< Lukas 6 >
1 Men det skete paa den næstførste Sabbat, at han vandrede igennem en Sædemark, og hans Disciple plukkede Aks og gned dem med Hænderne og spiste.
Sasa ilitokea kwenye Sabato kwamba Yesu alikuwa akipita katika ya shamba la nafaka na wanafunzi wake walikuwa wakichuma masuke, wakayasuguasugua kati ya mikono yao wakala nafaka.
2 Men nogle af Farisæerne sagde: „Hvorfor gøre I, hvad det ikke er tilladt at gøre paa Sabbaten?‟
Lakini baadhi ya Mafarisayo wakasema, “Kwa nini mnafanya kitu ambacho si halali kisheria kukifanya siku ya sabato”?
3 Og Jesus svarede og sagde til dem: „Have I da ikke læst, hvad David gjorde, da han blev hungrig, han og de, som vare med ham?
Yesu, akawajibu, akisema, “Hamkuwahi kusoma kile Daudi alifanya alipokuwa na njaa, yeye na wanaume waliokuwa pamoja naye?
4 hvorledes han gik ind i Guds Hus og tog Skuebrødene og spiste og gav ogsaa dem, som vare med ham, skønt det ikke er nogen tilladt at spise dem uden Præsterne alene.‟
Alikwenda katika nyumba ya Mungu, na akachukuwa mikate mitakatifu na kuila baadhi, na kuitoa baadhi kwa watu aliokuwa nao kuila, hatakama ilikuwa halali kwa makuhani kuila.”
5 Og han sagde til dem: „Menneskesønnen er Herre ogsaa over Sabbaten.‟
Kisha akawaambia, “Mwana wa Adamu ni Bwana wa Sabato.”
6 Men det skete paa en anden Sabbat, at han kom ind i Synagogen og lærte. Og der var der en Mand, hvis højre Haand var vissen.
Ilitokea katika Sabato nyingine kwamba alikwenda ndani ya sinagogi na kuwafundisha watu huko. Palikuwa na mtu ambaye mkono wake wa kulia ulikuwa umepooza.
7 Men de skriftkloge og Farisæerne toge Vare paa ham, om han vilde helbrede paa Sabbaten, for at de kunde finde noget at anklage ham for.
Waandishi na Mafarisayo walikuwa wanamwangalia kwa makini kuona kama angemponya mtu siku ya Sabato, ili waweze kupata sababu ya kumshtaki kwa kufanya kosa.
8 Men han vidste deres Tanker; og han sagde til Manden, som havde den visne Haand: „Rejs dig og staa frem her i Midten!‟ Og han rejste sig og stod frem.
Lakini alijua nini walikuwa wanafikiri na akasema kwa mtu aliyekuwa amepooza mkono, “Amka, simama hapa katikati ya kila mmoja.” Hivyo huyo mtu akanyanyuka na kusimama pale.
9 Men Jesus sagde til dem: „Jeg spørger eder, om det er tilladt at gøre godt paa Sabbaten eller at gøre ondt, at frelse Liv eller at ødelægge det?‟
Yesu akasema kwao, “Nawauliza ninyi, ni halali siku ya Sabato kufanya mema au kufanya madhara, kuokoa maisha au kuyaharibu?” Kisha aliwaangalia wote na kumwambia yule mtu,
10 Og han saa omkring paa dem alle og sagde til ham: „Ræk din Haand ud!‟ Og han gjorde det; da blev hans Haand sund igen som den anden.
“Nyoosha mkono wako.” Akafanya hivyo, na mkono wake ulikuwa umeponywa.
11 Men de bleve fulde af Raseri og talte med hverandre om, hvad de skulde gøre ved Jesus.
Lakini walijawa na hasira, wakaongeleshana wao kwa wao kuhusu nini wanapaswa wafanye kwa Yesu.
12 Men det skete i disse Dage, at han gik ud paa et Bjerg for at bede; og han tilbragte Natten i Bøn til Gud.
Ilitokea siku hizo kwamba alikwenda mlimani kuomba. Aliendelea usiku mzima kumuomba Mungu.
13 Og da det blev Dag, hidkaldte han sine Disciple og udvalgte tolv af dem, hvilke han ogsaa kaldte Apostle:
Ilipokuwa asubuhi, aliwaita wanafunzi wake kwake, na akawachagua kumi na wawili kati yao, ambao pia aliwaita “mitume.”
14 Simon, hvem han ogsaa kaldte Peter, og Andreas, hans Broder, og Jakob og Johannes og Filip og Bartholomæus
Majina ya wale mitume yalikuwa Simoni (ambaye pia alimwita Petro) na Andrea ndugu yake, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartolomayo,
15 og Matthæus og Thomas, Jakob, Alfæus's Søn, og Simon, som kaldes Zelotes,
Mathayo, Tomaso na Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni, ambaye aliitwa Zelote,
16 Judas, Jakobs Søn, og Judas Iskariot, som blev Forræder.
Yuda mwana Yakobo na Yuda Iskariote, ambaye alikuwa msaliti msaliti.
17 Og han gik ned med dem og stod paa et jævnt Sted, og der var en Skare af hans Disciple og en stor Mængde af Folket fra hele Judæa og Jerusalem og Kysten ved Tyrus og Sidon,
Kisha Yesu alitelemka pamoja nao toka mlimani na kusimama mahali tambarare. Idadi kubwa ya wanafunzi wake walikuwa huko, pamoja na idadi kubwa ya watu kutoka Uyahudi na Yerusalemu, na kutoka pwani ya Tiro na Sidoni.
18 som vare komne for at høre ham og helbredes for deres Sygdomme. Og de plagede bleve helbredte fra urene Aander;
Walikuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Watu waliokuwa wakisumbuliwa na pepo wachafu waliponywa pia.
19 og hele Skaren søgte at røre ved ham; thi en Kraft gik ud fra ham og helbredte alle.
Kila mmoja kwenye hilo kusanyiko alijaribu kumgusa kwa sababu nguvu za uponyaji zilikuwa zikitokea ndani yake, na aliwaponya wote.
20 Og han opløftede sine Øjne paa sine Disciple og sagde: „Salige ere I fattige, thi eders er Guds Rige.
Kisha akawaangalia wanafunzi wake, na kusema, “Mmebarikiwa ninyi mlio maskini, kwa maana ufalme wa Mungu ni wenu.
21 Salige ere I, som nu hungre, thi I skulle mættes. Salige ere I, som nu græde, thi I skulle le.
Mmebarikiwa ninyi mlio na njaa sasa, kwa maana mtashibishwa. Mmebarikiwa ninyi mliao sasa, kwa maana mtacheka.
22 Salige ere I, naar Menneskene hade eder, og naar de udstøde eder og haane eder og forkaste eders Navn som ondt for Menneskesønnens Skyld.
Mmebarikiwa ninyi ambao watu watakapowachukia na kuwatenga na kuwashutumu ninyi kwamba ni waovu, kwa ajili ya Mwana Adamu.
23 Glæder eder paa den Dag, og jubler; thi se, eders Løn er stor i Himmelen. Thi paa samme Maade gjorde deres Fædre ved Profeterne.
Furahini katika siku hiyo na kurukaruka kwa furaha, kwa sababu hakika mtakuwa na thawabu kubwa mbinguni, kwa maana baba zao waliwatendea vivyohivyo manabii.
24 Men ve eder, I rige, thi I have allerede faaet eders Trøst.
Lakini ole wenu mlio matajiri! Kwa maana mmekwisha pata faraja yenu.
25 Ve eder, I, som nu ere mætte, thi I skulle hungre. Ve eder, I, som nu le, thi I skulle sørge og græde.
Ole wenu mlio shiba sasa! Kwa maana mtaona njaa baadaye. Ole wenu mnaocheka sasa! Kwa maana mtaomboleza na kulia baadaye.
26 Ve eder, naar alle Mennesker tale godt om eder; thi paa samme Maade gjorde deres Fædre ved de falske Profeter.
Ole wenu, mtakaposifiwa na watu wote! Kwa maana baba zao waliwatendea manabii wa uongo vivyohivyo.
27 Men jeg siger eder, I, som høre: Elsker eders Fjender, gører dem godt, som hade eder;
Lakini nasema kwenu ninyi mnaonisikiliza, wapendeni adui zenu na kufanya mema kwa wanao wachukieni.
28 velsigner dem, som forbande eder, og beder for dem, som krænke eder.
Wabarikini wale wanao walaani ninyi na waombeeni wale wanaowaonea.
29 Den, som slaar dig paa den ene Kind, byd ham ogsaa den anden til; og den, som tager Kappen fra dig, formen ham heller ikke Kjortelen!
Kwake yeye akupigaye shavu moja, mgeuzie na la pili. Kama mtu akikunyang'anya joho lako usimzuilie na kanzu.
30 Giv enhver, som beder dig; og af den, som tager, hvad dit er, kræve du det ikke igen!
Mpe kila akuombaye. Kama mtu akikunyang'anya kitu ambacho ni mali yako, usimuombe akurudishie.
31 Og som I ville, at Menneskene skulle gøre imod eder, ligesaa skulle ogsaa I gøre imod dem!
Kama mpendavyo watu wawatendee, nanyi watendeeni vivyo hivyo.
32 Og dersom I elske dem, som elske eder, hvad Tak have I derfor? Thi ogsaa Syndere elske dem, som dem elske.
Kama mkiwapenda watu wawapendao ninyi tu, hiyo ni thawabu gani kwenu? Kwamaana hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao.
33 Og dersom I gøre vel imod dem, der gøre vel imod eder, hvad Tak have I derfor? Thi ogsaa Syndere gøre det samme.
Kama mkiwatendea mema wale wanaowatendea ninyi mema, hiyo ni thawabu gani kwenu? Kwa maana hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.
34 Og dersom I laane dem, af hvem I haabe at faa igen, hvad Tak have I derfor? Thi ogsaa Syndere laane Syndere for at faa lige igen.
Kama mkikopesha vitu kwa watu ambao mnategemea watawarudishia, hiyo ni thawabu gani kwenu? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi, na hutegemea kupokea kiasi hicho hicho tena.
35 Men elsker eders Fjender, og gører vel, og laaner uden at vente noget derfor, saa skal eders Løn være stor, og I skulle være den Højestes Børn; thi han er god imod de utaknemmelige og onde.
Lakini wapendeni adui zenu na watendeeni mema. Wakopesheni na msihofu kuhusu kurudishiwa, na thawabu yenu itakuwa kubwa. Mtakuwa wana wa Aliye Juu, kwasababu yeye mwenyewe ni mwema kwa watu wasio na shukurani na waovu.
36 Vorder barmhjertige, ligesom eders Fader er barmhjertig.
Iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
37 Og dømmer ikke, saa skulle I ikke dømmes; fordømmer ikke, saa skulle I ikke fordømmes; forlader, saa skal der forlades eder;
Msihukumu, nanyi hamta hukumiwa. Msilaani, nanyi hamtalaaniwa. Sameheni wengine, nanyi mtasamehewa.
38 giver, saa skal der gives eder. Et godt, knuget, rystet, topfuldt Maal skulle de give i eders Skød; thi med hvad Maal I maale, skal der tilmaales eder igen.‟
Wapeni wengine, nanyi mtapewa. Kiasi cha ukarimu - kilichoshindiliwa, kusukwasukwa na kumwagika - kitamwagika magotini penu. Kwa sababu kwa kipimo chochote mnachotumia kupimia, kipimo hicho hicho kitatumika kuwapimia ninyi.”
39 Men han sagde dem ogsaa en Lignelse: „Mon en blind kan lede en blind? Ville de ikke begge falde i Graven?
Kisha akawaambia mfano pia. “Je mtu aliye kipofu aweza kumwongoza mtu mwingine kipofu? Kama alifanya hivyo, basi wote wangalitumbukia shimoni, je wasingetumbukia?
40 En Discipel er ikke over sin Mester; men enhver, som er fuldt færdig, skal være som sin Mester.
Mwanafunzi hawi mkubwa kuliko mwalimu wake, lakini kila mtu akiisha kufundishwa kwa ukamilifu atakuwa kama mwalimu wake.
41 Men hvorfor ser du Skæven, som er i din Broders Øje; men Bjælken, som er i dit eget Øje, bliver du ikke var?
Na kwa nini basi wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti lililo ndani ya jicho lako huliangalii?
42 Eller hvorledes kan du sige til din Broder: Broder! lad mig drage Skæven ud, som er i dit Øje, du, som ikke ser Bjælken i dit eget Øje? Du Hykler! drag først Bjælken ud af dit Øje, og da kan du se klart til at drage Skæven ud, som er i din Broders Øje.
Utawezaje kumwambia ndugu yako, 'Ndugu, naomba nikitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako,' nawe huangalii boriti iliyo katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Kwanza itoe boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utaona vizuri kutoa kibanzi katika jicho la ndugu yako.
43 Thi der er intet godt Træ, som bærer raadden Frugt, og intet raaddent Træ, som bærer god Frugt.
Kwa sababu hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya, wala hakuna mti mbaya uzaao matunda mazuri.
44 Thi hvert Træ kendes paa sin egen Frugt; thi man sanker ikke Figener af Torne, ikke heller plukker man Vindruer af en Tornebusk.
Kwa sababu kila mti hutambulika kwa matunda yake. Kwa sababu watu hawachumi tini kutoka kwenye miba, wala hawachumi zabibu kutoka kwenye michongoma.
45 Et godt Menneske fremfører det gode af sit Hjertes gode Forraad, og et ondt Menneske fremfører det onde af sit onde Forraad; thi af Hjertets Overflødighed taler hans Mund.
Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu. Kwa sababu kinywa chake husema yale yaujazayo moyo wake.
46 Men hvorfor kalde I mig Herre, Herre! og gøre ikke, hvad jeg siger?
Kwanini mnaniita, 'Bwana, Bwana', na bado hamyatendi yale nisemayo?
47 Hver den, som kommer til mig og hører mine Ord og gør efter dem, hvem han er lig, skal jeg vise eder.
Kila mtu ajaye kwangu na kuyasikia maneno yangu na kuyatendea kazi, nitawaonyesha jinsi alivyo.
48 Han er lig et Menneske, der byggede et Hus og gravede i Dybden og lagde Grundvolden paa Klippen; men da en Oversvømmelse kom, styrtede Floden imod det Hus, og den kunde ikke ryste det; thi det var bygget godt.
Anafanana na mtu ajengae nyumba yake, ambaye huchimba chini sana, na kujenga msingi wa nyumba juu ya mwamba imara. Mafuriko yalipokuja, maporomoko ya maji yaliipiga nyumba, lakini hayakuweza kuitikisa, kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri.
49 Men den, som hører og ikke gør derefter, han er lig et Menneske, der byggede et Hus paa Jorden, uden Grundvold; og Floden styrtede imod det, og det faldt straks sammen, og dette Huses Fald blev stort.‟
Lakini yeyote asikiaye neno langu na hakulitii; mfano wake ni mtu aliyejenga nyumba juu ya ardhi pasipokuwa na msingi, mto ulipoishukia kwa nguvu, nyumba ile ilitopata maangamizi makubwa.