< Mikas 4 >

1 Men det skal ske i de sidste Dage, at Herrens Hus's Bjerg skal være grundfæstet oven paa Bjergene og ophøjet over Højene, og Folkene skulle strømme til det.
Lakini katika siku za mwisho itakuja kuhusu kwamba mlima wa nyumba ya Yahwe utawekwa imare juu ya milima mingine. Utainuliwa juu ya milima, na watu watautakabisha.
2 Og mange Hedninger skulle komme og sige: Kommer og lader os gaa op til Herrens Bjerg og til Jakobs Guds Hus, at han maa lære os sine Veje, og vi maa vandre paa hans Stier; thi fra Zion skal udgaa Lov og Herrens Ord fra Jerusalem.
Mataifa mengi yataenda na kusema, “Njoni, twendeni juu kwenye mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo. Atatufundisha njia zake, na tutembea katika njia zake.” Kwa kuwa kutoka Sayuni sheria itatoka, na neno la Yahwe kutoka Yerusalemu.
3 Og han skal dømme imellem mange Folkeslag og holde Ret for vældige Hedningefolk ud i det fjerne; og de skulle omsmede deres Sværd til Hakker og deres Spyd til Haveknive, et Folk skal ikke løfte Sværd imod et andet, og de skulle ikke ydermere øve sig i. Krig.
Atahukumu miongoni mwa watu na kuamua kuhusiana na mataifa mengi ya mbali. Watapoga mapanga yao kuwa plau na mikuki yao kuwa miuundu ya kupogolea. Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa, wala kutawala kwa vita tena.
4 Men de skulle bo, hver under sit Vintræ og under sit Figentræ, og ingen skal forfærde dem; thi den Herre Zebaoths Mund har talt.
Badala yake, wataketi kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake. Hakuna mtu atakayewafanya waogope, kwa kuwa mdomo wa Yahwe wa majeshi umesema.
5 Thi alle Folk vandre hvert i sin Guds Navn; men vi vandre i Herrens vor Guds Navn, evindelig og altid.
Kwa kuwa watu wote wataenenda, kila mmoja, katika jina la mungu wake. Lakini sisi tutaenenda katika jina la Yahwe Mungu wetu milele na milele.
6 Paa denne Dag, siger Herren, vil jeg sanke det haltende og samle det fordrevne og det, som jeg har handlet ilde med.
“Katika siku hiyo,” aseme Yahwe, “Nitamkusanya achechemeaye na kumkusanya aliyefukuzwa, wale ambao nimewatesa.
7 Og jeg vil gøre det haltende til en Levning og det bortkomne til et stærkt Folk; og Herren skal regere over dem paa Zions Bjerg, fra nu og indtil Evighed.
Nitamrudisha aliyechechemea kwenye mabaki, na yeye aliyetupwa kwenye taifa imara, na mimi, Yahwe, nitatawala juu yao katika Milima Sayuni, sasa na milele.
8 Og du, Hyrdetaarn, Zions Datters Høj! til dig skal det komme; ja, komme skal det tidligere Herredømme, Kongedømmet over Jerusalems Datter.
Kama kwako, mnara wa saa kwa ajili ya kundi, mlima wa binti wa Sayuni-utakuja kwenu, utawala wenu wa zamani utarudishwa, ufalme ambao unaomilikiwa na binti wa Yerusalemu.
9 Nu, hvorfor raaber du saa saare? er der ingen Konge udi dig? eller er din Raadgiver omkommen? thi Smerte har betaget dig som den fødende Kvinde.
Sasa, kwa nini unapiga kelele kwa sauti kuu? Je hakuna mfalme miongoni mwenu? Je mshauri wako amekufa? Kwa nini uchungu umekushika kama yule mwanamke akiwa anazaa?
10 Vrid dig, og vaand dig i Smerte, du Zions Datter som den fødende Kvinde! thi nu skal du drage ud af Staden og bo paa Marken og komme lige til Babel; der skal du udfries, der skal Herren genløse dig af dine Fjenders Haand.
Kuwa katika uchungu wa kuzaa ili uzae, binti Sayuni, kama mwanamke mwenye uchungu. Kwa sasa utatoka nje ya mji, kuishi kwenye shamba, na kwenda Babeli. Huko utaokolewa. Huko Yahwe atakuokoa kutoka kwenye mikono ya maadui.
11 Og nu ere vel mange Folkefærd samlede imod dig, hvilke sige: Hun vorde vanhelliget! og vore Øjne se deres Lyst paa Zion!
Sasa mataifa mengi yamekusanyika juu yako; wakisema; 'Atiwe unajisi; macho yenu yaangalie Sayuni.”'
12 Men de kende ikke Herrens Tanker og forstaa ikke hans Raad, thi han har samlet dem som Neg til Tærskepladsen.
Nabii asema, “Hawayajui mawazo ya Yahwe, wala hawaelewi mpango wake, kwa kuwa wamewakusanaya kama miganda kupura sakafuni.”
13 Gør dig rede og tærsk, du Zions Datter! thi jeg gør dit Horn til Jern og gør dine Hove til Kobber, at du maa sønderknuse mange Folk, og at jeg kan vie Herren deres Bytte og hele Jordens Herre deres Gods.
Yahwe asema, “siamama na upure, binti Sayuni, kwa kuwa nitaifanya pembe yako kuwa chuma, na nitazifanya kwato zako kuwa shaba. Utaponda watu wengi. Nitaweka wakfu udhalimu wao kwangu mwenyewe, Yahwe, miliki zao kwangu, Bwana wa dunia nzima.”

< Mikas 4 >