner for Judas Børns Lejr brød først op, efter deres Hære; og over hans Hær var Nahesson, Amminadabs Søn.
Vikosi vya kambi ya Yuda vilitangulia kwanza chini ya alama yao. Nashoni mwana wa Aminadabu alikuwa kiongozi wao.
15 Og over Isaskars Børns Stammes Hær var Nethaneel, Zuars Søn.
Nethaneli mwana wa Suari alikuwa kiongozi wa kabila la Isakari,
16 Og over Sebulons Børns Stammes Hær var Eliab, Helons Søn.
naye Eliabu mwana wa Heloni alikuwa kiongozi wa kabila la Zabuloni.
17 Og Tabernaklet blev nedtaget; og Gersons Børn og Merari Børn, som bare Tabernaklet, brøde op.
Ndipo Maskani iliposhushwa, nao wana wa Gershoni na wana wa Merari ambao waliibeba wakaondoka.
18 Dernæst brød det Banner for Rubens Lejr op, efter deres Hære; og over hans Hær var Elizur, Sedeurs Søn.
Vikosi vya kambi ya Reubeni vilifuata, chini ya alama yao. Elisuri mwana wa Shedeuri alikuwa kiongozi wao.
19 Og over Simeons Børns Stammes Hær var Selumiel, Zurisaddai Søn.
Shelumieli mwana wa Surishadai aliongoza kikosi cha kabila la Simeoni,
20 Og over Gads Børns Stammes Hær var Eliasaf, Deuels Søn.
naye Eliasafu mwana wa Deueli aliongoza kikosi cha kabila la Gadi.
21 Saa rejste Kahathiterne, som bare Helligdommen; og de andre oprejste Tabernaklet, inden de kom.
Kisha Wakohathi wakaondoka, wakichukua vitu vitakatifu. Maskani ilikuwa isimamishwe kabla wao hawajafika.
22 Dernæst brød det Banner for Efraims Børns Lejr op, efter deres Hære; og over hans Hær var Elisama, Ammihuds Søn.
Vikosi vya kambi ya Efraimu vilifuata, chini ya alama yao. Elishama mwana wa Amihudi alikuwa kiongozi wao.
23 Og over Manasse Børns Stammes Hær var Gamliel, Pedazurs Søn.
Gamalieli mwana wa Pedasuri aliongoza kikosi cha kabila la Manase,
24 Og over Benjamins Børns Stammes Hær var Abidan, Gideoni Søn.
naye Abidani mwana wa Gideoni alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Benyamini.
25 Dernæst brød det Banner op for Dans Børns Lejr, som sluttede alle Lejrene, efter deres Hære, og over hans Hær var Ahieser, Ammisaddai Søn.
Mwishowe, kama kikosi cha nyuma cha ulinzi wa vikosi vyote, vikosi vya kambi ya Dani viliondoka chini ya alama yao. Ahiezeri mwana wa Amishadai alikuwa kiongozi wao.
26 Og over Asers Børns Stammes Hær var Pagiel, Okrans Søn.
Pagieli mwana wa Okrani aliongoza kikosi cha kabila la Asheri,
27 Og over Nafthali Børns Stammes Hær var Ahira, Enans Søn.
naye Ahira mwana wa Enani aliongoza kikosi cha kabila la Naftali.
28 Dette var Israels Børns Rejseorden, efter deres Hære, naar de rejste.
Huu ndio ulikuwa utaratibu wa kuondoka wa vikosi vya Waisraeli walipokuwa wanaondoka.
29 Og Mose sagde til Hobab, Reuels den Midianiters Søn, Mose Svigerfader: Vi rejse til det Sted, om hvilket Herren sagde: Jeg vil give eder det; gaa med os, saa ville vi gøre vel imod dig, fordi Herren har talet godt over Israel.
Basi Mose akamwambia Hobabu mwana wa Reueli, Mmidiani, mkwewe Mose, “Tunaondoka kwenda mahali ambapo Bwana amesema ‘Nitawapa ninyi mahali hapo.’ Twende pamoja nasi tutakutendea mema, kwa maana Bwana ameahidi mambo mema kwa Israeli.”
30 Og denne sagde til ham: Jeg vil ikke gaa med, men jeg vil gaa til mit Land og til min Slægt.
Akajibu, “Hapana, sitakwenda; nitarudi kwenye nchi yangu mwenyewe na watu wangu mwenyewe.”
31 Og han sagde: Kære, forlad os ikke; thi du ved, hvor vi kunne lejre os i Ørken, og du skal være vort Øje.
Lakini Mose akasema, “Tafadhali usituache. Wewe unajua mahali ambapo yatupasa kupiga kambi jangwani, nawe unaweza kuwa macho yetu.
32 Og det skal ske, naar du gaar med os, da skulle vi med det samme Gode, hvormed Herren gør vel imod os, gøre vel imod dig.
Ikiwa utafuatana nasi, tutashirikiana nawe mema yoyote tutakayopewa na Bwana.”
33 Saa rejste de fra Herrens Bjerg tre Dages Rejse; og Herrens Pagtes Ark rejste for deres Ansigt tre Dages Rejse for at opsøge et Hvilested for dem.
Hivyo waliondoka kutoka mlima wa Bwana, nao wakasafiri kwa siku tatu. Sanduku la Agano la Bwana liliwatangulia kwa zile siku tatu ili kuwatafutia mahali pa kupumzika.
34 Og Herrens Sky var over dem om Dagen, naar de brøde op med Lejren.
Wingu la Bwana lilikuwa juu yao wakati wa mchana walipoondoka kambini.
35 Og det skete, naar Arken rejste, da sagde Mose: Herre! staa op, saa skulle dine Fjender adspredes, og de, som hade dig, skulle fly for dit Ansigt.
Wakati wowote Sanduku lilipoondoka, Mose alisema, “Ee Bwana, inuka! Watesi wako na watawanyike; adui zako na wakimbie mbele zako.”
36 Og naar den hvilede, sagde han: Kom tilbage, Herre! til Israels ti Tusinde Gange tusinde.
Wakati wowote Sanduku liliposimama, alisema, “Ee Bwana, rudi, kwa maelfu ya Waisraeli wasiohesabika.”